Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Prof. Ali Mazrui alisema; “Africa produces what it does not consume and consumes what it does not produce.”
Nimeangalia na kweli nimeona kuna ukweli mzito sana hapa.
Nimeangalia na kweli nimeona kuna ukweli mzito sana hapa.
- Sasa labda tujiulize WHY?!
- Na Je ni kweli?
- Na mwisho kabisa How can we rectify the Issue?