Uchaguzi 2020 Why Bernard Membe is not a presidential material, at all!

Uchaguzi 2020 Why Bernard Membe is not a presidential material, at all!

Tanzania inaweza kuongoza na mtu hata wa klasi seven, kwani kama kiongozi ni nadra sana kutumia jasho na akili. Ni kiasi cha kutoa amri kibashitebashite mambo yanajipa yenyewe.

Na kwakua hakuna uwajibikaji wa matendo yetu kama viongozi bali upo uwajibikaji wa wale wanaotofautiana na mwenye Power tu, na wanashughulikiwa kirahisi kama kuua panya kwa rungu moja. Hivyo, Mh.Membe anaweza kuongoza Tanzania bila matatizo. Sio kazi ngumu kuiongoza nchi.

Pamoja na kukiri sifa za Mh.Membe. Bado simshauri agombee uraisi. Maana urahisi wa kuongoza ndivyo ugumu wa kumtoa aliye madarakani ulivyo.
Magufuli ananguvu nyingi sana. Yule ni chuma cha reli ya std gauge. Mfupa wa membe laini utavunjikia hapo akileta kibri. Yeye na wafuasi wake watajutia.

Ccm ya leo ni ccm ya magufuli. Membe Akae pembeni ale kiinua mgongo chake. Kwani ni nini bwana?. haya maisha tu, yanapita. Uzee uleeeeeeee.
Kwanini inaonekana anaung'ang'ania urais hivyo na wakati alisema alikuwa hautaki ilitokea bahati mbaya? Au utamu mmeonja sasa mnaganda hapo kama kupe. Ana nguvu gani nyingi?semeni nyie ni wadhaifu ndo maana mnaona hivyo.
 
Rais magufuli aliupata urais kwa sababu ya maugomvi yao humo ccm , ikawa sandakarawe maana alibaki yye na wala wakina mama wale _, sasa huwa najiuliza mambo mengi sana sijajua bado rais wa sasa anatawala kwa Sera IPI !?? Wanyonge ??! Kweli kweli wanyonge !?? Maana hao wenyonge naona wamezid kuwa watumwa zaidi huku vijijin na wale wa kipato cha kati kama wafanyakaz ndo wamenyooshwa na bado wananyooshwa barababara zile ahad za mpenzi wa wafanyakaz hapa hazipo , matajiri nao wamenyooka maana wote tunaimba mashairi ya aina moja tu ndo najiuliza hapa

Wanyonge ni kina nani labda mnisadie kwanza
 
Kwaniniinaonekana anaung'ang'ania urais hivyo na wakati alisema alikuwa hautaki ilitokea bahati mbaya? Au utamu mmeonja sasa mnaganda hapo kama kupe. Ana nguvu gani nyingi?semeni nyie ni wadhaifu ndo maana mnaona hivyo.
Ile ilikua stori tu,for public consumption tu. Si unajua hawajibiki kwa lolote hata akikudanganya?. Ukweli ni kua, Anaupenda uraisi sana, Tena angetamani uwe uraisi wa maisha.
 
Tabia ya ccm kutotayarisha wagombea urais na kusubiria lamri za akina Yusufu Marope baba wa mwezi wa kwanza ndio ilipelekea MKATULETEA JIWE NA HUENDA KIPINDI KIJACHO MKATULETEA MATOPE MKITIWA ROBA mleta mada huna uwezo wa kujua au kuamua mgombea urais awe nani hata KAMATI KUU hawajui usikute wakatuletea mtu kutoka milembe ili aokoe chama maana kumeshakuwa na hulka ya ccm kuokolewa na vichaa, kama ambavyo huyu mtukufu hakudhaniwa kuwa rais ndivyo iwezekanavyo kuondolewa
 
Kwanza nianze kwa kukupa pole nakumbuka kipindi kilee wachina na baadhi ya watanzania wakijenga kwako ulitamka neno kama watania kumbe ulimaanisha ukisema

"Jenga vizuri mwaweza kuwa mnajenga ikulu hii, yaan ya rais nijaye"

Mkuu naomba utulie kama ambavyo lowassa kashajikatia tamaa,

Siyo kwamba huna uwezo wa.kuwa rais, la hasha, ni kwamba mchakato unaopitia kujiandaa ni mbovu,
Tunajua huyu aliyeko madarakani kashatuimbisha mpaka nyimbo za chekechekea (mpera una maua mpera unamaua, -sasa saaa ya kwenda kwetu kwaheri mwalim kwaheri tutaonanaaa)

Lakin sasa nina sababu nne za msingi ambazo zitakufanya usiwe rais wa nchi hii

1. Intelligence ya Rais wa sasa imeenea kila eneo, kabla hamjatekeleza mnalopanga anakuwa nalo nyumba nyu
nyeupe tiyari

2. Umri wako unaenda na kwa mikakati inaonekana Kuna mtu anaamdaliwa kuachiwa kiti mwaka 2025 na automatically siyo wewe maana anayeachiwa ana hulka za kimagufuli magufuli, (Magufulifier)

3. CCM mnamuogopa mwenyekiti hivyo hata mfanye nini mtatekeleza anachosema yeye, yaan ndani ya ccm hakuna wa kukemea lolote mtaishia kumtembelea na kumpa hai, nasikia kuna mwingine pamoja na kuwahi kushika nafasi kubwa kaenda pale feri akaomba camera zizimwe abembeleze vema watu wasigiswe, haha aisee,

4. Faili lako liko kwake ukileta fyoko choko, kitambi kitapungia muda si mrefu, huoni kina seth na Rugemalira??

Ushauri wangu mambo ya urais yasahau kama Kina Malechela na Lowassa au kama walivyoishia kuugulia maumivu kina Mwandosya,


Britannica
Hiv membe kawafany nn nyie hapo vijana wa Lumumba? Mbona mbaba wa watu wala hana shda,naona mpak lile jarda la msiba nalo wiki hii ilishambulia sana!!?
 
Kwanza nianze kwa kukupa pole nakumbuka kipindi kilee wachina na baadhi ya watanzania wakijenga kwako ulitamka neno kama watania kumbe ulimaanisha ukisema

"Jenga vizuri mwaweza kuwa mnajenga ikulu hii, yaan ya rais nijaye"

Mkuu naomba utulie kama ambavyo lowassa kashajikatia tamaa,

Siyo kwamba huna uwezo wa.kuwa rais, la hasha, ni kwamba mchakato unaopitia kujiandaa ni mbovu,
Tunajua huyu aliyeko madarakani kashatuimbisha mpaka nyimbo za chekechekea (mpera una maua mpera unamaua, -sasa saaa ya kwenda kwetu kwaheri mwalim kwaheri tutaonanaaa)

Lakin sasa nina sababu nne za msingi ambazo zitakufanya usiwe rais wa nchi hii

1. Intelligence ya Rais wa sasa imeenea kila eneo, kabla hamjatekeleza mnalopanga anakuwa nalo nyumba nyu
nyeupe tiyari

2. Umri wako unaenda na kwa mikakati inaonekana Kuna mtu anaamdaliwa kuachiwa kiti mwaka 2025 na automatically siyo wewe maana anayeachiwa ana hulka za kimagufuli magufuli, (Magufulifier)

3. CCM mnamuogopa mwenyekiti hivyo hata mfanye nini mtatekeleza anachosema yeye, yaan ndani ya ccm hakuna wa kukemea lolote mtaishia kumtembelea na kumpa hai, nasikia kuna mwingine pamoja na kuwahi kushika nafasi kubwa kaenda pale feri akaomba camera zizimwe abembeleze vema watu wasigiswe, haha aisee,

4. Faili lako liko kwake ukileta fyoko choko, kitambi kitapungia muda si mrefu, huoni kina seth na Rugemalira??

Ushauri wangu mambo ya urais yasahau kama Kina Malechela na Lowassa au kama walivyoishia kuugulia maumivu kina Mwandosya,


Britannica

Ninyi GT,
Je? kuna mahali Kamillius kasema anautaka urais? Recently ? onyesha

Tusitumie kalamu zetu vibaya mpaka kufikia kuchonganisha watu, tusitumike vibaya!

Kamillius ni mzee mmoja makini sana na anaheshimu serikali hii hivyo msitengeneze scenes ili muuze gazeti.

Nashangaa kuna watu wanautaka urais usiku na mchana lakini hamuwasemi, ziara zao mikoani zimepigiwa kelele na katibu mkuu wa chama wa ccm kuhusu kujipanga lakini hamuwagusi. Tuache mahaba...!
 
Rais magufuli aliupata urais kwa sababu ya maugomvi yao humo ccm , ikawa sandakarawe maana alibaki yye na wala wakina mama wale _, sasa huwa najiuliza mambo mengi sana sijajua bado rais wa sasa anatawala kwa Sera IPI !?? Wanyonge ??! Kweli kweli wanyonge !?? Maana hao wenyonge naona wamezid kuwa watumwa zaidi huku vijijin na wale wa kipato cha kati kama wafanyakaz ndo wamenyooshwa na bado wananyooshwa barababara zile ahad za mpenzi wa wafanyakaz hapa hazipo , matajiri nao wamenyooka maana wote tunaimba mashairi ya aina moja tu ndo najiuliza hapa

Wanyonge ni kina nani labda mnisadie kwanza
Wanyonge ni bashite na genge lake maana ndio wanafaidi hii nchi
 
"mnamuogopa mwenyekiti hivyo hata mfanye nini mtatekeleza anachosema yeye, yaan ndani ya ccm hakuna wa kukemea lolote mtaishia kumtembelea na kumpa hai, nasikia kuna mwingine pamoja na kuwahi kushika nafasi kubwa kaenda pale feri akaomba camera zizimwe abembeleze vema watu wasigiswe, haha aisee,"duh
.....atakitaka kubadili katiba hamna wakumkataza ili endelee bila kikomo...... Hi ni hatari CCM na ukongwe wote mtu mmoja anabadili mfumo uliojengwa kwa zaidi ya miaka 50. Aibu kubwa kwa taifa.
Here is the point for those who think that ccm is rigid and can not be moved. If only one man moved it into his own power, then I think 1 party can just make it to vanish.
Mwl aliwahi kusema, upinzani wa kweli utatokea ccm. Hivyo, tusiwe na uhakika saana wa maono ya mtu aliyeko ccm.
 
Magufuli ndiye Rais kwa sasa, na atabaki kuwa Rais hadi muda wake wa kuondoka utakapofika.

Hakuna wa kumuondoa, waliota kafa waote vema tu....Ila pale yupo kwa kuwa wananchi walimpitisha.
[emoji32][emoji32][emoji32][emoji32]
 
Back
Top Bottom