Why Black People and White People? (Kwanini kuwe na Mtu Mweusi na Mtu Mweupe?)

Why Black People and White People? (Kwanini kuwe na Mtu Mweusi na Mtu Mweupe?)

download.jpg
 
Ni swali gumu na wengi wamedanganywa sana.Wengine hata wame-suggest kwamba evolution inahusika.Wengine hata wamesema jua ndilo limeleta tofauti hizo.Mawazo yote hayo si kweli.Hata hivyo science na Biblia vinatoa majibu ya swali hilo.Sitajaribu ku-summarize jibu la swali hili kwa wale wavivu wa kusoma.Napenda watu wapende kusoma.Kwa jibu la swali hili,naomba u-google "The origin of race."Nakutakia usomaji mwema.
Habari za Asubuhi Wadau....?

Ukiwa umebarikiwa kuiona siku Hii salama na umejiandaa na kupambana na umasikini kwa leo, Fanya yote hayo ila usisahau kunifafanulia "Kwanini Kuwe na Mtu MWEUSI na Mtu MWEUPE....

Na Kama Mtu mweusi anaweza kuwa Mweupe Je' Mtu mweupe hawezi kuwa Mweusi...!?

NINI KIMEKOSEWA AU NINI KIMEPUNGUA KWA RANGI HIZI 2...!?
 
Kwa uelewa wangu, mtu kua mweupo au mweusi inatokana na kemikal/pigment iitwayo MELANIN inayopatikana katika ngozi ya juu ya mwanadam/dermis. hii kemikal/pigment ikimwagwa kwa wingi kwenye ngozi yako ndio weusi unaongezeka na ikimwagwa kwa uchache ndio weupe unatokea, na isipokuwepo kabisa ndio mtu anakua ALBINO, kumwagika/kusambazwa kwa kemikali hii hutegemea mambo mbalimbali ikiwemo kiwango cha jua mtu kinapomchoma, watu wa tropical wengi ni weusi kwa sababu melanini hutolewa kwa wingi katika ngozi zao wakati wale wa ulaya ni weupe kwa sababu jua ni dogo na melanin hutolewa kwa uchache katika ngozi zao.
lakini sababu nyingine ni ya kibaiologia, yaan kama ulizaliwa ukiwa na wazazi weupe, hata utolewaji wa melanin utafuatana na kizazi chako hata ukae ulaya milele bado kemikali hii itatolewa kulingana na ukoo wako. pia kama katiak ukoo wenu/generation kuliwahi kua na albinism traits, waweza kuzaa mtu asiye na melanin.
asanteni
 
Kwa uelewa wangu, mtu kua mweupo au mweusi inatokana na kemikal/pigment iitwayo MELANIN inayopatikana katika ngozi ya juu ya mwanadam/dermis. hii kemikal/pigment ikimwagwa kwa wingi kwenye ngozi yako ndio weusi unaongezeka na ikimwagwa kwa uchache ndio weupe unatokea, na isipokuwepo kabisa ndio mtu anakua ALBINO, kumwagika/kusambazwa kwa kemikali hii hutegemea mambo mbalimbali ikiwemo kiwango cha jua mtu kinapomchoma, watu wa tropical wengi ni weusi kwa sababu melanini hutolewa kwa wingi katika ngozi zao wakati wale wa ulaya ni weupe kwa sababu jua ni dogo na melanin hutolewa kwa uchache katika ngozi zao.
lakini sababu nyingine ni ya kibaiologia, yaan kama ulizaliwa ukiwa na wazazi weupe, hata utolewaji wa melanin utafuatana na kizazi chako hata ukae ulaya milele bado kemikali hii itatolewa kulingana na ukoo wako. pia kama katiak ukoo wenu/generation kuliwahi kua na albinism traits, waweza kuzaa mtu asiye na melanin.
asanteni
Asante Ndg.

MELANIN ndo Jibu.
 
Ngoja kidogo Ni hivi mzungu anaposema anaependa kuwa mweusi Hanamaana kuwa anataka kuwa mweusi Bali anapenda Tabia za watu weusi ndio maana yupo tayari kuiga maadili yetu. ILA mtu mweusi alisema anapenda kuwa mweupe basi anabadili rangi. Kingine Ni kwamba rangi nyeudi duniani ipo kwa asilimia 30 ukilinginganisha na rangi nyeupe yenye asilimia 70 hivyo mtu mweupe Ni mwenye nafasi kubwa Sana kulinganisha mtu mweusi. Kingine mtu mweupe alifanikiwa jimiliki na mtu weusi ndio alikuwa na akili ya kugundua kubadili rangi yake nyeudi kuwa nyeupe ndio maana mpk Leo mtu mweupe hajangundua rangi nyeupe kuwa nyeusi.
 
Yes dark skin favors sunny latitudes while pale skin suits polar latitudes,mkuu unapokaa sehem kama ulaya mwanga ni hafifu so ngozi ina adopt mazingira ya kule wakat Africa au south America dark skin ina faa kutokana na jua kali na pia usalama wa mwili

Darwinism,he he heee.....unasemaje kuhusu uwepo wa sokwe?Mbona bado wapo?Sokwe wameanza lini kukoma kufanya evolution na kuwa binadamu?au evolution ndio imekoma kwa sokwe?

All in all,ukubali ukatae,unatakiwa kujua kwamba tumedanganywa katika nyanja nyingi sana za elimu.Wanaotawala dunia hii wana kusudi kubwa sana la kutudanganya katika nyanja hizo,fahamu kwamba kile tunachofundishwa sisi katika nyanja fulani fulani ni tofauti kabisa na kile wanachowafundisha watoto wao au watu wao muhimu,sina maana ya 2+2=4,la hasha,ni zaidi ya hapo.

Mfano;Najua kwamba wewe unajua kwamba Marekani wamefika kwenye mwezi,lakini mtoto wa Obama au Bush anajua kwamba marekani hawajawahi kufika mwezini,na huo ndio ukweli.

Pia najua kwamba unajua kwamba bangi ni haramu,lakini nakupa 'home work' utafute sehemu yoyote ile ambayo inakataza matumizi ya bangi,iwe sheria ama kitabu chochote cha dini,ukipata lete hicho kifungu cha maandishi kinachosema kwamba bangi haramu.Hapa ndipo utajua kwamba hakuna kiumbe mnafiki kama mwanadamu,eti hata taasisi za dini zinasema kwamba mungu ameharamisha bangi wakati hakuna mahali popote pale kwenye vitabu vyao ambapo panathibitisha hilo.

Kuna mambo mengi sana tumedanganywa likiwemo na hili la race,watu ni wavivu tu wa kusoma vyanzo mbalimbali,wanang'ang'ania kukariri mambo yaleyale hata kama hayana mantiki/sense.

Soma origin of race,soma kitabu cha enoch(hapa usichanganye na biblia,ninamaanisha kitabu cha enoch),fuatilia historia na rikodi zinazoendana na piramidi kama vile za Misri,Sudani nk,baada ya hapo utaunganisha wewe mwenyewe ili upate jibu sahihi lenye uhakika kabisa.
 
Darwinism,he he heee.....unasemaje kuhusu uwepo wa sokwe?Mbona bado wapo?Sokwe wameanza lini kukoma kufanya evolution na kuwa binadamu?au evolution ndio imekoma kwa sokwe?

All in all,ukubali ukatae,unatakiwa kujua kwamba tumedanganywa katika nyanja nyingi sana za elimu.Wanaotawala dunia hii wana kusudi kubwa sana la kutudanganya katika nyanja hizo,fahamu kwamba kile tunachofundishwa sisi katika nyanja fulani fulani ni tofauti kabisa na kile wanachowafundisha watoto wao au watu wao muhimu,sina maana ya 2+2=4,la hasha,ni zaidi ya hapo.

Mfano;Najua kwamba wewe unajua kwamba Marekani wamefika kwenye mwezi,lakini mtoto wa Obama au Bush anajua kwamba marekani hawajawahi kufika mwezini,na huo ndio ukweli.

Pia najua kwamba unajua kwamba bangi ni haramu,lakini nakupa 'home work' utafute sehemu yoyote ile ambayo inakataza matumizi ya bangi,iwe sheria ama kitabu chochote cha dini,ukipata lete hicho kifungu cha maandishi kinachosema kwamba bangi haramu.Hapa ndipo utajua kwamba hakuna kiumbe mnafiki kama mwanadamu,eti hata taasisi za dini zinasema kwamba mungu ameharamisha bangi wakati hakuna mahali popote pale kwenye vitabu vyao ambapo panathibitisha hilo.

Kuna mambo mengi sana tumedanganywa likiwemo na hili la race,watu ni wavivu tu wa kusoma vyanzo mbalimbali,wanang'ang'ania kukariri mambo yaleyale hata kama hayana mantiki/sense.

Soma origin of race,soma kitabu cha enoch(hapa usichanganye na biblia,ninamaanisha kitabu cha enoch),fuatilia historia na rikodi zinazoendana na piramidi kama vile za Misri,Sudani nk,baada ya hapo utaunganisha wewe mwenyewe ili upate jibu sahihi lenye uhakika kabisa.






Mkuu u made a very interesting points about bangi/cannabis sativa next time tutaongelea turudi kwenye topic watu wengi wanachanganya kuhusu evolution kuwa sis tunatokana na sokwe la hasha u have being misled,the fact is we humans and and apes likes gorrilas,chimpanzees,orangutans share a common ancestor, we evolved to what we are to day and sokwe wali evolved what they are buy we share a common ancestor,sasa.kama unataka creationism i don't want to get there haise,kwa ufupi to dunia kisayansi imekaliwa na viumbe wa iana mbali mbali ambao leo hawapo mfano dinasour waliotoweka miaka milioni65 iliopita usiseme tunajuaje tunajua kwa sababu skeleton zipo simepatina sehem mbali mbali duniani,ikiwemo Tanzania.na tutatambua umr wake kwa kuangalia carbon molecules kwenye.mifupa ambayo inatugaid kiumbe kiliishi lini,pia mfupa umeumbwa kwa madini so.unaeza kaa ardhini kwa mamilioni ya miaka
 
Kuna wajapan nilisikia wametengeneza mkorogo wa kuwa 'mweusi kama Beyonce'
 
Yote yanawezekana ila ni kwa vile tu weupe ndio unapendwa sana hivyo hakuna anayejihangaisha kutengeneza mkorogo wa kuwa mweusi
Hapana mkuu,mtu mweupe hawezi kua mweusi hata kidogo sababu weupe wote unaowaona wamepungukiwa na melanin pigment(kama albinos) inayofanya weusi kuwa weusi.mweusi akiwA mweupe ujue kaondoa melanin kwa mkorogo.
 
Habari za Asubuhi Wadau....?

Ukiwa umebarikiwa kuiona siku Hii salama na umejiandaa na kupambana na umasikini kwa leo, Fanya yote hayo ila usisahau kunifafanulia "Kwanini Kuwe na Mtu MWEUSI na Mtu MWEUPE....

Na Kama Mtu mweusi anaweza kuwa Mweupe Je' Mtu mweupe hawezi kuwa Mweusi...!?

NINI KIMEKOSEWA AU NINI KIMEPUNGUA KWA RANGI HIZI 2...!?

Watu wangu nimejaribu kufwatilia kwa ukaribu sana jamvi letu. kabla sijaanza kuwaelewesha napenda kuwahimiza kwamba tusiwe wavivu tufanye utafiji juu yetu sisi watu weusi. tuna umuhimu mkubwa sana hapa duniani kuliko kiumbe chochote.

naungana na wale ambao waliosema tumedanganywa sana. karibu kila kitu tunachodhania tunakifahamu sivyo kilivyo.

kwanza hili swali lina majibu ya aina tatu.

kwanza tunasoma kuwa giza lilikuwapo kabla ya mwanga. na MUNGU hakuumba Giza bali kaumba Mwanga Maana Giza lilikuwa na Mungu rejea maandiko. kwahio chanzo cha uhai ni giza. Mfano. mtu anakaa kwenye tumbo la mama kuliko giza kabla ya kuzaliwa. kifaranga cha kuku kinakaa kwenye giza ndani ya gamba la yai kabla kutotolewa. Mbegu yeyote ili iote lazima izikwe kwenye udongo kwanza kunako giza ndipo iote. hivyo giza ndio mwanzo na chanzo cha uhai wowote. hivyo baasi. mtu mweusi alikuwapo kwanza kabla ya hawa wanaoitwa weupe.

Pia tufahamu kuwa Mungu alipoumba Mifumo yote ya uhai katika anga yetu alikuwa anaelewa kuwa Jua ndio nyota ambayo italeta miale ambayo itatoa nguvu (Energy). ili viumbe vipate Vitamin D unahitaji chemikali yenye kusharabu hii nguvu bila kupotea ndipo akaumba binaadamu mwenye Melanin ktk ngozi yake ili aweze kudumu kuwepo bila kupata athari yeyote.

Hii ikapelekea vitu vingi kama vyakula kuwa na carbon ambayo ni nyeusi. ndio maana protein, fat, starch na carbonhydrate, chlorophyĺl zote zina carbon ambayo nyeusi. kwahio uweusi ndio mpango mzima na ndio viumbe vyenye urithi halali wa dunia hii ndio maana wanachukiwa kila mahali. Dini zote zilianzishwa na weusi lakini leo ndio wahanga. Wao ndio waanzalishi wa kila kitu lakini wameachwa nyuma. Kwanini yametokea haya.......


Hakuna kitu kinaitwa evolution. maana weusi wapo hapa na hamna mtu yeyote mwenye record ya mwanzo wa uwepo wetu. miaka inayokadiriwa ni makadirio sio ukweli. lakini Hawa weupe wana mwanzo unaojulikana ambao hauzidi miaka 6000 na ni sisi tuliowaumba katika milima ya Caucaus (around Georgia).

Blacks people are diverse people. makabila yote yaliotapaka duniani yametokana na sisi ndio maana weusi tunazaa zeruzeru lakini weupe hawawezi kuzaa weusi kwa sababu kisayansi black is dominant na white is recessive. lumbuka Mendel Law inasema u can get recessive feom dominant but u cant get dominant from recessive.

Rejea sayansi: u can get all colours from black but u cant get black from other colours. we are the builder of any civilization u can imagine.
Ni mda wa kuamka na kujitathimini kuwa ni wapi tulipoteza control ya uhalali wetu wakuwa vinara wakila kitu.......
 
Mkuu hao wahindi wamekaa miaka mia3 haifiki evolution is a slow process you can't notice in your lifetime it could take 10thousands years wakabadilika wakawa weusi
Habari za Asubuhi Wadau....?

Ukiwa umebarikiwa kuiona siku Hii salama na umejiandaa na kupambana na umasikini kwa leo, Fanya yote hayo ila usisahau kunifafanulia "Kwanini Kuwe na Mtu MWEUSI na Mtu MWEUPE....

Na Kama Mtu mweusi anaweza kuwa Mweupe Je' Mtu mweupe hawezi kuwa Mweusi...!?

NINI KIMEKOSEWA AU NINI KIMEPUNGUA KWA RANGI HIZI 2...!?
mmhm si dhani kama kuna watu weupe, binafsi bado sijakutana nao ila wapo watu ambao ni (pale) au pink hao wapo wengi na asili yao ni bara la ulaya.
 
Mkuu hao wahindi wamekaa miaka mia3 haifiki evolution is a slow process you can't notice in your lifetime it could take 10thousands years wakabadilika wakawa weusi
mkuu hao wahindi huko India wapo weusi na weupe mazingira yanahusikaje hapa
 
Ngoja nami niwasubiri wataalamu maana huyu Vera Sidika ananichanganya sana.

Maana kawa mzungu pure....au kuna surgery ya kubadili rangi ya ngozi?
Soma Mwanzo 25:24-34 then Mwanzo27:1-40. Hapo ndiyo penye asili ya mweupe na mweusi na ndiyo chanzo cha mweupe kumchukia mweusi hadi ishu aya utumwa na kuibiana rasilimali ipo hapo. Ila ni wachache sana wanalijua hili!
 
Zile ni rangi za rainbow. Actually tunayemuita mtu mweusi ni rangi ya zambarau,kama ambavyo sometimes umewaona watu wa West Africa ni weusi halafu wanakuwa kama vile zambarau. It is a long story. Actually it is a short story.In a far distant universe hawa purple people walileta space ship huku for exploration. Ndipo wakaiona Solar System ilivyoanza. Wakasubiri tu ipoe,halafu wakaweka watu. Watu waliowekwa hapa wametoka wapi? Wametoka kwenye maabara zao,wametengeza watu,wamewaleta hapa. Sisi labda siku moja proficiency yetu itaongezeka tutamtengeneza mtu na kumpeleka kwenye sayari mpya.

Nadhani ni muda muafaka sasa wa wewe kupunguza internet maana ukizidi kidogo tu akili itaruka.
 
mkuu hao wahindi huko India wapo weusi na weupe mazingira yanahusikaje hapa
Mkuu wahindi weupe wannnakaa upande wa kaskaxini mwa india na Pakistan na wale weusi wanakaa.upande wakusini na Sri Lanka sasa kusini kuna joto na kaskazini baridi
 
mmhm si dhani kama kuna watu weupe, binafsi bado sijakutana nao ila wapo watu ambao ni (pale) au pink hao wapo wengi na asili yao ni bara la ulaya.


Mkuu ndio hao kwani ukiambiwa weusi kuna weus kama lami,ndio maana suitable word ni dark sio black
 
Evolution ndio ina lead color of ur skins to lighten,human being is a tropical animal by nature but when humans started moving out of Africa towatds colder climates thats when they started lo loose their dark color

Asante sana kwa huu mchango wa kisayansi, pia wachangiaji wa hii thread waendelee kuperuzu tu internet, kuna maelezo ya kutosha kwanini tuna ngozi zenye rangi tofauti, pua pana, wafupi au warefu, nywele tofauti, ila cha kushangaza hizi tofauti ni asilimia kiduchu mno, wote sie tuko sawa, humans I mean, pia kwanini pia sisi weusi na wao weupe, au wengine wako kahawia..Tanzania tupende kujisomea, mambo ya uumbaji na nini sasa hayo ni imani, na hapo siwezi bishana na mtu anaeamini vitabu vya hadithi visivyo na facts..
 
Watu wangu nimejaribu kufwatilia kwa ukaribu sana jamvi letu. kabla sijaanza kuwaelewesha napenda kuwahimiza kwamba tusiwe wavivu tufanye utafiji juu yetu sisi watu weusi. tuna umuhimu mkubwa sana hapa duniani kuliko kiumbe chochote.

naungana na wale ambao waliosema tumedanganywa sana. karibu kila kitu tunachodhania tunakifahamu sivyo kilivyo.

kwanza hili swali lina majibu ya aina tatu.

kwanza tunasoma kuwa giza lilikuwapo kabla ya mwanga. na MUNGU hakuumba Giza bali kaumba Mwanga Maana Giza lilikuwa na Mungu rejea maandiko. kwahio chanzo cha uhai ni giza. Mfano. mtu anakaa kwenye tumbo la mama kuliko giza kabla ya kuzaliwa. kifaranga cha kuku kinakaa kwenye giza ndani ya gamba la yai kabla kutotolewa. Mbegu yeyote ili iote lazima izikwe kwenye udongo kwanza kunako giza ndipo iote. hivyo giza ndio mwanzo na chanzo cha uhai wowote. hivyo baasi. mtu mweusi alikuwapo kwanza kabla ya hawa wanaoitwa weupe.

Pia tufahamu kuwa Mungu alipoumba Mifumo yote ya uhai katika anga yetu alikuwa anaelewa kuwa Jua ndio nyota ambayo italeta miale ambayo itatoa nguvu (Energy). ili viumbe vipate Vitamin D unahitaji chemikali yenye kusharabu hii nguvu bila kupotea ndipo akaumba binaadamu mwenye Melanin ktk ngozi yake ili aweze kudumu kuwepo bila kupata athari yeyote.

Hii ikapelekea vitu vingi kama vyakula kuwa na carbon ambayo ni nyeusi. ndio maana protein, fat, starch na carbonhydrate, chlorophyĺl zote zina carbon ambayo nyeusi. kwahio uweusi ndio mpango mzima na ndio viumbe vyenye urithi halali wa dunia hii ndio maana wanachukiwa kila mahali. Dini zote zilianzishwa na weusi lakini leo ndio wahanga. Wao ndio waanzalishi wa kila kitu lakini wameachwa nyuma. Kwanini yametokea haya.......


Hakuna kitu kinaitwa evolution. maana weusi wapo hapa na hamna mtu yeyote mwenye record ya mwanzo wa uwepo wetu. miaka inayokadiriwa ni makadirio sio ukweli. lakini Hawa weupe wana mwanzo unaojulikana ambao hauzidi miaka 6000 na ni sisi tuliowaumba katika milima ya Caucaus (around Georgia).

Blacks people are diverse people. makabila yote yaliotapaka duniani yametokana na sisi ndio maana weusi tunazaa zeruzeru lakini weupe hawawezi kuzaa weusi kwa sababu kisayansi black is dominant na white is recessive. lumbuka Mendel Law inasema u can get recessive feom dominant but u cant get dominant from recessive.

Rejea sayansi: u can get all colours from black but u cant get black from other colours. we are the builder of any civilization u can imagine.
Ni mda wa kuamka na kujitathimini kuwa ni wapi tulipoteza control ya uhalali wetu wakuwa vinara wakila kitu.......
Ndg, Nakushukuru sana kuwa ufafanuzi ulipo rejea sehemu zote 2 muhimu.Elimu ya Ki-dunia na Ya-Kimungu.

Lakini inasadikika Watu Weusi wako 30% na Weupe ni 70% Kwa Dunia Yote.

Tutawezaje kujitoa katika Fikra potofu walizozipandikiza Kwetu , Ilihali Mtu 1 Mweusi akisimama na Mweusi 1 Kumweleza Habari hizi.
Wanatokea Watu Weupe 10 Kumrubuni Yure Mtu 1 Mweusi...!?

Au ninjia Gani sasa Itumike kufuta zile sirabasi tulizofundishwa tangu cheke chea Mpaka High levels of our Poorly Educates...!?

Coz now days Mtu Mweusi ukiwa una kitu kipya cha kumweleza

Cha kwanza tu. ATABISHA MPAKA ANALIA kama sio kukasirika....
 
Kwa uelewa wangu, mtu kua mweupo au mweusi inatokana na kemikal/pigment iitwayo MELANIN inayopatikana katika ngozi ya juu ya mwanadam/dermis. hii kemikal/pigment ikimwagwa kwa wingi kwenye ngozi yako ndio weusi unaongezeka na ikimwagwa kwa uchache ndio weupe unatokea, na isipokuwepo kabisa ndio mtu anakua ALBINO, kumwagika/kusambazwa kwa kemikali hii hutegemea mambo mbalimbali ikiwemo kiwango cha jua mtu kinapomchoma, watu wa tropical wengi ni weusi kwa sababu melanini hutolewa kwa wingi katika ngozi zao wakati wale wa ulaya ni weupe kwa sababu jua ni dogo na melanin hutolewa kwa uchache katika ngozi zao.
lakini sababu nyingine ni ya kibaiologia, yaan kama ulizaliwa ukiwa na wazazi weupe, hata utolewaji wa melanin utafuatana na kizazi chako hata ukae ulaya milele bado kemikali hii itatolewa kulingana na ukoo wako. pia kama katiak ukoo wenu/generation kuliwahi kua na albinism traits, waweza kuzaa mtu asiye na melanin.
asanteni
Sahihi kabisa mkuu, kuongezea hapo wale wanaotumia mkorogo huwa kinachofanyika ni kwamba zile kemikali zilizopo kwenye mkorogo zinazuia utengenezwaji wa melanin hivyo ndo maana wanakuwa weupe. Kuna sehemu za mwili kama magoti, pingili za vidole na miguu, viwiko na ankle maeneo hayo Melanin huwa zinatengenezwa kwa wingi sana ndo maana hata mtu ajichubue na kujikoroga vipi hizo sehemu daima zinabakigi na weusi
 
Back
Top Bottom