Haya yote yatawezekana kama tukiamua kujitegemea kwa kila jambo
na sisi.tukaanza harakati za kuwabagua weupe
Maana washatupiga 1-0 yani walituuza kama bidhaa jamani hili di jambo dogo ni udhalilishaj ambao hauwez kusahaulika
biashara ya utumwa nadhan nfo hatua ya kwanza iliyotudumaza kisaikolojia waafrika