Why hate kenya? Is it just jealousy or real grievance?


POVU LINAKUTOKA NYANG'AU! JUA LIMEWAWAKIA WANGA WAKUBWA! WATANZANIA WAPOLE KUPITA KIASI 'WA ENZI ZA MWALIMU' HAWAPO KWA HIYO MJIANDAE KWA JINO KWA JINO, KICHAPO KWA KICHAPO!
Huna hoja umebakiza utaalam wa kunya na domo lako! Kazaneni sana kuuchapa maana sasa hiyo taaluma tumewaachia nyinyi na njaa zenu zisizoisha!
 

Mkuu Eliakeem
Salamu, I have read what lies therein, its dumb, dampy and worthy to dump piece of literature.... no presidency is worthy of undermining inclusive of its people.

Am pretty composed, and my response was an outburst to the several anti Kenya threads. I just had it when i read this one, and, the pussified brain attribute is explicitly tagged to the anti Kenyan charade, having said that, Kenya doesn't excel on propaganda. Did Kenya campaign against Tz, has it ever gone ballistic on Tz diplomatically or otherwise? I hardly believe. You said one right thing though, your actions speak louder than words.

Ug and Rwanda have technocrats at EAC, they can collaborate Tz is the snailing catalyst in EAC and we respect her cautionary approach till such a time when she is ready. Nowadays it seems its better we let u decide coz if not; we end up back tracking on several agreed resolutions,today u agree tomorrow its a no....

Barack Obama with the ICC drama couldn't have come at a meaner time. KIBAKIS second term was marred with problems that u are well aware of.

Cha muhimu, tusimuabudu mchina au mzungu. We can make an Africa for AFRICANS starting with EAC. We still brothers even when we differ.
 

Kinyesi kinakusukuma nini, tulia ndugu, pumua na ujieleze vizuri. Unakurupuka tu, kawaida ya bongo lala.

Sina heshima na hulka isiyo na heshima kwa wakenya, jirundikishe humo ndani pia, akili hayawani wewe.
 

Dah kweli Kenya hamnazo....
Huyu nae anajiita Great Thinker?? Kenyatta ana kazi kama kweli na wewe ni raia wake...
 
Dah kweli Kenya hamnazo....
Huyu nae anajiita Great Thinker?? Kenyatta ana kazi kama kweli na wewe ni raia wake...

Nathani Mrisho Kikwete anakibarua zaidi kwani hamnazo kabisaaa......pumbaa tupu. Eti Kenya, eh, mara Waganda, mara wa malawi, kisha wanyarwanda.....mnakichaaa nyi watu? Bure kabisa
 
Hizi ni choko choko... vita vya katika kipito, ni nani atakaye pona?

kama Kenya imeendelea kuliko Tz, hiyo inaisaidia nini Tanzania? Kujifunza? Sasa hivi dunia ni kijiji kidogo..unaweza kujifunza hata kupitia kwa wakorea ama wa Malaysia ama waindonesia...Ni utashi tu unahitajika...

If they don't need us, we also do not need them...kwisha!!
 
Nathani Mrisho Kikwete anakibarua zaidi kwani hamnazo kabisaaa......pumbaa tupu. Eti Kenya, eh, mara Waganda, mara wa malawi, kisha wanyarwanda.....mnakichaaa nyi watu? Bure kabisa
Unachekesha sana.... Pole jirani! Unatumia nguvu nyingi. Jaribu kuwa makini kwenye uchambuzi hoja hazijibiwi kwa matusi wala kejeli hoja jibu kwa hoja anaekejeli ataona aibu na atakaa kimya.

Wewe kama una uwezo wa kubishana na mtu unaemuona ana "pussyfied mind" what does that make you??
 
Kinyesi kinakusukuma nini, tulia ndugu, pumua na ujieleze vizuri. Unakurupuka tu, kawaida ya bongo lala.

Sina heshima na hulka isiyo na heshima kwa wakenya, jirundikishe humo ndani pia, akili hayawani wewe.

Tatizo la Kenya ni VINYATA! NIMEGUNDUA!

Hapo zamani za kale mlikuwa na 'CHINYATA CHIKUBWA', basi chikawavuruga weeeee mpaka basi!
Sasa tena mmepata 'CHINYATA CHIDOGO', nacho ndio maaaama weeeee! Nyinyi watu, huwa mnavipendea nini vinyata? Au huwa vinawanyatiaje mpaka vinawadandia na kushika hatamu?

HERI ANGEKUWA NDUGU YETU RAILA, LABDA WATU TUNGEPUMUA KIDOGO!
 
Nathani Mrisho Kikwete anakibarua zaidi kwani hamnazo kabisaaa......pumbaa tupu. Eti Kenya, eh, mara Waganda, mara wa malawi, kisha wanyarwanda.....mnakichaaa nyi watu? Bure kabisa

Nathan mrisho kikwete ndio nani? Pambafuuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…