Why Black People and White People? (Kwanini kuwe na Mtu Mweusi na Mtu Mweupe?)

Why Black People and White People? (Kwanini kuwe na Mtu Mweusi na Mtu Mweupe?)

Habari za Asubuhi Wadau....?

Ukiwa umebarikiwa kuiona siku Hii salama na umejiandaa na kupambana na umasikini kwa leo, Fanya yote hayo ila usisahau kunifafanulia "Kwanini Kuwe na Mtu MWEUSI na Mtu MWEUPE....

Na Kama Mtu mweusi anaweza kuwa Mweupe Je' Mtu mweupe hawezi kuwa Mweusi...!?

NINI KIMEKOSEWA AU NINI KIMEPUNGUA KWA RANGI HIZI 2...!?
Kwanza naanza kumshukuru Mungu mwingi wa rehema mwenye kurehemu Mingu anasema katika quraan tukufu enyi watu hakika mimi nimekuumbeni kutokana na mwanamke na mwanaume na nikajaalia mataifa na makabila mbali mbali ili mpate kujuana hakika mbora kwenu nyinyi ni yule amchae Mungu mwisho wa kunukuu natumai jibu lako liko hapa mkuu
 
Mbona Tz Tunaishi na watu aina zote # Muhindi, Mchina, Mkorea na Mwarabu na wengine wengi ILA HAWABADIRIKI na kuwa kama sisi ikiwa ni kweli Tunategemea Tropical and Nature to change color...?
Evolution iko very slow Asee ikiwa human being hafikishi ata karne kwa sasa ni ngumu kunotice changes ambazo hutokea baada ata ya millennium yani 1000Yrs ahead cheki zamani watu walivyokuwa na nywele nyingi sambamba na kuwa giant miili mikubwa but now je? inshu ya color ni evolution tu ndo inatake place
 
Zile ni rangi za rainbow. Actually tunayemuita mtu mweusi ni rangi ya zambarau,kama ambavyo sometimes umewaona watu wa West Africa ni weusi halafu wanakuwa kama vile zambarau. It is a long story. Actually it is a short story.In a far distant universe hawa purple people walileta space ship huku for exploration. Ndipo wakaiona Solar System ilivyoanza. Wakasubiri tu ipoe,halafu wakaweka watu. Watu waliowekwa hapa wametoka wapi? Wametoka kwenye maabara zao,wametengeza watu,wamewaleta hapa. Sisi labda siku moja proficiency yetu itaongezeka tutamtengeneza mtu na kumpeleka kwenye sayari mpya.
Una point mkuu kiukweli uhai duniani umeletwa na viumbe aina ya acturians ni very advanced katika technology Wamefika mbali mpaka kuleta viumbe hapa earth ambao ndio sisi binadamu Hakuna pure actrurian aliebaki isipokuwa baadhi walizaa na binadamu wa kawaida na kuleta watu wenye na wanasayansi wakubwa ambao ni icon ktk planet yetu
.Our ultimate goal ni kusambaza uhai ktk universe hii tutafanya research na tukigundua kuna sayari ina support maisha tutapeleka normal human being au kiumbe chochote cha kutengeneza maabara
 
Umenena vizuri sana,pokea "like" yangu.
Darwinism,he he heee.....unasemaje kuhusu uwepo wa sokwe?Mbona bado wapo?Sokwe wameanza lini kukoma kufanya evolution na kuwa binadamu?au evolution ndio imekoma kwa sokwe?

All in all,ukubali ukatae,unatakiwa kujua kwamba tumedanganywa katika nyanja nyingi sana za elimu.Wanaotawala dunia hii wana kusudi kubwa sana la kutudanganya katika nyanja hizo,fahamu kwamba kile tunachofundishwa sisi katika nyanja fulani fulani ni tofauti kabisa na kile wanachowafundisha watoto wao au watu wao muhimu,sina maana ya 2+2=4,la hasha,ni zaidi ya hapo.

Mfano;Najua kwamba wewe unajua kwamba Marekani wamefika kwenye mwezi,lakini mtoto wa Obama au Bush anajua kwamba marekani hawajawahi kufika mwezini,na huo ndio ukweli.

Pia najua kwamba unajua kwamba bangi ni haramu,lakini nakupa 'home work' utafute sehemu yoyote ile ambayo inakataza matumizi ya bangi,iwe sheria ama kitabu chochote cha dini,ukipata lete hicho kifungu cha maandishi kinachosema kwamba bangi haramu.Hapa ndipo utajua kwamba hakuna kiumbe mnafiki kama mwanadamu,eti hata taasisi za dini zinasema kwamba mungu ameharamisha bangi wakati hakuna mahali popote pale kwenye vitabu vyao ambapo panathibitisha hilo.

Kuna mambo mengi sana tumedanganywa likiwemo na hili la race,watu ni wavivu tu wa kusoma vyanzo mbalimbali,wanang'ang'ania kukariri mambo yaleyale hata kama hayana mantiki/sense.

Soma origin of race,soma kitabu cha enoch(hapa usichanganye na biblia,ninamaanisha kitabu cha enoch),fuatilia historia na rikodi zinazoendana na piramidi kama vile za Misri,Sudani nk,baada ya hapo utaunganisha wewe mwenyewe ili upate jibu sahihi lenye uhakika kabisa.
 
Darwinism,he he heee.....unasemaje kuhusu uwepo wa sokwe?Mbona bado wapo?Sokwe wameanza lini kukoma kufanya evolution na kuwa binadamu?au evolution ndio imekoma kwa sokwe?
.

if you're going to discredit evolution then you should know about evolution. so far you know NOTHING.

na mwanadamu hajatoka kwa sokwe.
 
Hakuna kilichokosewa hakuna kilichopungua ni style tu ya uumbaji, kumbuka kuna watu wa njano pia...uumbaji una variety nyingi sana kutegemeana na hali ya hewa ya mahali husika, kila kitu kiko kwenye mahesabu yaliyokusudiwa na kutosheleza.

Kumbuka hii si kwa binadamu bali hata wanyama na vitu vingine vyote kama chakula nyumba nguo nk nk

Mkuu mie bado akili yangu imegoma kuamini ulichoweza kusema kua kuna rangi tofauti ya white and black, je hii rangi unazungumzia katika nadharia ya ngozi au nyama? kama unazungumzia rangi ya nje wakati ukichinjwa ndani utakuta rangi asilia ambayo ni black/white.
 
hizi ngozi nyeusi tabu tupu, tunashauriwa tujikubali ila kwa hili nakataa, sisi ni majipu!
 
Mkuu mie bado akili yangu imegoma kuamini ulichoweza kusema kua kuna rangi tofauti ya white and black, je hii rangi unazungumzia katika nadharia ya ngozi au nyama? kama unazungumzia rangi ya nje wakati ukichinjwa ndani utakuta rangi asilia ambayo ni black/white.
Nazungumzia rangi sio nyama,rangi kwa maana halisi ya rangi
 
Asante m
Asante sana kwa huu mchango wa kisayansi, pia wachangiaji wa hii thread waendelee kuperuzu tu internet, kuna maelezo ya kutosha kwanini tuna ngozi zenye rangi tofauti, pua pana, wafupi au warefu, nywele tofauti, ila cha kushangaza hizi tofauti ni asilimia kiduchu mno, wote sie tuko sawa, humans I mean, pia kwanini pia sisi weusi na wao weupe, au wengine wako kahawia..Tanzania tupende kujisomea, mambo ya uumbaji na nini sasa hayo ni imani, na hapo siwezi bishana na mtu anaeamini vitabu vya hadithi visivyo na facts..


Asante mkuu kwa kuliona hilo,inafaa dini na sayansi tutofautishe kwenye mijadala kama hii mana ukitanguliza dini utachanganyikiwa tu.pia wabonge wavivu wa kusoma tatizo lingine japo sio lazma kwenda darasani
 
hizi ngozi nyeusi tabu tupu, tunashauriwa tujikubali ila kwa hili nakataa, sisi ni majipu!
Ita kuwa wewe ndo Jipu. Mwa-Africa ndo Mtu wa kwanza na Wa muhimu kuzingatiwa. Ila watu ( Dark people ) ndo hawajajitambua.
Soma hapa
 
Ndg, Nakushukuru sana kuwa ufafanuzi ulipo rejea sehemu zote 2 muhimu.Elimu ya Ki-dunia na Ya-Kimungu.

Lakini inasadikika Watu Weusi wako 30% na Weupe ni 70% Kwa Dunia Yote.

Tutawezaje kujitoa katika Fikra potofu walizozipandikiza Kwetu , Ilihali Mtu 1 Mweusi akisimama na Mweusi 1 Kumweleza Habari hizi.
Wanatokea Watu Weupe 10 Kumrubuni Yure Mtu 1 Mweusi...!?

Au ninjia Gani sasa Itumike kufuta zile sirabasi tulizofundishwa tangu cheke chea Mpaka High levels of our Poorly Educates...!?

Coz now days Mtu Mweusi ukiwa una kitu kipya cha kumweleza

Cha kwanza tu. ATABISHA MPAKA ANALIA kama sio kukasirika....

Ndg Kwanza lazima tufahamu na tujaribu kukumbuka kwamba Dunia imepita ktk vipindi nyingi na yenye matukio makubwa sana.
Moja la kukumbuka kuhusu jinsi ya hawa watu wanaoitwa weupe (ambao mim huwa napenda kuwaita CAVE DWELLERS) walivyotumia miaka 2200 kutupunguza hapa duniani kwanjia ya uvamizi na ukoloni.
wametupunguza kwa mapangaa na mabunduki pia na biological weapon na madawa yao ya birth plan amd control.

Japo wametupunguxa kwa kiwango cha hio asilimia ya 30 cha ajabu bado tunasurvive na kudumu na hii vita tutashinda maana demographic ya dunia inaonyesha rate ya luzaliana watu weusi inapanda na yao inashuka. maana yake kwamba tunaanza kuongezeka wao wanapungua. nani anaefanya hayo yatoke? rejea maanadiko yanasema IAM WHO IAM, AS IT WAS IN THE BEGINNING SO SHALL BE AT THE END, MWISHO AIAM ALPHA AND OMEGA ( THE BEGGINING AND THE ENDING) mwisho wakunuku. huwezi kupigana na nature. ni sawa unakata tawinla mti ambalo umekalia mwishowe..........

Nini kifanyike sasa. wewe na mimi tuanzishe taasisi ya itakayoratibu mijadala ya kisomi juu ya madai yakurevisit mitaala yetu ya hadithi zetu ili tuziandike sisi wenyewe. pia kuanzisha madebate yakisomi juu ya mfumo wa dini zilizopo kama zinahitajika sasa. maana huu sio muda wa kuamini. Hu ni mda wa kujua na kuhoji uhalali na ukweli juu ya uwepo wetu.
 
Ndg, Nakushukuru sana kuwa ufafanuzi ulipo rejea sehemu zote 2 muhimu.Elimu ya Ki-dunia na Ya-Kimungu.

Lakini inasadikika Watu Weusi wako 30% na Weupe ni 70% Kwa Dunia Yote.

Tutawezaje kujitoa katika Fikra potofu walizozipandikiza Kwetu , Ilihali Mtu 1 Mweusi akisimama na Mweusi 1 Kumweleza Habari hizi.
Wanatokea Watu Weupe 10 Kumrubuni Yure Mtu 1 Mweusi...!?

Au ninjia Gani sasa Itumike kufuta zile sirabasi tulizofundishwa tangu cheke chea Mpaka High levels of our Poorly Educates...!?

Coz now days Mtu Mweusi ukiwa una kitu kipya cha kumweleza

Cha kwanza tu. ATABISHA MPAKA ANALIA kama sio kukasirika....

Ndg Kwanza lazima tufahamu na tujaribu kukumbuka kwamba Dunia imepita ktk vipindi nyingi na yenye matukio makubwa sana.
Moja la kukumbuka kuhusu jinsi ya hawa watu wanaoitwa weupe (ambao mim huwa napenda kuwaita CAVE DWELLERS) walivyotumia miaka 2200 kutupunguza hapa duniani kwanjia ya uvamizi na ukoloni.
wametupunguza kwa mapangaa na mabunduki pia na biological weapon na madawa yao ya birth plan amd control.

Japo wametupunguxa kwa kiwango cha hio asilimia ya 30 cha ajabu bado tunasurvive na kudumu na hii vita tutashinda maana demographic ya dunia inaonyesha rate ya luzaliana watu weusi inapanda na yao inashuka. maana yake kwamba tunaanza kuongezeka wao wanapungua. nani anaefanya hayo yatoke? rejea maanadiko yanasema IAM WHO IAM, AS IT WAS IN THE BEGINNING SO SHALL BE AT THE END, MWISHO AIAM ALPHA AND OMEGA ( THE BEGGINING AND THE ENDING) mwisho wakunuku. huwezi kupigana na nature. ni sawa unakata tawinla mti ambalo umekalia mwishowe..........

Nini kifanyike sasa. wewe na mimi tuanzishe taasisi ya itakayoratibu mijadala ya kisomi juu ya madai yakurevisit mitaala yetu ya hadithi zetu ili tuziandike sisi wenyewe. pia kuanzisha madebate yakisomi juu ya mfumo wa dini zilizopo kama zinahitajika sasa. maana huu sio muda wa kuamini. Hu ni mda wa kujua na kuhoji uhalali na ukweli juu ya uwepo wetu.
 
Ndg Kwanza lazima tufahamu na tujaribu kukumbuka kwamba Dunia imepita ktk vipindi nyingi na yenye matukio makubwa sana.
Moja la kukumbuka kuhusu jinsi ya hawa watu wanaoitwa weupe (ambao mim huwa napenda kuwaita CAVE DWELLERS) walivyotumia miaka 2200 kutupunguza hapa duniani kwanjia ya uvamizi na ukoloni.
wametupunguza kwa mapangaa na mabunduki pia na biological weapon na madawa yao ya birth plan amd control.

Japo wametupunguxa kwa kiwango cha hio asilimia ya 30 cha ajabu bado tunasurvive na kudumu na hii vita tutashinda maana demographic ya dunia inaonyesha rate ya luzaliana watu weusi inapanda na yao inashuka. maana yake kwamba tunaanza kuongezeka wao wanapungua. nani anaefanya hayo yatoke? rejea maanadiko yanasema IAM WHO IAM, AS IT WAS IN THE BEGINNING SO SHALL BE AT THE END, MWISHO AIAM ALPHA AND OMEGA ( THE BEGGINING AND THE ENDING) mwisho wakunuku. huwezi kupigana na nature. ni sawa unakata tawinla mti ambalo umekalia mwishowe..........

Nini kifanyike sasa. wewe na mimi tuanzishe taasisi ya itakayoratibu mijadala ya kisomi juu ya madai yakurevisit mitaala yetu ya hadithi zetu ili tuziandike sisi wenyewe. pia kuanzisha madebate yakisomi juu ya mfumo wa dini zilizopo kama zinahitajika sasa. maana huu sio muda wa kuamini. Hu ni mda wa kujua na kuhoji uhalali na ukweli juu ya uwepo wetu.
You made it.
Ndg, umetisha kwa Uzi huu.
Tuanze na social networks
 
if you're going to discredit evolution then you should know about evolution. so far you know NOTHING.

na mwanadamu hajatoka kwa sokwe.

Do you know that the word NOTHING is practically not valid?You should know that evolution is just a theory and not principle.By the way,do you know the difference between theory and principle?
 
hizi ngozi nyeusi tabu tupu, tunashauriwa tujikubali ila kwa hili nakataa, sisi ni majipu!

Ndugu yangu wewe sio jipu. wewe ni pure 100% human genetically proved. Cave Dwellers ndio majipu ambayo ni negative side ya hueman ambao ni watu weusi.

Maana hawa Cave Dwellers wameumbwa maabara na mababu zetu rejea story ya kuzaliwa kwa yakobo na esau. in life hakuna coexist kuna exist. maana mwanga ukiwapo giza kuenda kulala. giza likija hakuna mwanga. kwanin nature isicoexist? neno human limeundwa na maneno hue na Man. sasa wao wenyewe wenye kalugha haka wanakubali kuwa hue ni ule weusi wenye uhai. Na mbele kukawa na Man. kwahio ukisema human maana yake unasema BlackMan. ndio maana udongo wenye rutuba ni ule wenye hue na ukidenature hue unapata gravels weak sand and not soil. Sasa nani Jipu wewe au wao?

USIJIDHARAU HIVYO SISI NDIO TUKOPOTENTIAL. THOUGH WE ARE UNDERGROUND BUT WE ARE STILL RUNNING THE WORLD. TAFAKARI.
 
Back
Top Bottom