Una uhakika gani sifanyi kazi??Kama wewe ni mmoja wa wale unaesubilia vya bure za enzi ya Kikwete huto weza kuona. Join the team yakufanya kazi. Vya bure alikufa.
Nenda Mikocheni karibu na Hospitality ya Kairiku kuna company inaitwa Handeni Gold and Exploration iko chini ya Reginald Mengi na wa Canada. Mlinzi anapokea si chini ya 700,000/=Mpishi anaewapikia hao wa Canada anapokea 1 million. Uzuri wanaishi pembeni ya hiyo office. Secretary anaitwa Mary kaombe kazi hapo. Hakuna professional anaepokea chini ya 4 million kama upo vizuri. Mary atakusaidia cause yuko karibu sana na Reginald Mengi nando kamuweka hapo. Pia wanafanya na biashara yakununua madini yote. Utacheza na dollars sana hapo. Ukishindwa nitafute cause mimi nafanya biashara nao.View attachment 556176
Acha uongo kabisa...........hakuna MTU anapata hiyo pesa ,,,umegusia mashirika ya madini na mengineyo makubwa hapo sawa.After deduction zamifuko ya jamii na tax you remain with 35,000 almost to 700,000/= Ambayo mimi hiyo nikenda nayo High spirit au Runway just for a weekend narudi bila change. Cause one bucket of drinks will cost me 250,000/=. Nikinunua mbili?? Hiyo sio pesa. A degree holder huku wanalipwa hadi 6 million. Kuna rafiki yangu ni geologist wa kampuni moja hapa TZ pia degree holder analipwa 12 million mpishi wao analipwa 1 million. Poor Kenya alafu unajilinganisha na TZ kwenye mishahara. Huku kunawatu wanalipwa pesa kicha mishahara in terms of dollars.
Habari ya kutumia pesa kwa ajili ya ulevi....hata ungekuwa unalipwa Dollar Billion 10......kwa kiywaji haiwezi tosha...KBS.Ata million 10 ukiipeleka kwenye starehe hazitoshi...sioni tatizo lolote mtu kupata laki 7 za TZ au 35000 ksh kwa upande wa pili,laki saba ni pesa nyingi kama utaipeleka kwenye matumizi ya msingi, izo pombe haziko katika mahitaji ya msingi ya binadamu,laki 7 unaweza pata chumba na sebule kwa sh 150000 tsh,ukanunua cooking gas 18000tsh ukanunua vyakula na nauli na bia ukanywa nyingi tu...sioni tatizo lolote japo sio pesa ya kujikweza nayo....kama wewe ni graduate nategemea iyo laki saba izae pesa zingine haiwezekan uridhike nayo the whole year ndio monthly income yako....unaweza usielewe lakini graduate wengi hupata laki 6 tsh na inakatwa mpaka wanatoka na 480k tsh na bado wanafanya mambo ya msingi kipitia vipato vingine vidogo vidogo, graduate wanaopata zaidi ya laki 6 tsh mara nyingi ni waliosoma science Au kozi za biashara na apate kazi kwenye kampuni au mashirika...izo pesa ni ndogo kuzitamka lakini kuzifanyia kazi uzipate sio jambo dogo
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
private sector inawezekana kulipwa hivyo au hata zaidi na hata serikalini kabla hajaingia JPM walikua wanalipwa mishahara mikubwa sana ila kwa sasa wanaoja joto la jiwe wengi mishahara imepunguzwa...After deduction zamifuko ya jamii na tax you remain with 35,000 almost to 700,000/= Ambayo mimi hiyo nikenda nayo High spirit au Runway just for a weekend narudi bila change. Cause one bucket of drinks will cost me 250,000/=. Nikinunua mbili?? Hiyo sio pesa. A degree holder huku wanalipwa hadi 6 million. Kuna rafiki yangu ni geologist wa kampuni moja hapa TZ pia degree holder analipwa 12 million mpishi wao analipwa 1 million. Poor Kenya alafu unajilinganisha na TZ kwenye mishahara. Huku kunawatu wanalipwa pesa kicha mishahara in terms of dollars.