Why is it sex first marriage next?

Why is it sex first marriage next?

Hiyo kanuni ya kijinga. Mwanamke anakua affected zaidi. Haya atalala na wangapi ili ampate huyo wa kumuoa. Ni kanuni ya kibinafsi sana inayokua promoted na wanaume wanaotaka kula tunda kimasihara.
Personally siwezi kuzini na mwanaume nnaemuona ni husband material ila mwanaume kama sitaki future nae natafuta tu mtu wa kuniliwaza na company sitofikiria mara mbili.

Sent From Galaxy S20 Ultra
kwamba wanaotaka kula tunda kimasiharaa 😅😅😅 ni matatizo ya kiufundi tu
 
sa inakuaje unamtest Angel alafu unamuoa Prisca? au ni hulka tu mkuu!
Unajua mwanamke ni kama bidhaa dukani, lazma awe na kitu special ili kumvutia mlaji ambaye ni kidume.

Sasa unakuta labda reception mjomba sele, nyuma kama motorola bapa aijulikani mgongo umeishia wapi mwisho inaonekana miguu tu. Pengine mungu kakujalia ka rangi pendwa ka ndizi kisukari. Mlaji anaona kuna haja ya kufuatilia kwa kina zaidi kwamba huenda labda akikagua section ya mtambo huenda akapata cha kumbakisha kwako.
Ukimkonga nyoyo huko mbona habanduki tena na mipango inaanziaga hapo.

Kwahio msijiskie vibaya ni sehemu ya vetting tu.😆😆😆
 
Hiyo kanuni ya kijinga. Mwanamke anakua affected zaidi. Haya atalala na wangapi ili ampate huyo wa kumuoa. Ni kanuni ya kibinafsi sana inayokua promoted na wanaume wanaotaka kula tunda kimasihara.

Sent From Galaxy S20 Ultra
kweli kabisa.
 
Salam kwenu, bila shaka mpo salama na mola aendelee kutulinda amen.

Jamani kuna hili suala binafsi nashindwa kuelewa kwa hali iliyopo kwa sasa kwamba kama mwanaume hajakutana kimwili na mtarajiwa wake basi inakuwa ngumu kuendeleza uhusiano na anaweza kughairi hata kuoa ni kama kisheria fulani hivi kinachokua kwa kasi ambacho wanaume wamejiwekea.

Tatizo huwa ni nini, like why is it so important?
Mimi sina cha kuchangia, zaidi ya kusema Id yako nzuri sana.

Ahsante.
 
Salam kwenu, bila shaka mpo salama na mola aendelee kutulinda amen.

Jamani kuna hili suala binafsi nashindwa kuelewa kwa hali iliyopo kwa sasa kwamba kama mwanaume hajakutana kimwili na mtarajiwa wake basi inakuwa ngumu kuendeleza uhusiano na anaweza kughairi hata kuoa ni kama kisheria fulani hivi kinachokua kwa kasi ambacho wanaume wamejiwekea.

Tatizo huwa ni nini, like why is it so important?
lazima utest mitambo kwanza
 
Unajua mwanamke ni kama bidhaa dukani, lazma awe na kitu special ili kumvutia mlaji ambaye ni kidume.

Sasa unakuta labda reception mjomba sele, nyuma kama motorola bapa aijulikani mgongo umeishia wapi mwisho inaonekana miguu tu. Pengine mungu kakujalia ka rangi pendwa ka ndizi kisukari. Mlaji anaona kuna haja ya kufuatilia kwa kina zaidi kwamba huenda labda akikagua section ya mtambo huenda akapata cha kumbakisha kwako.
Ukimkonga nyoyo huko mbona habanduki tena na mipango inaanziaga hapo.

Kwahio msijiskie vibaya ni sehemu ya vetting tu.😆😆😆
kuna broo mmoja aliopoa dem akawa na nia ya kutest mtambo kwa siri watu wasijue maana demu alikuwa wakawaida sanaa sasa baada ya kutest mtamboo eeh mtambo ukatik jamaa kaoa😅😅
 
Salam kwenu, bila shaka mpo salama na mola aendelee kutulinda amen.

Jamani kuna hili suala binafsi nashindwa kuelewa kwa hali iliyopo kwa sasa kwamba kama mwanaume hajakutana kimwili na mtarajiwa wake basi inakuwa ngumu kuendeleza uhusiano na anaweza kughairi hata kuoa ni kama kisheria fulani hivi kinachokua kwa kasi ambacho wanaume wamejiwekea.

Tatizo huwa ni nini, like why is it so important?
lazima utest mitambo kwanza
 
Unajua mwanamke ni kama bidhaa dukani, lazma awe na kitu special ili kumvutia mlaji ambaye ni kidume.

Sasa unakuta labda reception mjomba sele, nyuma kama motorola bapa aijulikani mgongo umeishia wapi mwisho inaonekana miguu tu. Pengine mungu kakujalia ka rangi pendwa ka ndizi kisukari. Mlaji anaona kuna haja ya kufuatilia kwa kina zaidi kwamba huenda labda akikagua section ya mtambo huenda akapata cha kumbakisha kwako.
Ukimkonga nyoyo huko mbona habanduki tena na mipango inaanziaga hapo.

Kwahio msijiskie vibaya ni sehemu ya vetting tu.
mkuu sio kwamba tatizo ni trusting issues na hulka zenu tu.?
 
Kwasababu haifai kuchanganya haram na halali. Hatuwezi kuanza kwa kuzini alafu ndoa iwe ya baraka. Tutavurugana tu huko mbele.

Sent From Galaxy S20 Ultra
Sio kweli, vipi mkitubia nyote kabla ya ndoa ?

Pili, halali hapo ni nini na haramu ni nini pia ?
 
mkuu sio kwamba tatizo ni trusting issues na hulka zenu tu.?
Sasa kuna mtu kigeugeu kama mwanamke, mtu unapanga nae freshi mkalane muda ukifikia anakubadilishia mapigo. 🤣🤣🤣 Kwa kutumia u gentleman unapotezea tu.
 
Back
Top Bottom