Why hate kenya? Is it just jealousy or real grievance?

Why hate kenya? Is it just jealousy or real grievance?

Yaani na wewe unajiona mjanja, sio?

Iwapo nimewachanganya hisia kama watoto bila nyinyi kutambua nia yangu basi nyinyi ni zuzu kabisa lakini shukrani kwa majibu.
Bukyanagandi na wachache walisogelea mbali, take a cue from them next time, retard boy.
 
Last edited by a moderator:
Iwapo nimewachanganya hisia kama watoto bila nyinyi kutambua nia yangu basi nyinyi ni zuzu kabisa lakini shukrani kwa majibu.
Bukyanagandi na wachache walisogelea mbali, take a cue from them next time, retard boy.
Choko choko mchokonoe pweza, watanzania hautawaweza. Kajipange upya!
 
Tanzanians have idiotic pussyfied brains, esp the majority that are brandishing nonsense towards Kenya here. Has Kenyan strangled Tz?

If u feel u are so special quit EAC, its common sense we dont care what.the f*** u do down there or keeps u going.

Did Kenya point a gun at your excellency, has Kenya shortchanged Tanzania, typicall bullshit and acting implicitly victim is what u love.

U can have parallel policies with the tripatriate states if u so wish, never mind u love picking silly fights with your neighbours.
Nyangau ni watu wenyu, bongo lala.

nyang'au si majina zenyu mbona unarudisha kwetu.? by the way i agree with on the point of quitting EAC coz it has nothing to do with us except bringing trouble in dealing with selfish people like u.
 
nyang'au si majina zenyu mbona unarudisha kwetu.? by the way i agree with on the point of quitting EAC coz it has nothing to do with us except bringing trouble in dealing with selfish people like u.

Solidly agree, Tz is only a partner on paper.
 
Nimeamini kweli Kagame ni kiboko. Anachezesha watu muziki wasoujua na bila kujijua. Naona sasa kibwagizo kimedakwa na wengine. Kweli uamuzi wa kuiingiza nchi hiyo ndio ulikuwa kuruhusu kirusi ktk jumuia. Ni mwendo wa devide and rule!!!
 
Read this article and see how Tanzania goes over the top in trying to suffocate Kenya to the extent of jeopardizing its own interests! It could be for one of only two things: jealosy or actual grievances (let's discuss this).
Read here and you will see, Tanzania had ACTUALLY closed its airport to Kenyan air traffick when the JKA caught fire!
Tanzania refused to sell Gas to Kenya but sold it to China! When there was food scarcity in Kenya, Tanzania refused to sell maize to Kenya, saying it also faced food shortages.....but weeks later, sold the same maize to Uganda!
I have heard many stories even on individual levels : Kenyans being denied to fly from Tanzanian airports, others being denied permits to conduct businesses. Let's discuss this issue because I believe those who are doing this, putting these laws, are not doing so for the benefit of the Tanzanians. I fear, before this 4th republic of CCM is out, most of our neighbours will be our enemies!
(Malawi, Rwanda, Kenya, Uganda and.....)Standard Digital News - Kenya : Tanzania would rather be in Southern Africa, it seems
Hawa ni watu wanaotaka kuleta uchonganishi usio na maana. Nashangaa makala hii imeruhusiwa bila hata ya utafiti mdogo tu usiohitaji hesabu.

Tanzania ilisaidia Kenya wakati wana njaa. Waziri wakati huo(Ruto????sina uhakika) alikwenda kumuona JK akiwa Maramba Tanga. JK akaruhusu kutolewa baadhi ya tani za chakula kutoka national grain reserve kwa Kenya.
Kwahiyo si kweli kuhusu madai hayo.

Pili, gesi haijaanza kuchimbwa katika kiwango cha biashara. Wanasahau kuwa ni China inayotandaza mabomba na gesi hiyo ikiwa tayari itabidi iuzwe nchi za jirani. Waziri Muhongo kasema hata umeme wa ziada itabidi uuzwe. Hakuna sababu ya kuzuia bidhaa inayohitaji wateja.

Tatu, Kenya ni mwekezaji namba 2 baada ya UK nchini Tanzania wala siyo nchi yoyote ya SADC kama anavtyosema mwandishi huyu zuzu. Kama Tanzania ingeizuia Kenya hilo lisingetokea.

Nne, kiwanja kilipoungua sijui Kenya walitaka Tanzania ifanye nini kama hawakuomba msaada. Ilikuwa ni wajibu wao kuomba msaada na sidhani hilo lilifanyika. Lakini pia lazima watu waangalie upande wa kifundi. Je, kulikuwa na facility za kutosha ku handle ndege za Kenya? Kama sivyo je kulikuwa na umuhimu wa kuhatarisha maisha ya watu kwasababu tu ya kumpendeza mkenya?

Tano, Kama Tanzania ingekuwa na chuki na Kenya basi isingetumia rasilimali zake ikiwemo gharama za viongozi kusuluhisha mzozo wa Kenya. Ilibidi waziri mkuu wa Turkey akiyekuwa aje Tanzania ziara yake iahirishwe ili JK na Mkapa waende Nairobi kuokoa roho za Wakenya. Si jirani mwingine wa EAC aliyeahi kufanya hivyo.

Sita, mwandishi anaposema Tanzania ni masikini, ni kweli lakini umasiki huo upo kwa kada gani?
Nadhani masikini wa Tanzania anaweza kuwa na nafuu kuliko masikini wa Kenya.
Westland na Karen siyo kwa mkenya ni kwa wazungu, unless uniambie 'kuosha choo cha mzungu' ni bora kuliko cha Mwafrika. Katika nchi masikini duniani kenya ipi karibia na 140 sasa hapo kuna unafuu gani?

Saba, kama watalii wanakuja na kulala Kenya hilo halina tatizo kwao. Si wana single entry visa na Rwanda?
Tanzania ni mshirika mkubwa sana wa eneo hilo , matusi yataiumiza Kenya na si Tanzania.
Tanzania haitegemei watalii waje Kenya ili waje Tanzania, ila Kenya inategemea watalii waingie kwa mgongo wa rasilimali za Tanzania. Hivyo lazima wawe waangalifu kama kumbu kumbu za kufunga mpaka zinavyoeleza huko nyuma.

Tunafahamu kuwa Kenya wanashabikia sana Tanzania ikiwa na mizozo lakini hilo haiifanyi Kenya iwe bora.
Kenya walipogombana Tanzania haikufaidika na chochote na wala sidhani Tanzania ikiwa na mizozo na nchi nyingine Kenya itafaidika. Lazima Kenya ielewe kuwa wao ni majirani wakubwa kuliko wengine na siasa za majitaka za kutaka watu wagombane ni za hovyo.

Ni lazima wasomi wa Kenya waelewe tatizo la wananchi wa kiwango cha chini na si ma tycoon wachache.

Huu ni uchochezi tu ambao mwisho wake ni Kenya kuwa Loser. Wamesahau soko lao kubwa EAC lipo wapi?
 
Hawa ni watu wanaotaka kuleta uchonganishi usio na maana. Nashangaa makala hii imeruhusiwa bila hata ya utafiti mdogo tu usiohitaji hesabu.

Tanzania ilisaidia Kenya wakati wana njaa. Waziri wakati huo(Ruto????sina uhakika) alikwenda kumuona JK akiwa Maramba Tanga. JK akaruhusu kutolewa baadhi ya tani za chakula kutoka national grain reserve kwa Kenya.
Kwahiyo si kweli kuhusu madai hayo.

Pili, gesi haijaanza kuchimbwa katika kiwango cha biashara. Wanasahau kuwa ni China inayotandaza mabomba na gesi hiyo ikiwa tayari itabidi iuzwe nchi za jirani. Waziri Muhongo kasema hata umeme wa ziada itabidi uuzwe. Hakuna sababu ya kuzuia bidhaa inayohitaji wateja.

Tatu, Kenya ni mwekezaji namba 2 baada ya UK nchini Tanzania wala siyo nchi yoyote ya SADC kama anavtyosema mwandishi huyu zuzu. Kama Tanzania ingeizuia Kenya hilo lisingetokea.

Nne, kiwanja kilipoungua sijui Kenya walitaka Tanzania ifanye nini kama hawakuomba msaada. Ilikuwa ni wajibu wao kuomba msaada na sidhani hilo lilifanyika. Lakini pia lazima watu waangalie upande wa kifundi. Je, kulikuwa na facility za kutosha ku handle ndege za Kenya? Kama sivyo je kulikuwa na umuhimu wa kuhatarisha maisha ya watu kwasababu tu ya kumpendeza mkenya?

Tano, Kama Tanzania ingekuwa na chuki na Kenya basi isingetumia rasilimali zake ikiwemo gharama za viongozi kusuluhisha mzozo wa Kenya. Ilibidi waziri mkuu wa Turkey akiyekuwa aje Tanzania ziara yake iahirishwe ili JK na Mkapa waende Nairobi kuokoa roho za Wakenya. Si jirani mwingine wa EAC aliyeahi kufanya hivyo.

Sita, mwandishi anaposema Tanzania ni masikini, ni kweli lakini umasiki huo upo kwa kada gani?
Nadhani masikini wa Tanzania anaweza kuwa na nafuu kuliko masikini wa Kenya.
Westland na Karen siyo kwa mkenya ni kwa wazungu, unless uniambie 'kuosha choo cha mzungu' ni bora kuliko cha Mwafrika. Katika nchi masikini duniani kenya ipi karibia na 140 sasa hapo kuna unafuu gani?

Saba, kama watalii wanakuja na kulala Kenya hilo halina tatizo kwao. Si wana single entry visa na Rwanda?
Tanzania ni mshirika mkubwa sana wa eneo hilo , matusi yataiumiza Kenya na si Tanzania.
Tanzania haitegemei watalii waje Kenya ili waje Tanzania, ila Kenya inategemea watalii waingie kwa mgongo wa rasilimali za Tanzania. Hivyo lazima wawe waangalifu kama kumbu kumbu za kufunga mpaka zinavyoeleza huko nyuma.

Tunafahamu kuwa Kenya wanashabikia sana Tanzania ikiwa na mizozo lakini hilo haiifanyi Kenya iwe bora.
Kenya walipogombana Tanzania haikufaidika na chochote na wala sidhani Tanzania ikiwa na mizozo na nchi nyingine Kenya itafaidika. Lazima Kenya ielewe kuwa wao ni majirani wakubwa kuliko wengine na siasa za majitaka za kutaka watu wagombane ni za hovyo.

Ni lazima wasomi wa Kenya waelewe tatizo la wananchi wa kiwango cha chini na si ma tycoon wachache.

Huu ni uchochezi tu ambao mwisho wake ni Kenya kuwa Loser. Wamesahau soko lao kubwa EAC lipo wapi?

Mkuu huyo jamaa sio wa kule kwa Kagame kweli?
Hata huyu livefire nina wasiwasi nae!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu huyo jamaa sio wa kule kwa Kagame kweli?
Hata huyu livefire nina wasiwasi nae!!!!!!!
Mkuu Wanyarwanda wapo wengi sana na jitihada zao ni kuleta mvurugano EAC. Wanataka kuchonganisha kila mahali ili hoja yao isahaulike.

Wapo hapa wengi sana wengine wanajulikana na wengine wanaleta nyuzi kama watu wema sana.
Fikiria mtu anayesema Tanzania itabaki inaomboleza bila kuweka sababu za msingi huyu ana maana gani.

Tumetoa tahadhari kwa Watanzania kuwa hawa jamaa wamesoma hapa kwetu wanajua kiswahili vizuri sana na si rahisi kudhani ni wao. Tunawajua lakini tutawajibu tu.

Hakuna ugomvi na Kenya au Uganda lakini wao wanafanya spinning. Wame infiltrate sehemu muhimu sana ziwe Kenya au Uganda hata hapa nchini. Sasa wana propaganda machines zao zinafanya kazi.

Ukisoma habari hiyo hakuna madai ya maana hata moja. Mstari wa kwanza anasema Wanyarwanda wamefukuzwa huku ukweli ukiwa ni wahamiaji haramu tena wa nchi zote. Kwani Wanyarwanda wanawakilisha Burundi na Uganda au Congo?
 
Mkuu Wanyarwanda wapo wengi sana na jitihada zao ni kuleta mvurugano EAC. Wanataka kuchonganisha kila mahali ili hoja yao isahaulike.

Wapo hapa wengi sana wengine wanajulikana na wengine wanaleta nyuzi kama watu wema sana.
Fikiria mtu anayesema Tanzania itabaki inaomboleza bila kuweka sababu za msingi huyu ana maana gani.

Tumetoa tahadhari kwa Watanzania kuwa hawa jamaa wamesoma hapa kwetu wanajua kiswahili vizuri sana na si rahisi kudhani ni wao. Tunawajua lakini tutawajibu tu.

Hakuna ugomvi na Kenya au Uganda lakini wao wanafanya spinning. Wame infiltrate sehemu muhimu sana ziwe Kenya au Uganda hata hapa nchini. Sasa wana propaganda machines zao zinafanya kazi.

Ukisoma habari hiyo hakuna madai ya maana hata moja. Mstari wa kwanza anasema Wanyarwanda wamefukuzwa huku ukweli ukiwa ni wahamiaji haramu tena wa nchi zote. Kwani Wanyarwanda wanawakilisha Burundi na Uganda au Congo?


Mkuu ni kweli kabisa

Hawa watu ni hatari sana kwa amani ya maziwa makuu
Unajua sasa naanza kujua ni kwanini hata Mungu kuna watu amewaita waovu bila kuficha

Ukiangalia suala hili ni wazi kabisa kuna agenda ya siri,unashangaa ni kwanini watu wanaotaka kuwaaminisha Watania kuwa kuna ugomvi au kutokuelewana kati ya Tanzania na Uganda wakati waganda hata hawajui hii kitu

Juzi kuna mama mmoja alitoka Uganda,alizungumza na waganda kuhusiana na haya na wengi walishangaa na wengine hata hawajui kama kuna ugomvi wowote kati ya nchi hizi

Kuna haja ya kuwa makini na hawa watu,tunaweza kucheza mchezo tusioujua!
 
Mkuu ni kweli kabisa

Hawa watu ni hatari sana kwa amani ya maziwa makuu
Unajua sasa naanza kujua ni kwanini hata Mungu kuna watu amewaita waovu bila kuficha

Ukiangalia suala hili ni wazi kabisa kuna agenda ya siri,unashangaa ni kwanini watu wanaotaka kuwaaminisha Watania kuwa kuna ugomvi au kutokuelewana kati ya Tanzania na Uganda wakati waganda hata hawajui hii kitu

Juzi kuna mama mmoja alitoka Uganda,alizungumza na waganda kuhusiana na haya na wengi walishangaa na wengine hata hawajui kama kuna ugomvi wowote kati ya nchi hizi

Kuna haja ya kuwa makini na hawa watu,tunaweza kucheza mchezo tusioujua!
Umakini ni kuangalia mambo wanayochomeka kwatika social media zetu. Imefikia mahali wanaweza kutufarakanisha sisi kwa sisi tukidhani tunafarakana kumbe ni fitna yao.

Juzi kuna mmoja kaleta nyuzi kuonyesha Hospitali za Tanzania. Kinachoshangaza hakuonyesha jinsi gani watu wao wanarudi kwao. Kwamba Tanzania ni kubaya sana lakini 21,000 wamehamia kwa njia haramu! Sasa uzuri wa Rwanda upo wapi?

Nawasihi Watanzania, ukisoma nyuzi ya mtu kwanza itafakari hawa jamaa wameingia sana na wanaijua nchi yetu unaweza kudhani ni mwenzako kumbe ni joka linatema sumu.

Jitihada zao za kutuchonganisha na Kenya au Rwanda ni ili tuondoke katika mada ya Congo ambayo kwao ina masilhai sana. Wanasahau hata sisi tuna masilahi ya kiusalama na kiuchumi achilia mbali maadili ya kiroho.

Ni lazima tuchukue tahadhari sana, watatumbukiza jambo tutaumana wenyewe kwa wenyewe kumbe sivyo tulivyo ni sumu yao inatuumiza. Tunahitaji uangaliafu sana
 
this guy must be a fallen angel with intention of destroying our good face to abroad countries. We all know kenyan's manners, so you have nothing to talk about us. And soon we gonna be the economic controller of EAC.
 
The only tanzanian who wanted to be apart of EAC was president mkapa. Its not because we think kenyans are horrible people, its just that its too early for tanzania to be apart of it. Our education is still quite poor meaning most tanzanians will have trouble geting jobs once the doors are fully opened. We have widespread unemployment already. Industrial wise also, we have few industries as compared to kenya. Our government is a problem. We just need to get our shit together first before joining the EAC.
So we tanzanians dont have issues with kenyans. And i think the link posted is total ----. There are many kenyans today working and living in tanzania peacefully. They even marry tanzanians for the soul purpose of owning land.
 
Pumba ni nini? Maliza ugali wako na papa kwanza ndipo uandike....

Nshamaliza kula huo ugali wa uwele,
Pumba*#*#*u tena na hao wakenya wako.

Msemaji wa Serikali na Mkurugenzi wa Idara ya Habari- (MAELEZO) Assah Mwambene akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam kuhusu mtandao wa kijamii wa nchini Kenya ulioituhumu Serikali ya Tanzania.Picha na Hassan Silayo –MAELEZO. --Na Fatma Salum- MAELEZO SERIKALI ya Tanzania imetoa ufafanuzi kuhusu tuhuma mbalimbali dhidi yake zilizotolewa na mtandao wa kijamii wa nchini Kenya ujulikanao kama www.standardmedia.co.ke unaosadikika kuendeshwa na kampuni ya gazeti la The Standard la nchini humo. Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam, Msemaji wa Serikali na Mkurugenzi wa Idara ya Habari- (MAELEZO) Assah Mwambene , alisema mtandao huo umeripoti kuwa Serikali ya Tanzania imekataa kuiuzia Kenya gesi asili ya Songosongo jambo ambalo halina ukweli kwa kuwa gesi inayozalishwa hivi sasa bado haijafikia kiasi cha kuweza kuuzwa nje ya nchi. Mtandao huo pia umeripoti kuwa Serikali ya Tanzania ilikataa viwanja vyake vya ndege vya kimataifa kutumiwa na ndege zilizopaswa kutua katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyata wakati wa ajali ya moto iliyotokea kwenye uwanja huo hivi karibuni. Mwambene alifafanua kuwa tuhuma hizo ni za uongo kwani mara baada ya uwanja wa ndege wa Jomo Kenyata kuwaka moto, ndege zilizotakiwa kutua uwanjani hapo ziliruhusiwa kutua kwenye viwanja vya ndege vya Tanzania vya Julius Nyerere International Airport (JNIA) na Kilimanjaro International Airport (KIA). “Sio kweli hata kidogo kwamba Tanzania ilikataa ndege za Kenya zisitue kwenye viwanja vyake kwa sababu uwanja wa Jomo Kenyata ulipoungua ndege nyingi zilizopaswa kutua katika uwanja ule zilitua kwenye viwanja vyetu na hii pia ilitokana na ukweli kwamba Tanzania na Kenya zinachangia ndege nyingi za nje ya nchi,” alisema Mwambene. Aidha Mwambene alikanusha tuhuma nyingine iliyodai kuwa mwaka 2010 Tanzania ilikataa kuiuzia Kenya chakula badala yake ikaiuzia nchi ya Uganda taarifa ambazo si za kweli kwa kuwa mwaka huo nchi nyingi za Afrika zilikumbwa na baa la njaa ikiwemo Tanzania yenyewe. Hivyo Tanzania ililazimika kusitisha utoaji wa vibali kwa wafanyabiashara kuuza chakula nje ya nchi na hakukuwa na taarifa yoyote ya kuuzwa chakula nchini Uganda.Kutokana na upotoshaji huo Mwambene alisema Serikali ya Tanzania imeutaka mtandao huo kuomba radhi na isipofanya hivyo hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi yake. Katika hatua nyingine Mwambene alifafanua kuwa zoezi linaloendelea nchini la kuwataka wahamiaji haramu wanaoishi hapa kinyume cha utaratibu kuondoka kwa hiari haliwahusu wakimbizi waliopo nchini kisheria. Pia zoezi hilo linawalenga wahamiaji haramu wote kutoka nchi za Rwanda, Burundi, Congo DRC, Zambia na Uganda na hakuna serikali ya nchi yoyote kati ya hizo iliyolalamika kuhusu hatua hiyo. “Mpaka sasa zoezi linaenda vizuri hakuna taarifa yoyote ya malalamiko kutoka Zambia, DRC, Burundi, Rwanda wala Uganda na tayari Rwanda imetuma taarifa rasmi kuishukuru serikali ya Tanzania kwa kuendesha vema zoezi hilo. Kinachoandikwa na baadhi ya vyombo vya habari ni upotoshaji unaolenga maslahi binafsi ,” alisisitiza. Akizungumzia usalama wa Watanzania nchini Rwanda, Mwambene alisema hakuna taarifa ya Mtanzania yeyote kunyanyaswa nchini humo na uhusiano wa kidiplomasia kati ya Rwanda na Tanzania haujakatika.
 
Obama panga safar nyingne nchin Kenya,make waliwahi kupumzika siku uliposhinda kuwa rais wa USA,wanarubunika na kimbau mbau mpenda vita nawao wanajaaa,m23 washakali pua,tutapiga tu woteeee,na huyo anaetaka kimbia ICC kisa kawa rais nae n SHEtAni tu achilia mbal ushind wa wiz alioupata.
 
Mkenya halalamikii Tanzanai tena angependa uhusiano uendelee aendeleekula matunda
 
I think this person was trying to post just as other individals do, let me advice you to thinks befor writing as well as u can write on the paper and see if there is logic within, then present it to public Hopely Umenielewa we NYANG'AU
 
Yaani bado u still reeling from the aftershocks? #move on guys. information mining is as simple as messing with ones psychology.

Aind it ain't about a supremacy sort of thing, only a bongo lala sort of mind is preset to follow a certain externally infused trajectory. U never disappoint guys. #honestly

Theater closed yesternait, anything forthwith is just but okay, a btw. I exit.
 
Back
Top Bottom