Why is Tanzania not a member of the The East African standby Force?

Why is Tanzania not a member of the The East African standby Force?

Hao Alshabab tumewasikia kwenye clip yao wakisema "salam Tanzania msidhan tumewaachia tutaingia......."
Wakijaribu yale missilles ya gambosh yatawahusu.
TPDF/JWTZ(Tanzania p*s*y D*c*ed Forces/Jeshi la Waoga Tanzania) lishanyolewa na watoto wa mapanga kule kongo sembuse Shababu.😂😂
 
Kwa maoni yangu Viongozi wa Tanzania ni shortsited sana .
They always side with the loosing team .
Walianza kwa kukumbatia Ujamaa ,waka fail.sasa hivi wana practice capitalism waliokuwa wakiikataa.
The first East African community ika fail kwa sababu ya differences za ujinga zilizoletwa na Nyerere .
In the current EAC Tanzania ndio inachangia pakubwa kuhujumu intergration ila najua mwishowe watafunguka macho.
pia kuna kipindi walikuwa wanataka kujinga na Arab league sijui walifika wapi.

Viongozi wamewafanya wa withdraw kuwa wanachama wa comesa lakini najua hivi karibuni watajiunga tena
ukiangalia hata development projects kama Bangamoyo port na SGR utagundua kwamba ni projects ambazo wamezianzisha kwa mihemko tu.
 
Watz walivyo waoga, waliogopa kujiunga kwenye hilo kundi baada ya kuskia linaweza kutumika kupigana dhdi ya Alshabaab, yaani ukitaja chochote kinachohusu mashababi, Watz hupitia mbali kama wamekunja mikia....hehehe.....ila inabdi tuwaelewe maana mziki dhidi ya hawa magaidi unahitaji usiwe dhaifu, kumbuka Watz walivyosumbuliwa na kuhangaishwa na vjana wao wanywa gongo/chang'aa kule msitu wa Amboni kwa muda mrefu tu, hao hao wanywa gongo waliwasumbua sana Kibiti, sasa ikiwa wanaweza kulizwa na vijana dhaifu kiasi hicho, je wakivurugwa na mashababi bin shetwan wataihama nchi.

Kuna kipindi Alshabaab walihojiwa na kuulizwa mbona wameikosesha amani Tanzania, wakasema hawana ugomvi na Tanzania na hawapo huko, kwamba wanaowaliza Watz ni vijana wao tu wa Kitanzania na wala sio Alshabaab. Hivyo, ni jambo la kueleweka kwanini Watz hawawez kuthubutu chochote wala hata kuelekeza kidole dhidi ya mashababi, muungano kama huu wa majeshi ilipotajwa utahusika kuwapiga mashababi, Watz walikaa mbali nawo.
Yaani unataka Tanzania iingie vitani na watu ambao hatuna interest nao? Vita imeanzishwa na watu wengine wakenya wakavalia njuga sasa limewashinda mnataka kuhangaisha na wengine?

JWTZ haliendekezi upumbavu kama KDF. Hao wa kibiti na wenzao wako wapi saiv? Wa kule msumbiji dakika sifuri tu tumewamaliza.Mmehangaishwa na mtu mmoja tu Mall pale wastegate! au umesahau
 
TPDF/JWTZ(Tanzania p*s*y D*c*ed Forces/Jeshi la Waoga Tanzania) lishanyolewa na watoto wa mapanga kule kongo sembuse Shababu.😂😂
Kenya D*ck F*c*ed walishuhulishwa na mtu mmoja pale Waste gate, waliishia kuiba 😀 shut up tukizungumza kwenye Defence forces. Tofautisha kati ya Jeshi la Wananchi Tanzania na Kikosi cha majambazi kenya 🙂
 
Sasawa....naona makaazi ya middle class dar...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Hata mm naumia sana lazima na sisi tuwe na slum hata moja tz siyo slum zote zipo Kenya na sisi ukigoogle tz slum angalau tuwemo nawapongeza Kenya kwa kuwa na slum za kutosha
images.jpeg.jpeg
 
Watz walivyo waoga, waliogopa kujiunga kwenye hilo kundi baada ya kuskia linaweza kutumika kupigana dhdi ya Alshabaab, yaani ukitaja chochote kinachohusu mashababi, Watz hupitia mbali kama wamekunja mikia....hehehe.....ila inabdi tuwaelewe maana mziki dhidi ya hawa magaidi unahitaji usiwe dhaifu, kumbuka Watz walivyosumbuliwa na kuhangaishwa na vjana wao wanywa gongo/chang'aa kule msitu wa Amboni kwa muda mrefu tu, hao hao wanywa gongo waliwasumbua sana Kibiti, sasa ikiwa wanaweza kulizwa na vijana dhaifu kiasi hicho, je wakivurugwa na mashababi bin shetwan wataihama nchi.

Kuna kipindi Alshabaab walihojiwa na kuulizwa mbona wameikosesha amani Tanzania, wakasema hawana ugomvi na Tanzania na hawapo huko, kwamba wanaowaliza Watz ni vijana wao tu wa Kitanzania na wala sio Alshabaab. Hivyo, ni jambo la kueleweka kwanini Watz hawawez kuthubutu chochote wala hata kuelekeza kidole dhidi ya mashababi, muungano kama huu wa majeshi ilipotajwa utahusika kuwapiga mashababi, Watz walikaa mbali nawo.
Sasa Anko tukawasaidie somalia kwan wanafaida gani kwetu??nyi majiran wenu hao mkomae tuu kuuana hahahaha
 
Nasikia kuna siku milipuko na risasi zilitanda Dar, usiku. Wanaume na midevu yao wakaanza kukimbia usiku wa manane wakielekea mikoani, wakiwa wamevalia chupi tu. 😀 Cc. MK254. Sasa mnategemea nini kutoka kwa jeshi lao? Jirani zetu ni waoga kupindukia. Eti mnangoja wajiunge na vikosi ambavyo vinaenda kupambana na mazombie Somalia? Hizo ni ndoto za mchana!
 
Nasikia kuna siku mlipuko na risasi zilitanda Dar usiku. Wanaume na midevu yao wakaanza kukimbia usiku wa manane wakielekea mikoani wakiwa wamevalia chupi tu. 😀 Cc. MK254. Sasa mnategemea nini kutoka kwa jeshi lao? Jirani zetu ni waoga kupindukia. Eti mnangoja wajiunge na vikosi ambavyo vinaenda kupambana na mazombie Somalia? Hizo ni ndoto za mchana.

Tafuta taarifa za mabomu ya Mbagalla, yaani hiyo siku kila Mtanzania aliyeko Dar alifuata njia ya kwao, sasa sijui Wazaramo walielekea upande gani.
Yaani hawa waoga sana, waombe tuendelee kuwakingia kifua kwa hili la alshabaab.
 
Naona kuna vimburu wawili wapo wanajifurahisha maana huko Somalia wanajeshi wao wanachinjwa kama kuku

Rest in peace wanafunzi wa garisa mmekufa mkiwa na ndoto nyingi kwa sababu ya upumbavu wa wanasiasa wa Kenya
 
Nasikia kuna siku milipuko na risasi zilitanda Dar, usiku. Wanaume na midevu yao wakaanza kukimbia usiku wa manane wakielekea mikoani, wakiwa wamevalia chupi tu. 😀 Cc. MK254. Sasa mnategemea nini kutoka kwa jeshi lao? Jirani zetu ni waoga kupindukia. Eti mnangoja wajiunge na vikosi ambavyo vinaenda kupambana na mazombie Somalia? Hizo ni ndoto za mchana!
Kumbe umesikia
 
Tafuta taarifa za mabomu ya Mbagalla, yaani hiyo siku kila Mtanzania aliyeko Dar alifuata njia ya kwao, sasa sijui Wazaramo walielekea upande gani.
Yaani hawa waoga sana, waombe tuendelee kuwakingia kifua kwa hili la alshabaab.
Endeleeni kujifariji
 
Hahaaaa!!huwez pafananisha na kibera kwel...tatizo middle class areas za kenya haziko hivo...sasa sijui huo ni umaskini au ni kurundikana mjini bila sababu..halafu ujue kibera ni ardhi ya serikali..anytime jamaa watatolewa km kutatakiwa kufanyike mradi mkubwa wa maana nchini...tatizo hapo kwenu watu ni majumba yao wanayoyamiliki..tena anasema anakaa mjini lkn mtaa anaoishi ni sawa na kuwepo kijijini tu...

Yani kupabadilisha ni ngumu sana..labda ccm watumie nguvu kuyavunja makaazi ya hao jamaa
Bahati mbaya hiyo ni unplanned town sio slums.
Huwez pafananisha hapo na kibera
 
Halafu nikuulize...hzo ni estates lkn n vile ziko unplanned...unamaanisha zikipangwa poa tutaona massions na flats za maana hapo..
Mbna ndugu unataka kujitoa ufahamu
Bahati mbaya hiyo ni unplanned town sio slums.
Huwez pafananisha hapo na kibera
 
Back
Top Bottom