Uchaguzi 2020 Why Bernard Membe is not a presidential material, at all!

umemtetea sana ila watanzania tunasema membe ni dhaifu hana jipya zaidi ya kujilambalamba mdomo kuleni ela zake vzuri
 
yericko umenena joka la mdimu halina hadhi ata ya kuwa dc wanamlia ela za rambirambi za hayati ghadafi kina lizabon na gsu na team mdimu...siasa zake za fitina zmefka mwsho

Kizazi cha kikachezo hakitakosa kulilia makechezo wenzake.
 


Una hakika Membe alikuwa naibu waziri Wa mambo ya ndani kuanzia 2000?

Ni vizuri ukatafuta kwanza info zenye ukweli kabla ya kujiabisha hivi.
 

Kwa maelezo yako bila shaka Membe anafaa, hatutaki watu watakaoebda ikulu kulipa fadhira, hivyo kama kigezo chako ni Membe kulipa fadhira kwa alivyopanda basi ni kiongozi mzuri.

Katika wakati ambao nchu yetu ina uhuru wa kuabudu na haina dini, hatutaki Rais atakayeenda Ikulu na Ukatoliki wake ay Ulutherni wake au Uislamu wake; kama Membe haendi na ukatoliki wake basi ni namna halali ya kwenda Ikulu ili asilipe fadhira huko kama atafika.

Kingine hujamtendea haki Membe wala kanisa katoliki, umeweka kifo cha Padri alafu unawashutumu Mapadre wengine kuhusika na kifo cha Padri mwenzao alafu Membe unamlaumu kwa Mapadre wengine kumuua Padre mwenzao?sasa Membe alikuwa Askofu?hulitendei haki kanisa Katoliki kwa kashfa kubwa ya aina hii.
 
Katila watu tabu kuwatetea ni Membe,huwa naona humu jukwaani buku 7 wake wanavyohanya
 



Mwelewa na maelezo yangu mwenye upeo na utu atanielewa nyuma ya pazia naongelea nini, lakini kwa mtazamo wako endelea hivyo hivyo lakini ukweli ndio huo, mficha madhambi mwisho humwumbua na tunazidi kushuhudia hayo.
 
Una hakika Membe alikuwa naibu waziri Wa mambo ya ndani kuanzia 2000?

Ni vizuri ukatafuta kwanza info zenye ukweli kabla ya kujiabisha hivi.

Mkuu lusungo,imeandikwa aliingia ubunge mwaka 2000,kwa nilivoelewa hilo la unaibu lilifuata ndo maana kuna koma
 
Watch "M/Kiti wa CCM Jakaya Kikwete akagua Gwaride la Chipukizi wa Awali na Msingi Kisha Hotuba Songea." on YouTube - M/Kiti wa CCM J.Kikwete akagua Gwaride Songea.: http://youtu.be/78D22O4h6l8
 

Hivi ninyi wabongo kukaa na kuandika upuuzi huu huwa mnapata wapi muda? Halafu mna bahati kweli maana sisi huwa tukitoa mada huwa inafungwa na wahusika.....huwa inaishia hewani. Tena huwa ni mada zilizokwenda shule kweli na si upuuzi huu wa kuongelea mapungufu ya mtu. Wewe umekaa ukaona ni vema sana uandike udhaifu wa huyu bwana. Kwani hebu nikuulize swali. Huo udhaifu wa darasani ulioutaja hapo kwenye mada yako ulitaka Membe awe na uwezo gani darasani ili ndo umwone anafaa? Ni maksi ngapi angepata ama dawati la tatu kutoka kulia alilokaa darasani akiwa seminari wewe ulitaka akae dawati la ngapi na kutoka upande gani ili tuone kuwa alivyokaa yeye ni alama ya udhaifu?
Eti unasema hajawahi kufanya lolote mpaka pale alipoingia kwenye siasa........' Huo ni uongo mkubwa!!! Membe ndiye aliyeongoza intelijensi katika vita vya Idi Amini. Ndiye aliyefanikisha kupata taarifa za wapi adui alipo na hatimaye Amini alichapwa mpaka akaikimbia Uganda. Na ni yeye ndiye aliyetathmini madhara ya vita hivyo. Wewe ulitaka aweje ndo uridhike kwamba ni mtu anayefaa?
Ulitaka amwoe dada yako? Watu wengine mnaudhi sana!
 
kuliko membe awe rais afadhali mwingine mara 100
 
Mimi nasimamia ukweli mkuu. Kama nimeongopa mwambieni aje ajitetee

Huo ukweli ulioweka hapo ndiyo sifa za kuwa Rais? Uliambiwa kuwa mwanafunzi bora darasani ndiye kiongozi bora? Ooh kasoma seminari ooh ukasisi,haya hayana maana kwa watu hatuhitaji Mtume au Nabii auPadre au sheikh au mchungaji kama kisifa kimoja wapo cha mtu kuelekea Ikulu. Ni kheri tukaongozwa na Membe kuliko huyo na hao wanaokutumia kuwachafua wanaodhani ni kikwazo kwenu kuelekea Ikulu. Bado siku chache utanyamaza.
 
Vipi Dafi, Mgonjwa wenu anaendeleaje?

Naona sasahivi mmenunua mpaka radio feki inayoitwa Sauti ya Ulimwengu ili tu impambe mzee wenu.
Mgojwa wao hata kushika karatasi hawezi,report ya kamati anakaimisha,mama dk zaidi ya 30 kusimama hawezi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…