Why hate kenya? Is it just jealousy or real grievance?

Why hate kenya? Is it just jealousy or real grievance?

Hawa ni watu wanaotaka kuleta uchonganishi usio na maana. Nashangaa makala hii imeruhusiwa bila hata ya utafiti mdogo tu usiohitaji hesabu.

Tanzania ilisaidia Kenya wakati wana njaa. Waziri wakati huo(Ruto????sina uhakika) alikwenda kumuona JK akiwa Maramba Tanga. JK akaruhusu kutolewa baadhi ya tani za chakula kutoka national grain reserve kwa Kenya.
Kwahiyo si kweli kuhusu madai hayo.

Pili, gesi haijaanza kuchimbwa katika kiwango cha biashara. Wanasahau kuwa ni China inayotandaza mabomba na gesi hiyo ikiwa tayari itabidi iuzwe nchi za jirani. Waziri Muhongo kasema hata umeme wa ziada itabidi uuzwe. Hakuna sababu ya kuzuia bidhaa inayohitaji wateja.

Tatu, Kenya ni mwekezaji namba 2 baada ya UK nchini Tanzania wala siyo nchi yoyote ya SADC kama anavtyosema mwandishi huyu zuzu. Kama Tanzania ingeizuia Kenya hilo lisingetokea.

Nne, kiwanja kilipoungua sijui Kenya walitaka Tanzania ifanye nini kama hawakuomba msaada. Ilikuwa ni wajibu wao kuomba msaada na sidhani hilo lilifanyika. Lakini pia lazima watu waangalie upande wa kifundi. Je, kulikuwa na facility za kutosha ku handle ndege za Kenya? Kama sivyo je kulikuwa na umuhimu wa kuhatarisha maisha ya watu kwasababu tu ya kumpendeza mkenya?

Tano, Kama Tanzania ingekuwa na chuki na Kenya basi isingetumia rasilimali zake ikiwemo gharama za viongozi kusuluhisha mzozo wa Kenya. Ilibidi waziri mkuu wa Turkey akiyekuwa aje Tanzania ziara yake iahirishwe ili JK na Mkapa waende Nairobi kuokoa roho za Wakenya. Si jirani mwingine wa EAC aliyeahi kufanya hivyo.

Sita, mwandishi anaposema Tanzania ni masikini, ni kweli lakini umasiki huo upo kwa kada gani?
Nadhani masikini wa Tanzania anaweza kuwa na nafuu kuliko masikini wa Kenya.
Westland na Karen siyo kwa mkenya ni kwa wazungu, unless uniambie 'kuosha choo cha mzungu' ni bora kuliko cha Mwafrika. Katika nchi masikini duniani kenya ipi karibia na 140 sasa hapo kuna unafuu gani?

Saba, kama watalii wanakuja na kulala Kenya hilo halina tatizo kwao. Si wana single entry visa na Rwanda?
Tanzania ni mshirika mkubwa sana wa eneo hilo , matusi yataiumiza Kenya na si Tanzania.
Tanzania haitegemei watalii waje Kenya ili waje Tanzania, ila Kenya inategemea watalii waingie kwa mgongo wa rasilimali za Tanzania. Hivyo lazima wawe waangalifu kama kumbu kumbu za kufunga mpaka zinavyoeleza huko nyuma.

Tunafahamu kuwa Kenya wanashabikia sana Tanzania ikiwa na mizozo lakini hilo haiifanyi Kenya iwe bora.
Kenya walipogombana Tanzania haikufaidika na chochote na wala sidhani Tanzania ikiwa na mizozo na nchi nyingine Kenya itafaidika. Lazima Kenya ielewe kuwa wao ni majirani wakubwa kuliko wengine na siasa za majitaka za kutaka watu wagombane ni za hovyo.

Ni lazima wasomi wa Kenya waelewe tatizo la wananchi wa kiwango cha chini na si ma tycoon wachache.

Huu ni uchochezi tu ambao mwisho wake ni Kenya kuwa Loser. Wamesahau soko lao kubwa EAC lipo wapi?
Serikali yatishia kuushitaki mtandao wa Kenya kwa kashfa

NA WAANDISHI WETU


Assa%20Mwambene.jpg

Mkurugenzi wa Idara ya Habari (Maelezo), Assa Mwambene


Serikali imetishia kuuchukulia hatua za kisheria, ikiwamo kuushtaki mahakamani mtandao wa Standard unaomilikiwa na Kampuni ya Magazeti ya The Standard ya nchini Kenya, kwa madai ya kuidhalilisha Tanzania kwa kuionyesha haiko makini na Shirikisho la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).

Kutokana na kitendo hicho, imeutaka mtandao huo wa Standard Digital News - Kenya : Home, Breaking News, Business, Jobs, Football, Travel, Tourism, Elections, National, Kenya, Nairobi, County, East Africa, Kibaki, Raila, Elections 2013, Choice 2013 kuiomba radhi Tanzania, vinginevyo, itauchukulia hatua hizo.

Mkurugenzi wa Idara ya Habari (Maelezo), Assa Mwambene, alisema wako kwenye mchakato wa kuwaandikia wamiliki wa mtandao huo barua, kuwataka watekeleze suala hilo mara moja.

Mwambene alisema hayo baada ya kuitisha mkutano na waandishi wa habari kwa lengo la kujibu taarifa iliyotolewa na mtandao huo Septemba mosi, mwaka huu.

Alisema taarifa ya mtandao huo inaonyesha kwamba, Tanzania haiko makini na EAC, ikiwa ni pamoja na kukwamisha jitihada zinazofanywa na Kenya kuimarisha ushirikiano huo.

Kwa mujibu wa Mwambene, taarifa ya mtandao huo inadai kuwa jengo la Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta (JKIA) lilipoungua moto mwezi uliopita, baadhi ya nchi zilizoko EAC zilisaidia kwa kuruhusu ndege kutua katika viwanja vyake, lakini Tanzania ilikataa.

Alisema mtandao huo umedai pia kuwa miaka miwili iliyopita, Kenya walipokabiliwa na baa la njaa, waliiomba Tanzania iwauzie chakula (mahindi), ikawanyima, lakini ikaiuzia Uganda.

Mwambene alisema mtandao huo pia unadai kuwa Kenya iliwahi kuiomba Tanzania iwauzie gesi kutoka Songosongo, Wilaya ya Kilwa, mkoani Lindi, kwenda Moambasa kupitia Tanga, ikakataa, lakini ikaiuzia China na kwamba serikali imelazimika kujibu kwa kuwa haijui dhima ya mtandao huo, hasa wanachotaka kukifanikisha kwa kusema uwongo.

Alisema kuhusu tatizo la kuungua kwa jengo la JKIA, baadhi ya ndege zilitua nchini, hivyo akasema kinacholengwa na mtandao huo ni kutaka kuitukana Tanzania.

Mwambene alisema ni kweli serikali iliwahi kuzuia uuzwaji wa chakula kwenye mipaka ya Tanzania na siyo Kenya peke yake.

Alisema serikali ilifikia uamuzi huo kutokana na kipindi hicho kuwapo na tatizo la chakula na kwamba, kama kuna mtu aliuza nje ya mipaka ya Tanzania, basi alifanya hivyo kwa matakwa yake na si kwa kuruhusiwa na serikali.

Kuhusu gesi, alisema uwezo wa miundombinu iliyopo nchini kwa sasa ya kusafisha na kuisafirisha gesi ni futi za ujazo milioni 105 hivyo haitoshelezi hata mahitaji ya viwanda vilivyopo jijini Dar es Salaam.

Alisema upembuzi yakinifu uliofanyika EAC wa gesi kusafirishwa Tanzania kwenda Mombasa, Kenya kupitia mkoani Tanga, lakini akasema hakuna nchi inayonunua gesi kutoka Tanzania.



 
When the govt starts getting ideas of suing it gives me reasonable grounds to believe the allegations. If someone starts spewing bshit would you give it any of your precious seconds if they are all lies.
 
When the govt starts getting ideas of suing it gives me reasonable grounds to believe the allegations. If someone starts spewing bshit would you give it any of your precious seconds if they are all lies.
yes since lies negatively impact on our welfare within the block
 
It always baffles me to see how obsessed Tanzanians (not all) are with Kenya, sometimes the comments in this forum really gets to my nerves and at other time I just laugh and excuse their ignorance. Don't waste your time in this forums hating on people who don't even care about your existence, people who are working hard to feed their family during these harsh economic times, shifting blames to suit your warped view of your neighbors is not going to solve the problems in your country.
 
Mmmmmm,,,,toooo bad.

Matusi,,hua inasaidia nani?????:embarrassed1:

Very embarrassing,,,to see grown up behaving like toddlers.

That is why we want to give laptops,,to kids here in Kenya
because grown up are misusing this tool,,plus internet.

The discussion would have been,,,was the link above,,by
the person who put up this thread,,,whether what was
in that link was true instead of hurling useless abusive
words,,sijui,,to Kenyans, which will and can never affect,,
anything or anybody.

But the abusive language only shows one thing,,,you
do not have anything to talk about or,,you have been
confronted with,,,,pure truth.


Neighbors are there to help each other and can even
choose to stay away from each other which will
definitely,,harm both sides.

There is some signs that,,the other countries of the
eastern Africa are sidelining Tanzania.

Why is this happening???Is Tanzania right and the
others,,,,,,,, very wrong.

But it is very hard for one person to be right while
everybody is wrong.

It is very important,,,that Tanzania should not be seen
as if trying to bring down this noble idea of bring the countries
of eastern Africa together.

But if they think they can do alone,,well and good,,
let others combine forces and Tanzania will
be left alone with no bargaining powers.

If you do not want to sell us anything,,very nice,,you
will make me make it myself and never rely on you.

That is why we are,,this time,, going irrigation farming
style and became,,self reliant.

Tanzania needs Kenya the way Kenya needs them.

And those using abusive language to Kenyans,,very
mistaken,,,for there so many Tanzanian with so
much in Kenya and will never want to see this
situation going from bad to worse.

Only a selfish an ignorant person who will
not understand what i'm talking about.
 
Read this article and see how Tanzania goes over the top in trying to suffocate Kenya to the extent of jeopardizing its own interests! It could be for one of only two things: jealosy or actual grievances (let's discuss this).
Read here and you will see, Tanzania had ACTUALLY closed its airport to Kenyan air traffick when the JKA caught fire!
Tanzania refused to sell Gas to Kenya but sold it to China! When there was food scarcity in Kenya, Tanzania refused to sell maize to Kenya, saying it also faced food shortages.....but weeks later, sold the same maize to Uganda!

I have heard many stories even on individual levels : Kenyans being denied to fly from Tanzanian airports, others being denied permits to conduct businesses. Let's discuss this issue because I believe those who are doing this, putting these laws, are not doing so for the benefit of the Tanzanians. I fear, before this 4th republic of CCM is out, most of our neighbours will be our enemies!
(Malawi, Rwanda, Kenya, Uganda and.....)

Standard Digital News - Kenya : Tanzania would rather be in Southern Africa, it seems

this will actually make political sense than economic sense for TZ/CCM to refuse money and deny business permits to kenyans and even maize sales. I indeed it is true that is happening tanzanians will be discriminatory.
 
Read this article and see how Tanzania goes over the top in trying to suffocate Kenya to the extent of jeopardizing its own interests! It could be for one of only two things: jealosy or actual grievances (let's discuss this).
Read here and you will see, Tanzania had ACTUALLY closed its airport to Kenyan air traffick when the JKA caught fire!
Tanzania refused to sell Gas to Kenya but sold it to China! When there was food scarcity in Kenya, Tanzania refused to sell maize to Kenya, saying it also faced food shortages.....but weeks later, sold the same maize to Uganda!
I have heard many stories even on individual levels : Kenyans being denied to fly from Tanzanian airports, others being denied permits to conduct businesses. Let's discuss this issue because I believe those who are doing this, putting these laws, are not doing so for the benefit of the Tanzanians. I fear, before this 4th republic of CCM is out, most of our neighbours will be our enemies!
(Malawi, Rwanda, Kenya, Uganda and.....)

Standard Digital News - Kenya : Tanzania would rather be in Southern Africa, it seems

If a referendum was held in Tanzania as to whether the country should join EAC or SADC I can bet my balls that they would join SADC. Only the chagga people because of their proximity to Kenya and being the majority who do business in Kenya would vote otherwise. All professionals in Tanzania e.g doctors, lawyers, engineers, scientists and senior government officials will tell you that Tanzania is not ready for integration. So why is everyone talking about integration all the time? Let each country decide the speed they want to move with without any harassment or complaint. If Kenya Uganda and Rwanda want to become one nation tomorrow, so be it,Tanzania will catch up when the need arises soon or later.
 
Back
Top Bottom