Uchaguzi 2020 Why I support Nyalandu and not Lissu

Uchaguzi 2020 Why I support Nyalandu and not Lissu

Lissu ni Mwanaharakati, hafai kupewa madaraka ya juu kama Urais. Anaweza kufaa Sana akiwa Waziri Mkuu, Mkurugenzi WA TAKUKURU, Spika wa Bunge, Jaji Mkuu, Mwanasheria Mkuu wa Serikali au Waziri wa Katiba na Sheria but sio kuwa Rais wa nchi.

Rais anatakiwa awe
ame " out grow "Ile phase ya " uana harakati" .

Lissu bado ame stuck kwenye phase ya " uanaharakati"

Kingine tukimpa Lissu nafasi ya kuwa Rais tunakuwa tunamsaidia Tu kumuweka katika nafasi ya kulipa kisasi Kwa watu anao amini ni watesi wake Jambo ambalo halina maslahi Kwa TAIFA letu .

Kaka Lissu wewe unasifika na kuheshimika kama Mwanasiasa makini but kwa hili la urahisi, Hell No!!! I Am sorry to tell you that you are not a good fit.

Chadema mtafanya makosa makubwa Sana kama nafasi ya kupeperusha bendera ya chama chenu mtaitoa Kwa MTU mwingine tofauti na Nyalandu.

Lissu awe kwenye kampeni kumsindikiza na kukuunga mkono Nyalandu.

Kura za huruma ya watanzania Kwa Lissu ziende Kwa Nyalandu.
Lissu is a million miles better than the incumbent.... and this is from me, a CCM supporter!
 
Wapiga kura wapenzi wa Chadema hawatawaelewa, ila kama kuna tatizo la Lissu kukataliwa na NEC .
NEC itamkataaje? Labda iunde sheria nyingine tofauti na zilizopo.
Kama alivyoniambia MTU mmoja kuwa inataka kuwekwa kanuni ya kukata jina la yeyote atakaye gundulika kamuoza mamaye kwa jogoo
 
Lisu anaweza kutufaa sana simply kwa sababu ana uwezo mkubwa wa kuongoza by the book na sio huyu mkanyaga katiba aliyoapa kuilinda na bado mahakama haiwezi mfanya chochote
 
Lissu ni Mwanaharakati, hafai kupewa madaraka ya juu kama Urais. Anaweza kufaa Sana akiwa Waziri Mkuu, Mkurugenzi WA TAKUKURU, Spika wa Bunge, Jaji Mkuu, Mwanasheria Mkuu wa Serikali au Waziri wa Katiba na Sheria but sio kuwa Rais wa nchi.

Rais anatakiwa awe
ame " out grow "Ile phase ya " uana harakati" .

Lissu bado ame stuck kwenye phase ya " uanaharakati"

Kingine tukimpa Lissu nafasi ya kuwa Rais tunakuwa tunamsaidia Tu kumuweka katika nafasi ya kulipa kisasi Kwa watu anao amini ni watesi wake Jambo ambalo halina maslahi Kwa TAIFA letu .

Kaka Lissu wewe unasifika na kuheshimika kama Mwanasiasa makini but kwa hili la urahisi, Hell No!!! I Am sorry to tell you that you are not a good fit.

Chadema mtafanya makosa makubwa Sana kama nafasi ya kupeperusha bendera ya chama chenu mtaitoa Kwa MTU mwingine tofauti na Nyalandu.

Lissu awe kwenye kampeni kumsindikiza na kukuunga mkono Nyalandu.

Kura za huruma ya watanzania Kwa Lissu ziende Kwa Nyalandu.
Hata Magufuli alitakiwa awe waziri wa ujenzi tu hata kumpa urais ni kosa la karne
 
CCM wanatamani Lissu asichaguliwe ili mwenyekiti wao asipate mshindani mahiri na anaekubalika.
Kama unaamini Lissu ni mshindani wa Magufuli kwenye nafasi ya urais 2020, basi wewe utakuwa ni mjuzi wa siasa wa mtandaoni tu na sio site.
 
Unajaribu kutumia nguvu nyingi sana kuunga unga dhana potofu.
Bahati mbaya sana CHADEMA hawana muda kufuatilia hizo blah blah zako.
CHADEMA huwa hawabahatishi.
Jibu lao utalijua muda sio mrefu.
Hata wewe pia unaleta blah blah. Ingekuwa hawabahatishi, wangekuwa tayari wapo pale magogoni muda mrefu.
 
Unamsupport Nyarandu kwa sababu, Kuna Sifa muhimu unadhani Lissu hana.

Una utofauti gani na watu wanaomsupport Lissu, kwa sababu kuna vitu hawavikubali kwa Magufuri.?
 
Back
Top Bottom