Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 12,826
- 17,371
Hivi mkuu mambo ya mahusiano unayafahamu sawasawa kweli?Dunia ina mambo!
Yani Camilla imemshinda ndoa yake halafu akaharibu ya mwenzie!
Kama yeye fundi kwanini hakudumisha yake?
Sent using Jamii Forums mobile app
Dunia nzima hakunaga cha pombe kama Mage ...Yanii hata ukiangalia during their usichana Liz alikua Ana act kabisa utu uzima
Shoga angu alivojua tu Liz ndo anakuja kua Queen akabidi atafute Kiki yake ambayo ndo inamfanya adi sa izi tumzungumzie
Asante mkuu, ntakisaka pia[emoji120]Dada ukitaka upate uhondo zaidi kuhusu princess dianna kuzaliwa hadi kuingia Buckingham , visanga alivyokutana navyo kutoka kwa charles,kutoka na Dodi mtoto wa kiarabu wa billionaire wa london hadi kifo chake Nice France tafuta kitabu hiki "THE DAY DIANNA DIED, Mi nilisoma hadi page ya 100 ila kutokana na ubize wa masomo nilishindwa kukimaliza kilikuwa hardcopy
🤣🤣🤣Dunia nzima hakunaga cha pombe kama Mage ...
Ni ulabu asubuhi, mchana, usiku mpaka ukamuua!
Sent using Jamii Forums mobile app
Liz alikuwa anamuogopa vibaya mnoo...maana anajua angemdhalilisha anytime, chapombe yule hana aibu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yanii Queen alikua anamvumilia Sana na drama zake za ulevi
Linaogopa kusema umri wake, lizee balaa almost Liz age[emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Charles anauchukua hivi karibuni, ki bibi kitahamia Windsor Castle akaungane na mume wake.Huyu charles anaweza kufa ghafla kwa mawazo ya ufalme
Anausubiri ufalme miaka 40,na kibibi bado kinadunda tu
William ana asilimia kubwa sana ya kutwaa kiti mapema
Charles anauchukua hivi karibuni, ki bibi kitahamia Windsor Castle akaungane na mume wake.
Charles akihamia Buckingham Palace siku I ni nani ataishi St James's Palace.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]Baada ya kusoma huu uzi Angalau mara Moja katika maisha yangu nimejiona siishi mbali Sana na Royal family
Utu uzima dawaCharles ilibidi amuoe Diana lakini mapenzi yake yalikuwa kwa Camilla