Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,101
- 11,381
Anatudhalilisha waafrika.Uhuru is stupid leader
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anatudhalilisha waafrika.Uhuru is stupid leader
Huu ndio upumbavu wenyewe tunaoukataa Watanzania kwahiyo huo ugonjwa umeisha ? Au ndio wanapenda kuabudiwa wakisema funga bc watu wanafunga wakisema fungua hata kama maambukizi yapo watu wanafungua kwao ndio raha . Kwenye upumbavu wao huu Rais Magufuli amewazidi akili Marais wa duniani koteShirika la Afya Duniani (WHO) pamoja na shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia watoto (UNICEF) yamezihimiza nchi za Afrika kufungua shule na kuhakikisha watoto wanakuwa salama dhidi ya virusi vya corona.
Mashirika hayo yamesema kuendelea kufunga shule kwa muda mrefu kunahatarisha ustawi wa watoto hao ikiwa ni pamoja na kutopata mlo kamili, mimba za utotoni pamoja na aina mbalimbali za uhalifu.
“Lazima tukahikishe kuwa juhudi za kudhibiti virusi vya corona hazitufanyi tuishie kuwa na kikazi kibovu. Kama mbavyo nchi zinafungua biashara kwa usalama, pia tunaweza kufungua shule,” Matshidiso Moeti, Mkurugenzi wa WHO Afrika.
Nchi sita pekee kati ya nchi 39 za Afrika ndizo zilizofungua shule kwa mujibu wa takwimu za WHO na UNICEF. Baadhi ya nchi hufungua shule kisha kuzifunga baada ya maambukizi ya corona kuanza kuongezeka, huku nyingine zikifungua kwa ajili ya wanafunzi wanaomaliza au wenye mitihani.
Wakati Tanzania ikiwa imefungua shule katika ngazi zote za masomo, Kenya imefuta mwaka wa masomo 2020, na shule zitafunguliwa mwaka 2021.
Wakenya apo watakwambia tunafungua kwasababu tunafuta kanuni za kisayansi maana huu ugonjwa kupambana nao unaitaji sayansi hahahaha ktk watu waliokosa maarifa hawa wenzetu wamezidi yani hata who leo wakisema mavi unaweza Kula hayana madhara yeyote ila kuna vitu tu vya faida utaongeza mwilini wakenya watakuwa wakwanza Kula sababu tu wamesema whowaulize wakenya, na walivyo update kwa amri za mabeberu kesho wanazifungua
wameangalia Tanzania wanafunzi wanapiga kitabu kama kawaidaWHO wametumia vigezo vipi kufikia uamuzi huu...? Tuanzie hapo kwanza.
Tz ndicho kielelezo chao hao WHOWameshaona dili lao limeingia mchanga. Hivi hizo nchi nyingine wameshindwa kuingalia Tz?
MK254 mabeberu wamesema fungueni shule!!Shirika la Afya Duniani (WHO) pamoja na shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia watoto (UNICEF) yamezihimiza nchi za Afrika kufungua shule na kuhakikisha watoto wanakuwa salama dhidi ya virusi vya corona.
Mashirika hayo yamesema kuendelea kufunga shule kwa muda mrefu kunahatarisha ustawi wa watoto hao ikiwa ni pamoja na kutopata mlo kamili, mimba za utotoni pamoja na aina mbalimbali za uhalifu.
“Lazima tukahikishe kuwa juhudi za kudhibiti virusi vya corona hazitufanyi tuishie kuwa na kikazi kibovu. Kama mbavyo nchi zinafungua biashara kwa usalama, pia tunaweza kufungua shule,” Matshidiso Moeti, Mkurugenzi wa WHO Afrika.
Nchi sita pekee kati ya nchi 39 za Afrika ndizo zilizofungua shule kwa mujibu wa takwimu za WHO na UNICEF. Baadhi ya nchi hufungua shule kisha kuzifunga baada ya maambukizi ya corona kuanza kuongezeka, huku nyingine zikifungua kwa ajili ya wanafunzi wanaomaliza au wenye mitihani.
Wakati Tanzania ikiwa imefungua shule katika ngazi zote za masomo, Kenya imefuta mwaka wa masomo 2020, na shule zitafunguliwa mwaka 2021.
Wanatumia TANZANIA Kama case study wameona hakuna madhara wanafunzi wakirudi shule, lakini hawataki kabisa kupongeza wanajifanya wao ndio kila kitu.wameangalia Tanzania wanafunzi wanapiga kitabu kama kawaida
Hawataki kuiga Tanzania kwasababu ya wivu tu kuwa kwanini Tanzania ndio iwe nchi dume kwenye huu ugonjwa?Wameshaona dili lao limeingia mchanga. Hivi hizo nchi nyingine wameshindwa kuingalia Tz?
usijali iko.siku.watatuelewa Watanzania, acha tujipongeze wenyewe na kumshukuru MUNGU kwa yote ayafanyayo juu ya Taifa hili,Wanatumia TANZANIA Kama case study wameona hakuna madhara wanafunzi wakirudi shule, lakini hawataki kabisa kupongeza wanajifanya wao ndio kila kitu.
Vigezo vya kwamba mtaani watoto wanajiingiza/wanaingizwa kwenye matendo hatarishi kama Uhuni n.kWHO wametumia vigezo vipi kufikia uamuzi huu...? Tuanzie hapo kwanza.
Labda MK254 atapita hapaShirika la Afya Duniani (WHO) pamoja na shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia watoto (UNICEF) yamezihimiza nchi za Afrika kufungua shule na kuhakikisha watoto wanakuwa salama dhidi ya virusi vya corona.
Mashirika hayo yamesema kuendelea kufunga shule kwa muda mrefu kunahatarisha ustawi wa watoto hao ikiwa ni pamoja na kutopata mlo kamili, mimba za utotoni pamoja na aina mbalimbali za uhalifu.
“Lazima tukahikishe kuwa juhudi za kudhibiti virusi vya corona hazitufanyi tuishie kuwa na kikazi kibovu. Kama mbavyo nchi zinafungua biashara kwa usalama, pia tunaweza kufungua shule,” Matshidiso Moeti, Mkurugenzi wa WHO Afrika.
Nchi sita pekee kati ya nchi 39 za Afrika ndizo zilizofungua shule kwa mujibu wa takwimu za WHO na UNICEF. Baadhi ya nchi hufungua shule kisha kuzifunga baada ya maambukizi ya corona kuanza kuongezeka, huku nyingine zikifungua kwa ajili ya wanafunzi wanaomaliza au wenye mitihani.
Wakati Tanzania ikiwa imefungua shule katika ngazi zote za masomo, Kenya imefuta mwaka wa masomo 2020, na shule zitafunguliwa mwaka 2021.