Why blacks?


Mkuu historia ya Olevel inasema kushinda kwa waEthiopia haikua suala la technolojia bali walipata advantage ya milima na other topographical features
 
Mkuu Kiranga....hebu mtizamo wako kuhusu Mugabe....maana wengi tunamuona kama mwafrika aliyeonyesha ujasiri kukataa kupelekeshwa na wazungu

Mugsbe ni diktets aliyeua wananchi wake zaidi ya 20,000 Matabeleland na kukataa kuschia madsraka, hardly the beacon of integrity.
 
miafrika watu wa ajabu sana, ukiambiwa mji wa Liverpool ndio ulikuwa kinara cha biashara ya utumwa uingereza na bado wanajiita liverpool fans??? huwa nashangaa sana...akili zetu zinahitaji maombi
 
miafrika watu wa ajabu sana, ukiambiwa mji wa Liverpool ndio ulikuwa kinara cha biashara ya utumwa uingereza na bado wanajiita liverpool fans??? huwa nashangaa sana...akili zetu zinahitaji maombi
kuna mdau humu JF ana signature inasema "Miafrika ndivyo tulivyo"
 
Mugsbe ni diktets aliyrua wansnchi wake zaidi ya 20,000 Matabrleland na kukataa kuschia madsraka, hardly the beacon of integrity.

Mkuu hao unaowaita raia nadhani Puppets ambao Mugabe anawashughulikia
 
Waafrika hasa wale weusi tuna vilema vya akili.. popote mweusi utakapompeleka atakua wa mwisho
 
Mkuu hao unaowaita raia nadhani Puppets ambao Mugabe anawashughulikia

Kwanza you need to show with evidence kwamba ni puppets

Pia.

Hata puppets kuna namna ya kuwashughulikia within due process. Sio summary execution.
 
Mkuu mtoa mada Hannibal Barca the greatest military general of all time alikuwa mweusi tiii

Ancient Egyptians builders of the pyramids walikuwa weusi

Waafrika toka enzi walikuwa great people

Mkuu Apakak...salaam!!ama baada ya salam nipende kukushukuru kwa task ulonipa ya kumsoma Hannibal Barca......
He was a Carthaginian na
Carthage was founded in North Africa by Middle
Easterners originally from lebanon na mitaa hiyo. Here's a
bust of Hannibal. He was not black but he
commanded a multiracial army of North
Africans. "African" does not automatically equal "black."
Also, we are not saying that no black person can
achieve greatness, it's just that its rare (just look
around you, and at history).
was Muammar Gaddafi
black? was Sadam Hussein. One is from the area
where Carthage was the other from the area
where carthage's founders arrived from. I'd say
its safe to say that the carthaginians would not
be mistaken for negros.
pia many North Africans were of a White
Racial type. The prime example today is the
Tuats of Algeria who are descended from the
ancient Whites and White Egyptians. They even
speak the ancient Egyptian language still to this
very day. The Tuaregs also of N.W. Africa are
White and blonde hair with blue eyes, karibu mkuu kunisahihisha kwa hoja naogopa matusi
 
wazungu wanajua blacks akiamka kutoka kwenye huu usingizi atakua mtu hatar sana, wanachokifanya sasa ni kuhakikisha hatuamki kwenye huu usingizi. Ukifwatilia vizur utangundua akitokea mtu wa kutuamsha basi haraka sana whites'll get rid of him! Mfano Nyerere alikua na maono ya mbali sana, alitaka kuiunganisha afrika akaja na sera ya ujamaa na kujitegemea. Sina uhakika sna ila around 1970's aliwaalika wabritish waje waone kolon waliloliacha jns lilivyopga hatua, kpnd hcho Tz ilikua inamashamba mengi sana ya mazao na mifugo wazungu waliogopa wakamtengenezea kagera war and that mark the end of glory days of the late Nyerere
 

mmhh hapo "wakamtengenezea kagera war" napata mashaka mkuu
 

Mkuu Jim007 2 ningependa usome hii

 
Mkuu Jim007 2 ningependa usome hii

Mkuu nimekuelewa kwa justifications zako zilizokwenda shule lakini napata shaka kwenye hiyo coin ya elephant rider,the man there has black African phenotypes like thick lips,full nose(pua pana),uso mpana na mfupi but an curled hairs!!kitu ambacho sio asili yetu wamatumbi.....na pia nimesoma mahali mama yake ana ethnicity ya Spain what can you say about that??nachopinga si kua ametoka Africa hilo nakubali but scholars wengi nlowasoma wanadai a man is from Africa but he was not a negro....ts like those Tuaregs....
Karibu Chief
 

Mkuu hakuna written record yeyote kuhusu mama wa Hannibal.Kama unayo naomba unipe link

Hannibal Barca kwa mazingira sasa kama angekuwepo katika mitaa ya marekani wange mterm kama black. Alikuwa ni half breed

Wazungu ni watu wa ajabu sana,siku hizi ukiwa na one drop of blood ya uafrika kweny damu yako wanakuitwa black lakini wanavyo refer history ya civilizations kubwa ukiwa na one drop of white blood unaitwa mzungu hata kama ni mweusi kama Obama

Interpretation ya Race ya watu wa kubwa kihistoria ipo kisiasa. Mfano sasa hivi Obama anatambulika kama mtu mweusi lakini kama angeiisha miaka ya Hannibal Barca na kufanya mambo makubwa wangemuita mzungu

Pure hypocrisy.Na huu unafiki wa kizungu umejikta hadi kwa race of ancient Egyptians.Eti King Tutankhamun wanadai ni mzungu kwasababu sio nubian black na hana features za "negro" lakini hapo hapo wan ignore the fact ya kuwa Ethiopians and somalians hawana negro features lakini ni weusi na wanatambulika kama watu weusi

Cheki picha ya King Tutankhamun hapo chini

 

Mkuu sitii neno umenidadavulia vizuri sana...sasa naanza kuelewa ni kwanini whites wanapindisha hii fact....nadhani pia ni sawa kwa obama kuwa refered as white cause he is half breed mana ukimterm black umepick one half na ukimterm white umerefer the other half....nazungumza hili kwa hoja kua kama son of barca alikua halfbreed hakuna tatizo kumterm vyovyote. link ntakuekea kiongozi wangu.
karibu.
 
scientifically black is superior.....
aliwahi kutubia professor wetu wa plant pathology pale sua.
 
Mkuu historia ya Olevel inasema kushinda kwa waEthiopia haikua suala la technolojia bali walipata advantage ya milima na other topographical features

Uliterajia kusikia nini toka kwa hao "Eurocentric scholars". Kwani milima ilikuwepo Ethiopia tu..!? Kwa nini isinge serve purpose katika maeneo mengine pia!?
 
Wakuu habarini,

Toka kuumbwa kwa huu ulimwengu mtu mweusi amekua akibaguliwa na mtu mweupe! hivi nini asili ya chuki hii...

Tukikumbuka slavery...

Apartheid...

Nadhani kuna la zaidi kwa hawa wenzetu kuhusu blacks...

asanteni

Ubaguzi ni ubaguzi tu!
Kuna miundo mengi sana ya ubaguzi:
1 rangi!
2 dini!
3 jinsia! Nk nk!

Sema kwa vile wewe umeona ubaguzi huo, nakubali ni ubaguzi but sababu za ubaguzi huo ni zile zile kama za ubaguzi mwengine!

Sababu kuu ya ubaguzi ni kujiona wewe ni bora kuliko wengine kutokana some development uliopata or uliyozaliwa nayo!

Majews wanaubaguzi wa kikabila! Kwao wao mtu yeyote asiyekuwa jews wanambagua! Refers intermarriage na hata social interactions!

Wadutch pia ni wabaguzi, hawataki hata kuchanganyika na wazungu wengine achilia mbali watu weusi! Refers Boer movement frm cost area to interior part kule South Afrika! Walihama cape town kuelekea Natal na Transvaal! Hapo waliepusha kujichanganya na wazungu (British)

Hawakuishia hapo! British alipoamua kuwafata huko (kwa sababu ya dhahabu) kulitokea Anglo boer war 1 & 2 1800s

Na baada ya hapo ndio kukatokea Apatheid policy!

Rudi India! Kule kunaubaguzi wa kipato, maskini wanabaguliwa sana!
...
Kwa mantiki hiyo, Ubaguzi ni ubaguzi tu, uwe wa rangi uwe kabila au namna nyengine yoyote ile!
Na source ni human nature: Human beings are selfish in nature

KITENDO CHA KUJIHISI NI WEWE TU NDIO UNABAGULIWA NI MENTAL DISORDER NA UNAHITAJI TIBA MBADALA!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…