Why Are Most Degree Holders In Kenya Poor??

Your screenshots clearly indicate that you're using Chinese 2nd tier phones like innjoo and the likes.... Why do you spend 35k on drinks???? Na phone yako less than 10k

sent from iPhone 7
Hapa nilipo na smart phone 3 nayo tumia hii is more expensive than your iPhone 7. It can't be tracked try and see. Jaribu kutuma codes zakuchukua screen shot ya front camera uone. Lakini hapa nilipo najua sura yako wewe ni nani.
Fool.
 

Hebu acha kutupamba kwa uwongo, ndugu mkenya elewa Tanzania hadi sasa tuna miaka mitatu hatujaongezwa mishahara, wafanyakazi wengi wenye degree serikalini wanapata chini ya Milioni 1, yaani wengi take home ni 700,000 hadi 500,000 kwasasa tunafyeka pesa ya student loan board basi take home zetu zinacheza kwenye 600,000 hadi 150,000 kwa pesa za kitanzania.
Hao wenye mishahara ya zaidi ya milioni 2 serikalini hawazidi hata 2% ya wafanyakazi wote

Magufuli hana huruma kwa wafanyakazi hata kidogo
 
Tanzania niya pili(2) kwa kuwa na uchumi unaokuwa kwa kasi Africa.
 
Data mpya wapi pata hii ya 2017 reportView attachment 556111 View attachment 556109

Tanzania niya pili(2) kwa kuwa na uchumi unaokuwa kwa kasi Africa.View attachment 556107

Hebu fanya hii hesabu:

Kuna watoto wawili, A na B

Mtoto A ana peremende 47

Mtoto B ana peremende 70

Ukiamua kuwaongeza hawa watoto perenende.....tuseme umpe mtoto A peremende 7 (47+7) na mtoto B peremende 6 (70+6), wote sasa watakuwa na peremende ngapi kwa ujumla?

Sasa hebu endelea kuwaongezea watoto hawa peremende idadi hizo hizo mara tano ama hata mara kumi.

Mf:

A- 47+(7*5) na B- 70+(6*5).

*******

Je, kweli Tanzania itaweza kuipiku Kenya kiuchumi ikiwa inakuwa kwa asilimia 7% ilhali Kenya ikiendelea kukuwa kwa asilimia 6%?
 
Tanesco Upande wa Technians, Artisans na Engineer wako na Pesa ndefu kwelo hao certificate hakuna alie chini ya 700K
 
You know 50000 a month is roughly 600,000 a year

That is 6000$ GDP per capita higher than Most Tanzanians scratch that All tanzanians

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lol i thought this immediately i saw that article hehehe

6000$ pee Capita is poor now??? Lol mitanzania imekosa Hoja sasa ni povu tu kila mahali


6000$ !! Are you kidding me?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata hyo 35,000kshs

Kwa mwaka hio ni 420,000kshs au 4200$

4200$ is still way above most middle income countries including most of south america and asia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tupe mmoja ambae ana phd na anaishi ulivyo sema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tatizo lenu mmegeuza mada badala ya kujadili umasikini wa wasomi, mnajadili ya tz na kenya
Fool

Enda angalia nani amegeuza mada baada ya kuulizwa

Kama 50000kshs per month inakuwa

6000$ a year who is poorer?? Tanzania kwa mwaka per capita ni 997$ aibu hamna


Enda angalia nani amegeuz mada

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa nilipo na smart phone 3 nayo tumia hii is more expensive than your iPhone 7. It can't be tracked try and see. Jaribu kutuma codes zakuchukua screen shot ya front camera uone. Lakini hapa nilipo najua sura yako wewe ni nani.
Fool.
Una utoto sana .....its like ww ndio umefunga kidato kuenda likizo ukaingia JF mea baba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi sipo huko kwenye mabishano yenu ya TZ na KE mkuu…
Mimi naomba unisaidie connection na jina la hiyo company wanayolipa hivyo nikaombe hata kazi ya ulinzi labda ninaweza pata na mimi hiyo milioni 1 anayolipwa mupishi[emoji3] [emoji3] [emoji3]!


Pambana na hali yako.
Kamata fursa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nimetoa info za private sector. Maisha ni mwangu sitokuja ajiriwa na serikali, mimi na ajiri. Alafu uweunasoma article kwanza. Hakuna mfanyakazi TRA mwenye nyumba moja. Mimi naishi Mbweni na watu wa serikalini. They are very rich. Kiufupi billioners. Labda kama wewe unabeba ma file.
 
Nenda Mikocheni karibu na Hospitality ya Kairiku kuna company inaitwa Handeni Gold and Exploration iko chini ya Reginald Mengi na wa Canada. Mlinzi anapokea si chini ya 700,000/=Mpishi anaewapikia hao wa Canada anapokea 1 million. Uzuri wanaishi pembeni ya hiyo office. Secretary anaitwa Mary kaombe kazi hapo. Hakuna professional anaepokea chini ya 4 million kama upo vizuri. Mary atakusaidia cause yuko karibu sana na Reginald Mengi nando kamuweka hapo. Pia wanafanya na biashara yakununua madini yote. Utacheza na dollars sana hapo. Ukishindwa nitafute cause mimi nafanya biashara nao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…