Uchaguzi 2020 Why Bernard Membe is not a presidential material, at all!


Basi kama Membe aliwahi kutumwa kuua demokrasia na hakufanya kama Maswi basi anafaa sana kwa ustawi wa Tanzania. Kama Membe hana akili na kwa shule za seminari ambako hakuna kujuana wala nini alifikaje form six? Kama Membe hajawahi kufanikisha mission ya kijasusi ambazo tunajua wakati wa chama kimoja ilkuwa ni ukandamizaji basi Membe ni mwema kwa wananchi waliokuwa huru kuongea.

Kwa kifupi, huwezi kutegemea treni yaani kichwa na mabahewa yake iende vizuri kama kichwa ni horrible!!! Halafu inaonekana kama hujafurahishwa na maamuzi ya Membe hapo wizarani na kukunyima maslahi fulani ukiwa kama mtumishi wa wizara hiyo!!!
 
Msichafue watu, ni vema ukaacha watanzania wakaamua wenyewe kuliko kuanza kupigia debe hao waliokutuma.
 
Humjui Membe ww peleka hizi njaa zako Monduli ukale buku 7
 
Msichafue watu, ni vema ukaacha watanzania wakaamua wenyewe kuliko kuanza kupigia debe hao waliokutuma.
Yericko ye ni Mkenya??!!ndo ameamua hivyo,labda useme kwa nini maamuzi yake kayaanika,hata hivo katiba imemruhusu
 
Yes hana uwezo na dhamira kama walivyo CCM wote,sasa isionekane bwana ako kapata uchochoro.hatujaja kumtawaza Lowasa hapa

Mkuu we waache hawa vijana waneng'eneke, hapa tutawapia wote kwakuwa huko ccm hata angejitokeza Mtume au Yesu basi hafai kuwa rais wa Tanzania, kuichagua ccm ni laana
 

Mimi ni mkulima wa bamia tu huku Mbutu Kigamboni sio mfanyakazi wa wizara ya membe
 
Acheni kutumika kwa masilah ya wanasiasa wasio objective kwa watanzania.
 
Kwa kwa kuwa umetumia kigezo cha uwezo wake wa darasani na kwa kuwa kigezo hicho kinahusiana na alivyopata elimu yake.

Basi, ni vyema na haki utupe wasifu wake wa kielimu pia, alipita wapi na alikwama wapi kwenye elimu yake.

Ni kawaida sana kwa miaka ya zamani watu kufeli na kurudia, vip Membe kuna historia hiyo?ukipeleka kwa milengo ya aina hiyo ndipo utakapokuwa na haki kusema hakuwa na uwezo darasani au vipi.

Kuna shule zingine, kama Ilboru na Mzumbe za zamani, ilikuwa ngumu sana kuwika kwemye darasa lako, lakini ata mtu asiye 20 bora huko akienda shule nyingine angeweza kuwa kichwa chao, hivyo sio haki kumpima kwa kuangalia tu darasani kwake kama alikuwa kipanga miongoni kwa wenzake lakin kupitia kigezo cha jumla, pote alipopita kuna matokeo ya jumla.

Kuhusu kutowahi kuwa kiongozi kabla hiyo sio kigezo cha udhaifu wake, kuna suala la malengo na mipango, kwamba kwa wakati fulani unataka ujikite zaidi kwenye jambo fulani hivyo jambo lingime unaliachia lipite kwanza.

Kuna watu wengi waliokuwa wanamichezo wazuri lakin hawakuwa wanashiriki umishumta wala umiseta maana ni distraction kwa walichokuwa busy nacho shule.La pili ni debatable pia je uongozi mtu anazaliwa nao au anajifunza?na wataalamu wengi wanakubali kuwa uongozi kama nyanja zingine zozote unafunzwa.

Lakii kingine Plato Myunani wa kale anayeheshimika sana alipata kusema "Wanafalsafa ndio wanaofaa kutawala maana wanasifa kuu mbili muhimu, kwanza wanaweza kutawala lakin pili hawapendi kutawala" akaendelea kusema ni "wapo tofauti na wanasiasa wa kawaida ambao wanapenda kutawala wakati hawawezi kutawala"akasema Jamii Iwatambue watu hao ni iwafor e wachukue uongozi.Hivyo kigezo cha kuwa kiongozu kila ulipopita jambo ni ishara kuwa unapenda uongozi lakini sio ishara kuwa unaweza uongozi au unafaa kuwa kiongozi, maana wanasiasa wa kaqaisa hutaka tu uongozi japo hawana uwezo wa kuongoza.
 
Hapana pingamizi Bernard Membe ni mfitinishi pengine mwenye wivu na hulka ya fitina chinichini hata anaweza kusababisha maafa.

Mwulizeni kwa nini hayuko karibu na viongozi wa Kanisa Katoliki wakati alikuwa mseminari akisomea upadre Kuanzia kidato cha kwanza hadi cha nne seminari ya Namupa na kisha "A" level huko Itaga, Tabora, hadi kuvaa Kanzu Seminari Kuu ya Peramiho, Songea? Kuna nini nyuma ya pazia?

Kifo cha kutatanisha cha Padre Serapius Komba kwa kuugua ugonjwa wa kufa ubongo polepole kilihuzunisha na hakitasahaulika na wengi, hayati Padre Serapius Komba ambaye alikuwa Gombera wa Seminari Kuu Peramiho, mandishi mahiri na aliyejaliwa akili nzuri na mwenendo mwema wakati huo washiriki wa Bernard Membe akina hayati Padre Sebastina Napachihi waliotaka kushika nafasi ya ugombera hadi kuwa maaskofu walichokifanya kwa Serapius Komba anakijua na pengine kuwa mshauri na mbinu hatimaye mfanikishaji wa tukio.

Akiwa ameshavua kanzu na kufanya kazi Ikulu usalama wa taifa kitengo hicho cha ujasusi hayo yakitokea Seminari Kuu Peramiho Bernard Membe alikovaa kanzu ya useminari na kusomea masomo ya awali ya filosofia yanayotangulia teolojia alivua kanzu na kwenda huko kufanya kazi Ikulu na kisha kutokea hayo pale seminari kuu Peramiho. Hayuko karibu kabisa na kanisa lililomsomesha na kumlea hadi awe alivyo na pengine kuna kinachomsumbua alicholifanyia kanisa na kuambua kukaa mbali kabisa.

Kwa macho yangu nikiwa mdogo nasoma shule tukienda kuangalia mpira nilimshuhudia akiwa na Kanzu seminari Kuu Peramiho alikuwa na mazoea kusafiri na timu ya mpira wa miguu ya waseminari akiwa shabiki wa timu hiyo. Alionekana mtulivu sana kama ilivyo kawaida ya waseminari wengine ila hakuonyesha upekee. Kwa waliokuwa karibu naye huko alikosomea Peramiho alionekana kuwa karibu katika kila tukio na kujua kila kinachojilia seminarini, pengine alishakuwa na kazi maalum pale seminarini bila wakubwa wake kujua hadi walipomshtukia baadaye sana.
 
Mwalimu alisema ukila nyama ya binadamu huwezi kuacha labda ndio sababu kaslimu....naskia cardinal pengo alishamfukuza membe ofsni kwake alipoenda kumuomba kanisa liruhusu Tanzania kujiunga IOC
 
Very petty! acha umbeya
Unauliza and I quote, 'Je dhamana kubwa kabisa ya Urais wa Jamhuri anaweza ikiwa Wizara tu imemshinda?'
Jibu: Kama mtawala na mwanasiasa ANAWEZA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…