Why Africa produces what it does not consume and consume what it does not produce?

Why Africa produces what it does not consume and consume what it does not produce?

1). Nguvu ya soko(soko letu haliwezi ku-exel/run manufacturing industry smoothly)
Je hatuwezi kusurvive bila manufacturing ? Yaani tuzalishe for our consumption kuzalisha for the world tuwaachie China..., Kuna top industries nyingine ambazo tunaweza kujikita, Tourism ikiwa mojawapo.., pia Africa as a continent kama tukiishi symbiotically we can be self sustainable

Tuna the biggest mountain in Africa, Tanzania ndio Mecca ya Dunia; The Craddle of Human Kind..., Tanzania ni moja ya Mecca ya Africa (katika mapambano ya Uhuru wa Africa) Tungeweza kufanya Butiama watu wakawa wanakuja kutalii na kuona jinsi mapambano ya Ukombozi wa Africa yalivyoendesha with one Son of Africa (badala ya kuanza kumlaumu na kumtukana); Kwahio tatizo ni marketing na kutengeneza kubadilisha vitu vingi vilivyopo kuwa commodities
2).Ni uhalisia usio chini ya asilimia 75%,
Wavijijini huku tunatumia bidhaa ikiwa ghafi bado kwahiyo kwamba namna moja tunatumia tunachokizalisha. Pia siku hizi mambo yameanza kubadilika kidogo kidogo sukari mafuta ya kula...

Moja ya sababu ni kwamba hatuna mitambo au viwanda vya kuzalisha bizaa kamili na tayari kwa mtumiaji.
Sio lazima tuzalishe as in manufacturing ili tuwe giants (ingawa ni upuuzi kutokufanya hivyo wakati as a continent tunaweza kufanya trading as in make things for one another) Kuna nchi zimekuwa tajiri sababu ya innovation na banking as well as Tourism....
Miaka nenda rudi tumeishia kuchakata tu malighafi (processing industry), baada ya hapo malighafi zinasafilishwa kuelekea nchi zilizoendelea ambako huko ndio kuna manufacturing industry na ndio soko lenyewe.
Na hizo malighafi tunapangiwa bei ya kuuza sio sisi ambao ndio tunapanga kwahio hata tunaouzia ni kwamba wamekuwa walaghai wa wao kuamua ni nini kiwe bei gani
Tungesema tuamue kua mnyororo wote wa thamani ukamilikie huku zile bidhaa zetu kwa soko la ndani ni ni dogo na purchasing power ya jamii yetu ni mdogo sana kuweza ku run manufacturing industries... Pia kuuza nje zingekosa soko la nje, utamuuzia nani na wakati soko la nje kule kuna wazawa wameliteka soko lao kwa kuagiza malighafi kutoka huku huku Africa.
Kwahio kabla ya yote ni jinsi gani tunaweza kufanya watu wakapata ujira wa kutosha tena kwa lugha sahihi disposable income ? (As tunapoelekea mambo yanakuwa worse middle income zinapotea tunapata matajiri wachache na mafukara wakutosha) Kama J. M. Kairuki alivyosema kuhusu Kenya... A Nation of 10 Millionaire and 50 Million Beggars....
Kwahiyo na sisi Africa hatuna namna inatubidi tugombanie hilo hilo soko la kuwauzia malighafi kama vile Korosho, kahawa, chai etc. Ni ilimradi tu na sisi tuambulie chochote.
Na kwanini tuhangaike kuwauzia sababu tumefungwa kwenye mentality kwamba tunahitaji fedha za kigeni ili tupate basics zetu (yaani mafuta) wakati Africa kuna nchi zina mafuta (madawa) wakati tungeweza kuiga hata India na kufanya Copying and Pasting ya ku manufacture dawa, na kila luxuries tunatoa nje....

Mfano mdogo ni sasa hivi Nishati Safi ya Kupikia tunawaambia watu watumie LPG waache Kuni, wakati hio LPG tunaagiza..., badala yake why not Use UMEME na Nishati zilizopo nchini watu wapikie ?
3). Kuandaa sera nzuri zitakazo rahisisha uwekezaji nchini, ubia ubinafsishaji, PPP.

Pia soma
Thread 'Vunja Statasi Kuo, (2025-2050) Ni Nyakati Za Mabadiliko Kuifikia Tanzania Tuitakayo' SoC04 - Vunja Statasi Kuo, (2025-2050) Ni Nyakati Za Mabadiliko Kuifikia Tanzania Tuitakayo
Tena achana kabisa na hio PPP, Tufanye Soko liwe Huru watu binafsi wakiona fursa washindane wenyewe kwa wenyewe kugombania wateja..., UMMA Serikali ijikite fully kwenye Sekta chache ambazo ni Commanding Heights; Mfano Nishati, (TANESCO) Usafiri (SGR, TRAIN na MELI ndege ambayo ni luxurious wawaachie watu binafsi in free market labda wabaki na viwanja napo watoe leases) MAKAZI (NHC iweke some affordable housing sio luxurious na zenyewe kwenye free market kwenye Ushindani) BANKING (Angalau Moja kwenye Free Market) MAWASILIANO (TTCL kwenye free Market) hayo mengine Kodi zetu zisiwekwe rehani

 
pia usisahau dunia inaendeshwa na mfumo wa kiuchumi wa kibepari. ubepari hutengeneza matabaka. yaani tabaka la watawala na watawaliwa. Tabaka la wanyonyaji na wanyonywaji. lazima awepo anayenyonywa
Je Afrika kama continent haiwezi kuwa Self Sustainable ? Sababu issue kubwa ni marginalization ya so called undeveloped countries..., kwanini hizo nchi zisiungane pamoja ?

 
When you produce what you don't consume you mean business
Ni sawa na kuhonga halafu mgodi hupewi uuchimbe, jibi sahihi ni hili hapa toka kwasisi wabobezi wa elimu ya ujasiriamali : You have to sell what you know a customer is going to buy, not what you think they are going to buy

Tafsiri mjasiriamali inatakiwa aagize, (azalishez),bidhaa ambayo anafahamu itanunuliwa ,siyo anayo dhani watanunua inamaana inatakiwa upate kwanza soko la bidhaa hiyo kabla hujaanza kuzalisha
 
Je Afrika kama continent haiwezi kuwa Self Sustainable ? Sababu issue kubwa ni marginalization ya so called undeveloped countries..., kwanini hizo nchi zisiungane pamoja ?


hii hali unayoiona imekuwa created. tumetengenezwa tuburuzwe na mabeberu.

hata elimu mnayosoma ni colonial education
 
Tunaweza kufanya kama unavyosema, ila kwa sababu ya economic diversification inatulazimu tuendelee na usafilishaji malighafi nje na inatupatia pato zuri tu mfano; Tumbaku kahawa.

Ningetamani kuona ule mpango wa kujitosheleza katika mazao ya kimkakati unapewa kipaumbele na serikali na tuhakikishe mnyororo wa thamani (value chain) katika hayo mazao unakamilikia hapa hapa nchini.
Je hatuwezi kusurvive bila manufacturing ? Yaani tuzalishe for our consumption kuzalisha for the world tuwaachie China..., Kuna top industries nyingine ambazo tunaweza kujikita, Tourism ikiwa mojawapo.., pia Africa as a continent kama tukiishi symbiotically we can be self sustainable

Tuna the biggest mountain in Africa, Tanzania ndio Mecca ya Dunia; The Craddle of Human Kind..., Tanzania ni moja ya Mecca ya Africa (katika mapambano ya Uhuru wa Africa) Tungeweza kufanya Butiama watu wakawa wanakuja kutalii na kuona jinsi mapambano ya Ukombozi wa Africa yalivyoendesha with one Son of Africa (badala ya kuanza kumlaumu na kumtukana); Kwahio tatizo ni marketing na kutengeneza kubadilisha vitu vingi vilivyopo kuwa commodities
Kwanza kabisa wananchi hawana shida sana shida kubwa iko kwa serikali, katika masuala ya uchumi biashara, ubunifu(innovation) na uvumbuzi, hawajajipambanua kisawasawa/sijaona msimamo wao thabiti/hawajajipambanua, hawajajianda, hawajajiorganize vizuri, hawako clear katika specific objectives, mifumo haisomani, michakato iko complicated kuliko hata kitu husika kinachotakiwa kuchakatwa. Ndio maana kila mwaka kuna migogoro ya wafanya biashara na mamlaka. Watu wanajitahidi katika ujasiliamali, uvumbuzi na bunifu mbalimbali mwisho wa siku wanakata tamaa ndoto zinafia hatua ya mwanzo kabisa mfano, vitu kama pikipiki bajaji na Guta za kichina sizani kama ingeshindikana kutengezezwa nchini kwa design za kipekee kama serikali ingekua imenyooka katika sera sheria na usimamizi wake....Pongezi zimfikie Mwamba wa KP motors.
Kwahio kabla ya yote ni jinsi gani tunaweza kufanya watu wakapata ujira wa kutosha tena kwa lugha sahihi disposable income ? (As tunapoelekea mambo yanakuwa worse middle income zinapotea tunapata matajiri wachache na mafukara wakutosha) Kama J. M. Kairuki alivyosema kuhusu Kenya... A Nation of 10 Millionaire and 50 Million Beggars....
Kana baadhi ya mambo ukigusa hata kama uko nchini kwako jua umegusia maslahi ya watu, inakua haina tofauti na kuvamia nchi(territory nyingine) na jeshi na kutaka uhalali wa sehemu ya nchi hiyo.

Unakua umeingia vitani rasmi na bahati mbaya unaopambana nao wamekuzidi kila kitu. Inahitajika courage mkubwa sana /maamuzi magumu kutekeleza. Sometime itabidi ukubali kuonekana dictator ili ufanikiwe.

Mfano serikali ya MAGUFULI ilikua tayari kufanya haya tunayoyataka na alijua kabla changamoto atakazokutananazo na alijua akiendelea na msimamo anaweza akauwawa na alituambia haya hadharani kua vita ya kiuchumi ni mbaya sana na hata akifa tutamkumbuka kwa mazuri na sio kwa mabaya, hii wala ilikua haitaji DD kuelewa, na kama atatokea kiongozi mwingine kama Magufuli basi nae ajiandae ku sakrifaisi maisha yake kwa ajili ya Watanzania.
 
Tunaweza kufanya kama unavyosema, ila kwa sababu ya economic diversification inatulazimu tuendelee na usafilishaji malighafi nje na inatupatia pato zuri tu mfano; Tumbaku kahawa.
Ndio hapo kwenye Speech yake Nyerere Clans can not Defeat Empires alisema kwa mfano; Tanzania ili double uzalishaji wa Pamba ili ijipatie foreig currency na Pamba ni earner mzuri..., lakini kilichotokea Bei ya Pamba ikashuka kwa 50 percent... (yaani wanunuaji wanafix price ya kununua na kwa muuzaji) LAKINI mbaya zaidi ni kwamba ili ku double uzalishaji matumizi yalikuwa makubwa; Mbolea na Dawa vilinunuliwa kutoka nje..., Hadi magari (trucks) kutoka nje..., kwahio ni kwamba hii system imetengenezwa ili kutoa wealth from South to North...

It's a system for the rich to rob the poorest...., Hivyo sababu tunajua hayo huenda tungeongeza trading within Africa....; Gadafi aliweza kwa kuwa instrumental kwenye kuanzishwa OPEC
 
Ndio hapo kwenye Speech yake Nyerere Clans can not Defeat Empires alisema kwa mfano; Tanzania ili double uzalishaji wa Pamba ili ijipatie foreig currency na Pamba ni earner mzuri..., lakini kilichotokea Bei ya Pamba ikashuka kwa 50 percent... (yaani wanunuaji wanafix price ya kununua na kwa muuzaji) LAKINI mbaya zaidi ni kwamba ili ku double uzalishaji matumizi yalikuwa makubwa; Mbolea na Dawa vilinunuliwa kutoka nje..., Hadi magari (trucks) kutoka nje..., kwahio ni kwamba hii system imetengenezwa ili kutoa wealth from South to North...

It's a system for the rich to rob the poorest...., Hivyo sababu tunajua hayo huenda tungeongeza trading within Africa....; Gadafi aliweza kwa kuwa instrumental kwenye kuanzishwa OPEC
Aisee walitunyoosha nadhani kilicho tuponza ni kupishana katika ideology na wao huku tukiwa na msimamo mikali,

Walitufanyia sabotage kadhaa ikiwemo na hii, wakijua fika tutaishiwa pumzi na tutawatafuta kwa ili kuomba msaada, na hapo ndipo walipotuingiza kwenye mfumo kisawasawa.(structural adjustment program etc)

Unaweza kudhani unapendwa kumbe umejaa kwenye mfumo. /ukiona adui anakusifia sana tafakari na jiulize umefeli wapi.

SASA MKUU HILI SWALA LA KUJITOSHELEZA WENYEWE KAMA NCHI AU AFRICA LINACHANGAMOTO NYINGI SANA.

Kwanza kabisa ni sababu za kidiplomasia, kuna mahusiano tumesha yatengeneza na nchi tofauti tofauti ambazo zimeleta wawekezaji wafanyabiashara tumeingianoa mikataba (ndoa) inayokua na mutual benefit,

Tukisema tuchukue maamuzi magumu kama vile kuzalisha wenyewe basi ni lazima baadhi ya sector tuwavunjie mikataba, tupandishe kodi kwa bidhaa za nje ili kulinda soko la bidhaa za ndani.

Kiufupi tutakua tunakiuka makubaliano ya mwanzo na wadau wetu. Jambo ambalo litaleta migogoro mingi na mkubwa mno. Mfano mzuri ni hapo awamu ya tano kilichotokea unakuta hadi wazawa nao wanaungana na mabeberu kukosa wakati nia na dhamira ni njema na kwa maslahi mapana ya nchi.

Wasiwasi wasi wangu ni je kama tukiamua kufanya hivyo tunaweza kuhimili mapigo?

Tukipigwa vikwazo tutahimili kweli na je,

Idara ya usalama inauweza muziki na kina CIA, MI6. Tupo vizuri kweri kwenye counterintelligence?

Mtandao kama wa kigogo tunaweza tukaudhibiti?

Maana kuna level katika ujasusi mkipigwa hiyo mnajikuta na uzalendo wenu wote mpo upande wa mahasimu wenu na mnawasaidia kazi pasipo kujua.
 
Prof. Ali Mazrui alisema; “Africa produces what it does not consume and consumes what it does not produce.”

Nimeangalia na kweli nimeona kuna ukweli mzito sana hapa.
  1. Sasa labda tujiulize WHY?!
  2. Na Je ni kweli?
  3. Na mwisho kabisa How can we rectify the Issue?
As what am seeing tunapoelekea hata producing for other to consume will not be the case.
'We produce what we can't consume and we consume what we can't produce' ni ombwe katika nchi nyingi duniani. Licha ya kuwa na malighafi ya kila kitu lakini huwezi kuzalisha kwa sababu mbalimbali zikiwemo uduni wa technologia, uhaba wa wataalamu, viwanda duni hata soko kwa kile unachokizalisha.

Zipo pia gharama za kutengeneza hizo bidhaa au gharama za kuzalisha. Kuna wakati ni bora ununue kwasababu ukinunua utanunua kwa bei nafuu zaidi kuliko kutengeza.

Uwepo wa hii hali ndio umetufanya tuwe na biashara baina ya nchi na nchi.

Ubwela ubwela.
 
'We produce what we can't consume and we consume what we can't produce' ni ombwe katika nchi nyingi duniani. Licha ya kuwa na malighafi ya kila kitu lakini huwezi kuzalisha kwa sababu mbalimbali zikiwemo uduni wa technologia, uhaba wa wataalamu, viwanda duni hata soko kwa kile unachokizalisha.

Zipo pia gharama za kutengeneza hizo bidhaa au gharama za kuzalisha. Kuna wakati ni bora ununue kwasababu ukinunua utanunua kwa bei nafuu zaidi kuliko kutengeza.

Uwepo wa hii hali ndio umetufanya tuwe na biashara baina ya nchi na nchi.

Ubwela ubwela.
Am all for Free Market..... Like Adam Smith Said;

“It is the maxim of every prudent master of a family, never to attempt to make at home what will cost him more to make than to buy. The taylor does not attempt to make his own shoes, but buys them of the shoemaker.”

Hapo Keyword ni what will cost him more to make than to Buy....; Sasa nikupe mifano miwili ya kinachoendelea sasa na achana vitu kama Madini au Mazao ambayo bei kandamizi zinapangwa na developed countries hivyo kupewa Raw Deal....

Tunanunua mafuta (petroli) kutoka nje ambapo inagharimu foreign currency bila kufanya jitihada za juu angalau magari ya serikali au mwendokasi kutumia CNG ambayo ipo nchini (okay hapo unaweza kusema itachukua muda kuweka miundombinu na watu kuzoea)

Sasa hivi kuna wimbi la mazingira ambapo tunia inatoa pesa za Nishati Safi..., badala ya kutumia hii opportunity kuhakikisha watu tunawasambazia umeme na kumaliza Bwawa bei zishuke ili watu watumie umeme kupikia tunahangaika kugawa mitungi ya gesi (ambayo sio yetu tunanunua) na tunahangaika kuwa madalali wa kutafuta mwekezaji sijui asambaze nini wakati kwa kuongeza mtu kati ni dhahiri kwamba bei za umeme zitapanda...

Sasa swali je hatujui tunachofanya ? (Zamani kweli tulikandamizwa na Mabeberu kila Kona) je sasa hivi haya yanayoendelea nchini ni Mabeberu au umimi na watu kutaka kupata faida kwa mgongo wa walipa Kodi ?
 
Opportunity cost!

Ubepari. Business ni business. Tutaenda mbele, turudi nyuma kama sio biashara basi hakuna kitakachofanyika. Kutumia gesi kwenye magari..huenda ingeondoa ulazima wa kuagiza mafuta nje. Lakini its business. Mpaka sasa kuna vituo vingapi vya kutoa huduma hiyo ya CNG?

Haipo kwa bahati mbaya huenda wapo vigogo kwenye biashara ya mafuta.

Njoo kwenye umeme! Tuanze kupikia umeme...wakati umeme kwa siku unakatika mara kumi? Unataka tulale njaa? Bwawa la Nyerere hata lilijaa kiasi gani watakuja kusema miundombinu mibovu... hitilafu, mvua n.k

Ni biashara. Biashara.

Tufanyeje? Vijana hamtaki kujiandikisha kupiga kura kuchagua watu wakini. Tufanyeje? Siasa yetu hii ndio imetufikisha hapa. Umimi, tumbo, mimi tumbo. Kesho yetu hakuna anayeizungumzia.

Leo hii gesi ya mtwara ilipaswa kuifanya mtwara kuondokana na matumizi ya kuni na mkaa, magari yaachane na petroli na dizeli...lakini baishara.

Tutarudi palepale.

Kwann usafiri wa treni usitumike kusafirisha makontena yenye mizigo mizito? Haya maroli huku barabarani yasiwepo. Uwepo wao ..kila siku barabara zinaharibika shauri ya uzito wa mizigo. Lakini?? Biashara!

All for free market lakini kama serikali haitasimama kidete...tutaenda mbele tukirudi nyuma.
 
Back
Top Bottom