Andrew Nyerere
JF-Expert Member
- Nov 10, 2008
- 3,007
- 2,451
If people are Tropical animals why do those above not change into black...Hao unaowaona hapa Tanzania chimbuko lako lilihamia aidha enzi za utumwa au utafutaji maisha wakajikuta wameingia nchini na kupiga kambi.
Aaaah aaah. And you eat according to the length of your rope. Kwa hiyo kama kamba yako ni ndefu utakuwa mweupe au mweusi? Nimecheka sana.You are what you eat
Daaah. It is a long story...it is a short story....kwamba watu wametengenezwa maabara?! Brother Andrew, I guess this is an endless dream if not a moribund one.Zile ni rangi za rainbow. Actually tunayemuita mtu mweusi ni rangi ya zambarau,kama ambavyo sometimes umewaona watu wa West Africa ni weusi halafu wanakuwa kama vile zambarau. It is a long story. Actually it is a short story.In a far distant universe hawa purple people walileta space ship huku for exploration. Ndipo wakaiona Solar System ilivyoanza. Wakasubiri tu ipoe,halafu wakaweka watu. Watu waliowekwa hapa wametoka wapi? Wametoka kwenye maabara zao,wametengeza watu,wamewaleta hapa. Sisi labda siku moja proficiency yetu itaongezeka tutamtengeneza mtu na kumpeleka kwenye sayari mpya.
Zile ni rangi za rainbow. Actually tunayemuita mtu mweusi ni rangi ya zambarau,kama ambavyo sometimes umewaona watu wa West Africa ni weusi halafu wanakuwa kama vile zambarau. It is a long story. Actually it is a short story.In a far distant universe hawa purple people walileta space ship huku for exploration. Ndipo wakaiona Solar System ilivyoanza. Wakasubiri tu ipoe,halafu wakaweka watu. Watu waliowekwa hapa wametoka wapi? Wametoka kwenye maabara zao,wametengeza watu,wamewaleta hapa. Sisi labda siku moja proficiency yetu itaongezeka tutamtengeneza mtu na kumpeleka kwenye sayari mpya.
Ukiizungumzia Africans Jua kuna na Waarabu na wengine wenye ngozi Nyeupe.. Je wao Jua haliwapati...!?Yes dark skin favors sunny latitudes while pale skin suits polar latitudes,mkuu unapokaa sehem kama ulaya mwanga ni hafifu so ngozi ina adopt mazingira ya kule wakat Africa au south America dark skin ina faa kutokana na jua kali na pia usalama wa mwili
Kwa sababu wanaojichubua hutoa layer ya juu ya ngoziHalafu hua najiuliza kwanini ni rahisi mweusi kua mweupe tena kwa haraka tu, kuliko mweupe kua mweusi?
Wataalamu msaada plz.
wazungu wanafanya tanning. either akae kwenye jua au kuna mchanganyiko wanatengeneza halafu wanajipulizia wanakua brown.Kuna wazungu husema wanapenda rangi nyeusi, je ni kweli wameshindwa kutengeneza mkorogo wakawa weusi na wao au tayari wametengeneza ila hawajaanza kutumia au tayari kuna waliowahi kutumia.
????
Mkuu bila kujiuliza na kufanya tafiti mbalimbali kwa kusema tumwachie tu Mungu haya maendeleo ya kisayansi na teknolojia tuliyofikia leo tusingekuwa nayo.Haya tumwachie mungu
Daaah. It is a long story...it is a short story....kwamba watu wametengenezwa maabara?! I guess this is an endless dream if not a moribund one brother Andrew.
Kila siku nifungua JF lazima nipate jambo jipya la kujifunzasababu kuu ni Melanin. ni pigment (rangi)
kwenye ngozi kuna cells ambazo zikipigwa na mwanga wa jua zinatoa hiyo melanin. kadri zinavyopata jua ndivyo rangi inakuwa nyeusi.
hii adaptation imemsaidia mwanadamu kujilinda na mwanga wa jua ambao unaweza kuharibu DNA.
Genetics markup haibadilik kirahis hivyo mpaka itokee adaptations/mutations huchukua mda mrefuHivi siyo kwamba mtu mweupe akitoka sehemu ya joto akahamia sehemu ya baridi rangi yake ubadilika na kuwa mweusi?
OK ndg, 10th Thousands years ni sawa na (10000 miaka)Mkuu hao wahindi wamekaa miaka mia3 haifiki evolution is a slow process you can't notice in your lifetime it could take 10thousands years wakabadilika wakawa weusi
Hakuna kilichokosewa hakuna kilichopungua ni style tu ya uumbaji, kumbuka kuna watu wa njano pia...uumbaji una variety nyingi sana kutegemeana na hali ya hewa ya mahali husika, kila kitu kiko kwenye mahesabu yaliyokusudiwa na kutosheleza
Kumbuka hii si kwa binadamu bali hata wanyama na vitu vingine vyote kama chakula nyumba nguo nk nk