Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kweli kabisaa membe hatufai kuwa raisi. Kuna wakati alihudhulia sherehe ya uhuru wa misri kutimiza miaka 61 palupanga dar es salaam, ambapo alikaa kimyaaa huku balozi wa misri akiitukana matusi machafu sana uingereza karibia toka mwanzo mpaka mwisho wa sherehe. Wakati hu huo ubalozi wa misri nchini nchini uingereza haukuthubutu hata kunyanyua ulimi kuikandia uingereza. Halafu akiwa waziri wa mbo ya nje, katembeleanchi zote zakiarabu mpaka utruki lakii hakuthuutu kutembelea israel. Swala tazania kjiunga oic yeye hakukerwa mpaka kiongoziwa kanisa la mahehebu ya thabato tanzania alpolalamika magazetini.
Sina imani nae kabisaaa!
Unamaanisha membe ni ushuzi unaochukua sekunde 30 kuwepoWapambe Wa Membe Wanamsifia Sijui Kwalipi Jema Kaifanyia Nchi? Kashfa Ya Escrow Membe Hatukumuona Akilaani Na Kuwataka Wang'oke Walohuska,lakini Kimya Bungeni Sikumsikia! Haya Katiba Mpya Ya Kifisadi Sijamsikia Akiipinga Bungeni Au Hata Kuikosoa!Kashifa Ni Nying Lakini Membe Humsikii! Ukimsikia Membe Anazungumza Ujue Anailaani ISRAEL KWA KUUA NDG ZAKE WAPALESTINA, MAUAJI YA ISI, BOKO HARAM, ALSHABAB MEMBE HUMSIKII.UTAMSIKIA AKIILAANI ISRAEL! UFISADI ULOFANYIKA NCHINI HUMSIKII BUNGENI AKIPINGA WAZI WAZI.MEMBE NI MIONGONI MWA MAFISADI WATANZANIA TUSIFANYE MAKOSA HATA KIDOGO.RAIS WETU HAPA NI MHE. Sana Dr Mtukuka Wilbroad Peter Slaa Tumaini La Wanyonge Au Mhe. Edward Ngoyai Lowasa Kiboko Cha Wakurugenzi Wabadhirifu.Hanaga Mambo Ya Tume.Yeye Maamuzi Ni Ya Papo Kwa Hapo Siyo Kama Pinda Mtu Kaiibia Serikali Bado Mnazi Kupoteza Pesa Za Kuwalipa Wajumbe Wa Tume Kisha Mhusika Anaishia Kutenguliwa Cheo Badala Ya Kufilisiwa Mali Zake Ili Kufidia Hasara.CHONDE CHONDE TUSIFANYE MAKOSA MUNGU HATATUSAMEHE
Kwanini umtaje Membe peke yake
Wapambe Wa Membe Wanamsifia Sijui Kwalipi Jema Kaifanyia Nchi? Kashfa Ya Escrow Membe Hatukumuona Akilaani Na Kuwataka Wang'oke Walohuska,lakini Kimya Bungeni Sikumsikia! Haya Katiba Mpya Ya Kifisadi Sijamsikia Akiipinga Bungeni Au Hata Kuikosoa!Kashifa Ni Nying Lakini Membe Humsikii! Ukimsikia Membe Anazungumza Ujue Anailaani ISRAEL KWA KUUA NDG ZAKE WAPALESTINA, MAUAJI YA ISI, BOKO HARAM, ALSHABAB MEMBE HUMSIKII.UTAMSIKIA AKIILAANI ISRAEL! UFISADI ULOFANYIKA NCHINI HUMSIKII BUNGENI AKIPINGA WAZI WAZI.MEMBE NI MIONGONI MWA MAFISADI WATANZANIA TUSIFANYE MAKOSA HATA KIDOGO.RAIS WETU HAPA NI MHE. Sana Dr Mtukuka Wilbroad Peter Slaa Tumaini La Wanyonge Au Mhe. Edward Ngoyai Lowasa Kiboko Cha Wakurugenzi Wabadhirifu.Hanaga Mambo Ya Tume.Yeye Maamuzi Ni Ya Papo Kwa Hapo Siyo Kama Pinda Mtu Kaiibia Serikali Bado Mnazi Kupoteza Pesa Za Kuwalipa Wajumbe Wa Tume Kisha Mhusika Anaishia Kutenguliwa Cheo Badala Ya Kufilisiwa Mali Zake Ili Kufidia Hasara.CHONDE CHONDE TUSIFANYE MAKOSA MUNGU HATATUSAMEHE
.... Very sad!
Kwani vigezo vya kuwania urais ni vipi? Au jibu hili, sera zake ni zipi?
Acha majungu mkuu. Aina hii ya uswahili ni ile tabia za uvivu wa kufikiri. Kushabikia mambo ya kipuuzi kwa kutumia domo kubwa! Porojo za barazani.
Kwa taarifa yako na wenzio, nchi inahitaji kiongozi mtawala na anayemudu utamaduni wa siasa zenu za kisanii. Yule ambaye ataweza ondoa usanii uliorasimishwa na wajanja flani. Anayejua yote hayo na anayeweza kuwashughulikia hao ambae anayo nia ya dhati kufanya hayo bila kigugumizi ni mmoja tu. Membe. Acha kama hutaki
ulitaka akutaje na wewe? Ametajwa membe maana alislimu na ana kihelehele cha kuutaka urais wakati hana sifa.
Kivuli cha Balozi wa Libya ambaye alipotezwa na membe kisha kuzuga kuwa alijiua Mwenyewe. Huo mzimu wa balozi wa Libya umemtafuna sana ndiyo maana hata JK hajamuunga Mkono juu ya kutaka Urais , Mengi ni Fisadi mkubwa Mapesa ya Gadafi cash dollars masanduku kadhaa ameyaweka kwenye handaki nyumbani kwake anasubiri mda aanze kununua njia ya kuelekea ikulu kwa dola hizo za Gadafi.Kweli kabisaa Membe hatufai kuwa raisi. Kuna wakati alihudhulia sherehe ya uhuru wa misri kutimiza miaka 61 palUpanga Dar Es Salaam, ambapo alikaa kimyaaa huku balozi wa misri akiitukana matusi machafu sana Uingereza karibia toka mwanzo mpaka mwisho wa sherehe. Wakati hu huo ubalozi wa misri nchini nchini uingereza haukuthubutu hata kunyanyua ulimi kuikandia uingereza. Halafu akiwa waziri wa mbo ya nje, katembeleanchi zote zakiarabu mpaka utruki lakii hakuthuutu kutembelea Israel. Swala tazania kjiunga OIC yeye hakukerwa Mpaka KIongoziwa kanisa la mahehebu ya thabato Tanzania alpolalamika magazetini.
Sina Imani nae kabisaaa!
Maadamu ushasema Membe ni hewa tu sasa nani akapigie kura OXYGEN na HYDROGEN? mimi na kura ya mke wangu hapati hata akija na Magobore ya ALSHAABABU.
Kivuli cha Balozi wa Libya ambaye alipotezwa na membe kisha kuzuga kuwa alijiua Mwenyewe. Huo mzimu wa balozi wa Libya umemtafuna sana ndiyo maana hata JK hajamuunga Mkono juu ya kutaka Urais , Membe ni Fisadi mkubwa Mapesa ya Gadafi cash dollars masanduku kadhaa ameyaweka kwenye handaki nyumbani kwake anasubiri mda aanze kununua njia ya kuelekea ikulu kwa dola hizo za Gadafi.Kweli kabisaa Membe hatufai kuwa raisi. Kuna wakati alihudhulia sherehe ya uhuru wa misri kutimiza miaka 61 palUpanga Dar Es Salaam, ambapo alikaa kimyaaa huku balozi wa misri akiitukana matusi machafu sana Uingereza karibia toka mwanzo mpaka mwisho wa sherehe. Wakati hu huo ubalozi wa misri nchini nchini uingereza haukuthubutu hata kunyanyua ulimi kuikandia uingereza. Halafu akiwa waziri wa mbo ya nje, katembeleanchi zote zakiarabu mpaka utruki lakii hakuthuutu kutembelea Israel. Swala tazania kjiunga OIC yeye hakukerwa Mpaka KIongoziwa kanisa la mahehebu ya thabato Tanzania alpolalamika magazetini.
Sina Imani nae kabisaaa!
membe ni shetani tena hayawani mimi nawalaani sana watanzania hasa washabiki wa ccm ni kama wana laana nzito karibia wote,wanachama wa ccm hata awekwe nyoka wao huchagua tu,ukiuliza eti chama kimetulea,shortly kama membe atapitishwa kugombea na nec lazima atashinda,maana tanzania ina laana,asiyeamini leo atakuja kuamini kesho,hapo ndo atafanya mambo ya ajabu na tutajikuta tunakuwa taifa linalofuga magaidi,makombora ya marekani na israel hatutayakwepa
membe akiwa rais,watanzania ikataeni ccm ni hatari mno kwa maisha yetu.