Los técnicos
JF-Expert Member
- Sep 14, 2014
- 3,012
- 2,637
Hapana ni mzigo wa kujitakia kuishi na mtu wa maisha bila ya kuwa na uhakika atakupa furaha ya maisha.mkuu sio kwamba tatizo ni trusting issues na hulka zenu tu.?
Kuna haja gani umuoe, asikuridhishe, ukamuacha ukaoa mwingine?
Sent using Jamii Forums mobile app