Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Mleta mada, ukiambiwa uchague kati ya Membe na Jiwe unachagua nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
acha kujidanganya, magu ni matokeo ya mpasuko ndani ya chama, Kikwete alishamuandaa mrithi wake lakini akagonga mwambaNdiyo aliyempitisha magu.
tatizo lopo lopo sanaNimemkumbuka kipindi.anasema akiwa rais watu 12 wajiandae pale airport kuhamia kenya
mwenyekiti yule na mwenyekiti huyu ni tofauti lakiniwell crafted propaganda, tena sio kutoka CCM bali ni kutoka ndani ya serikali, endeleeni kujipa moyo, kama "mwenyekiti" ananguvu sana ndani ya chama basi Membe angepeperusha bendera 2015!
Sijapata kuona taifa la wajinga kama bongo
Wewe umesha kuwa mzoga. Kwishilia mbali!"mnamuogopa mwenyekiti hivyo hata mfanye nini mtatekeleza anachosema yeye, yaan ndani ya ccm hakuna wa kukemea lolote mtaishia kumtembelea na kumpa hai, nasikia kuna mwingine pamoja na kuwahi kushika nafasi kubwa kaenda pale feri akaomba camera zizimwe abembeleze vema watu wasigiswe, haha aisee,"duh
.....atakitaka kubadili katiba hamna wakumkataza ili endelee bila kikomo...... Hi ni hatari CCM na ukongwe wote mtu mmoja anabadili mfumo uliojengwa kwa zaidi ya miaka 50. Aibu kubwa kwa taifa.
Hivi CHADEMA ndiyo nini? Samahani nimesha sahau.Analeta mambo ya CHADEMA hajui sisi tuna demokrasia
Kwanza nianze kwa kukupa pole nakumbuka kipindi kilee wachina na baadhi ya watanzania wakijenga kwako ulitamka neno kama watania kumbe ulimaanisha ukisema
"Jenga vizuri mwaweza kuwa mnajenga ikulu hii, yaan ya rais nijaye"
Mkuu naomba utulie kama ambavyo lowassa kashajikatia tamaa,
Siyo kwamba huna uwezo wa.kuwa rais, la hasha, ni kwamba mchakato unaopitia kujiandaa ni mbovu,
Tunajua huyu aliyeko madarakani kashatuimbisha mpaka nyimbo za chekechekea (mpera una maua mpera unamaua, -sasa saaa ya kwenda kwetu kwaheri mwalim kwaheri tutaonanaaa)
Lakin sasa nina sababu nne za msingi ambazo zitakufanya usiwe rais wa nchi hii
1. Intelligence ya Rais wa sasa imeenea kila eneo, kabla hamjatekeleza mnalopanga anakuwa nalo nyumba nyu
nyeupe tiyari
2. Umri wako unaenda na kwa mikakati inaonekana Kuna mtu anaamdaliwa kuachiwa kiti mwaka 2025 na automatically siyo wewe maana anayeachiwa ana hulka za kimagufuli magufuli, (Magufulifier)
3. CCM mnamuogopa mwenyekiti hivyo hata mfanye nini mtatekeleza anachosema yeye, yaan ndani ya ccm hakuna wa kukemea lolote mtaishia kumtembelea na kumpa hai, nasikia kuna mwingine pamoja na kuwahi kushika nafasi kubwa kaenda pale feri akaomba camera zizimwe abembeleze vema watu wasigiswe, haha aisee,
4. Faili lako liko kwake ukileta fyoko choko, kitambi kitapungia muda si mrefu, huoni kina seth na Rugemalira??
Ushauri wangu mambo ya urais yasahau kama Kina Malechela na Lowassa au kama walivyoishia kuugulia maumivu kina Mwandosya,
Britannica
CCM mnataka kumfanya nini Membe, mkiambiwa ndani ya CCM hakuna uhuru mnakataa.Membe namfahamu sana anatakiwa kusoma alama za nyakati.
Uraisi hautafitwi kwa njia za kizamani anazotumia,ambazo zitamweka kwenye matatizo.
Siasa ya Rushwa kuhonga haina nafasi tena,.
Ye kwa sasa ni MTU mzima niaka,65 atulie tu alee wajukuu km kula amekula sana,amesahau nn serikalini?
Tunahitaji damu mpya 45-50 angalau sio 60+ hapana.
Naamini baba yangu Membe ni mdau wa jf kuwa makini,km ukiendelea na kampeni zako za siri utaishia sehemu mbaya sana,.
Washauri Wako wanakupotosha sana this z Africa.
PCCB wapo wanaona takecare.
CCM kwa haya mnayoendelea nayo inaweza kubomoka 2020 sabb kwanza ilishagawanyika vipande viwili "ccm asili na kadi" na pili mapandikizi ambayo mengine yametoka upinzani kwa maelekezo. Sitashangaa yatakayotokea 2020 maana KANU Kenya ilibomoka kwa njia hii ambayo Ccm sasa inapitaKwanza nianze kwa kukupa pole nakumbuka kipindi kilee wachina na baadhi ya watanzania wakijenga kwako ulitamka neno kama watania kumbe ulimaanisha ukisema
"Jenga vizuri mwaweza kuwa mnajenga ikulu hii, yaan ya rais nijaye"
Mkuu naomba utulie kama ambavyo lowassa kashajikatia tamaa,
Siyo kwamba huna uwezo wa.kuwa rais, la hasha, ni kwamba mchakato unaopitia kujiandaa ni mbovu,
Tunajua huyu aliyeko madarakani kashatuimbisha mpaka nyimbo za chekechekea (mpera una maua mpera unamaua, -sasa saaa ya kwenda kwetu kwaheri mwalim kwaheri tutaonanaaa)
Lakin sasa nina sababu nne za msingi ambazo zitakufanya usiwe rais wa nchi hii
1. Intelligence ya Rais wa sasa imeenea kila eneo, kabla hamjatekeleza mnalopanga anakuwa nalo nyumba nyu
nyeupe tiyari
2. Umri wako unaenda na kwa mikakati inaonekana Kuna mtu anaamdaliwa kuachiwa kiti mwaka 2025 na automatically siyo wewe maana anayeachiwa ana hulka za kimagufuli magufuli, (Magufulifier)
3. CCM mnamuogopa mwenyekiti hivyo hata mfanye nini mtatekeleza anachosema yeye, yaan ndani ya ccm hakuna wa kukemea lolote mtaishia kumtembelea na kumpa hai, nasikia kuna mwingine pamoja na kuwahi kushika nafasi kubwa kaenda pale feri akaomba camera zizimwe abembeleze vema watu wasigiswe, haha aisee,
4. Faili lako liko kwake ukileta fyoko choko, kitambi kitapungia muda si mrefu, huoni kina seth na Rugemalira??
Ushauri wangu mambo ya urais yasahau kama Kina Malechela na Lowassa au kama walivyoishia kuugulia maumivu kina Mwandosya,
Britannica
He is a mere dictator, hana la zaidi! Na madictator wana mwisho wao!Membe namfahamu sana anatakiwa kusoma alama za nyakati.
Uraisi hautafitwi kwa njia za kizamani anazotumia,ambazo zitamweka kwenye matatizo.
Siasa ya Rushwa kuhonga haina nafasi tena,.
Ye kwa sasa ni MTU mzima niaka,65 atulie tu alee wajukuu km kula amekula sana,amesahau nn serikalini?
Tunahitaji damu mpya 45-50 angalau sio 60+ hapana.
Naamini baba yangu Membe ni mdau wa jf kuwa makini,km ukiendelea na kampeni zako za siri utaishia sehemu mbaya sana,.
Washauri Wako wanakupotosha sana this z Africa.
PCCB wapo wanaona takecare.
Atufikishe mbali mara ngaoi??Bado sijaona kama Rais wa sasa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli. Tumpe ushirikiano atatufikisha mbali mno Kimafanikio na ipo siku tutakuja Kumkumbuka japo leo kuna ' Mapopoma ' wengi hawamuelewi kwa sababu zao wanazozijua Wao.
Mbona Lowasa alishindwa pamoja na maandilizi yaliyofanyika na mapesa aliyo yasambaza? Duuh! Jamaa alimkufuru Mungu! Aliwafanya wafuasi mpaka kulazimika kutambaa barabarani?Nchi ya wajinga hii, yeyote anaweza kuwa Rais....huyu wa sasa ni mtupu lakini tupo nae tu.