Nyalandu ana tuhuma za twiga. Lissu ndio habari ya mjini. Nyalandu hauziki kwa wananchi. CHADEMA msije mkajiloga, mtajuta.
Mbona jamaa huyu alipoingia alilipa visasi wale jamaa wa kituo cha mafuta mwanza? Siku moja alitoa kauli "kipindi kile nilikatazwa lakini sasa hivi hakuna wa kunikataza"
What a nonsense!
Yaani badala ya kutoa sifa kwa nini unasapoti Nyalandu badala yake uzi mzima unamuongelea Lissu!
Badilisha hiyo heading!
Ni haki yako kumsemea mgombea umpendaye ndo demokrasia, lakini nyalandu akichaguliwa Jpm atakwenda kulala.ushindi 90%
Nashindwa kuwaelewa watu wanaozungumzia harakati kama dhambi yakutoweza kuongoza, hata Nelson Mandela alikuwa Mwanaharakati, how about Former Cuba president Fidel Castro?Ooh really? Mwalimu Nyerere was an activist wasn't he?
Lissu ameshawahi kutawala wapi? Kama ana uwezo mpeni Chama chenu akitawale maana kina matatizo ya kiuongozi kuliko nchi yetu.Lissu anamzidi magu kwa uwezo wa kutawala na kuongoza watu zaidi ya mara 16. Ni Lissu hakuna mwingine.
LIKUD ona mwingine ni huyuKama nyinyi mataga mnavyo muona mwenyekiti wenu
Bora tuongozwe na mwanaharakati kuliko DICTETA.Lissu ni Mwanaharakati, hafai kupewa madaraka ya juu kama Urais. Anaweza kufaa Sana akiwa Waziri Mkuu, Mkurugenzi WA TAKUKURU, Spika wa Bunge, Jaji Mkuu, Mwanasheria Mkuu wa Serikali au Waziri wa Katiba na Sheria but sio kuwa Rais wa nchi.
Rais anatakiwa awe
ame " out grow "Ile phase ya " uana harakati" .
Lissu bado ame stuck kwenye phase ya " uanaharakati"
Kingine tukimpa Lissu nafasi ya kuwa Rais tunakuwa tunamsaidia Tu kumuweka katika nafasi ya kulipa kisasi Kwa watu anao amini ni watesi wake Jambo ambalo halina maslahi Kwa TAIFA letu .
Kaka Lissu wewe unasifika na kuheshimika kama Mwanasiasa makini but kwa hili la urahisi, Hell No!!! I Am sorry to tell you that you are not a good fit.
Chadema mtafanya makosa makubwa Sana kama nafasi ya kupeperusha bendera ya chama chenu mtaitoa Kwa MTU mwingine tofauti na Nyalandu.
Lissu awe kwenye kampeni kumsindikiza na kukuunga mkono Nyalandu.
Kura za huruma ya watanzania Kwa Lissu ziende Kwa Nyalandu.
Umeandika ufala kabisa. Nini kimekufanya uwaone Salary Slip na Sky Eclat wanamuona mungu wao?Una roho ya paka kuanzisha uzi huu hapa JF maana akina Salary Slip Sky Eclat etc wanamuona TL kama mungu wao
Na popularity ya Lissu ipo kwenye mitandao na sehemu chache za mijini. Huko kwengine hakuna anaejua Lissu ni nani?Watanzania hawalioni hilo wanachoangalia ni popularity kigezo ambacho Lisu anacho 100%
lakin in other side Lisu kweli hafit kwenye kugombea ngazi ya uraisi
Usimfananishe Mwl. Nyerere na vitu vya ajabu.Ooh really? Mwalimu Nyerere was an activist wasn't he?
Nyie bwn yule mnamuona ni 'yesu' kabisaa na hata Lugola alithibitisha hilo.Una roho ya paka kuanzisha uzi huu hapa JF maana akina Salary Slip Sky Eclat etc wanamuona TL kama mungu wao