Why is the IQ of Ashkenazi Jews so High?

Status
Not open for further replies.

Baba ------,Mama Mmachame unatemea nini hapo.....
 
Mbona umem cc khataan ?unakitu unakitafuta ,shauri yako
 
Sasa lipi ni taifa teule la shetani? tusianze kuuziana chai sasa humu!

mkuu,hata mimi kwa elimu yangu ya kidarasa la saba,i would have asked the same qstn.
lipi ni taifa la shetani?
 
Jaribu pia kusoma namna/style au tamaduni yao ya kula wana amini sana katika vyakula kukuza IQ na ku retain kumbukumbu kwa muda mrefu.

mambo ya kula unga wa nafaka isiyo kobolewa (dona)?.
 
Hata Qur-ani inasema hivyo.....wayahudi ni watu waliopewa kaili kuliko watu wote......
 
Mbona umem cc khataan ?unakitu unakitafuta ,shauri yako

hapana mkuu,wala sina shari naye.
nime m-tag porposely mkuu kahtaan ktk bandiko hili baada ya kugundua,kuna wakati (hasa pale anapoweka pembeni itikadi kali ya dini yake) huchangia post zenye "ilim nzuri tu.
jaribu kumsoma ktk mabandiko yanayohusu wanaomini uwepo wa mungu vs wasioamini,hakika utajua huyu jamaa ana "ilm" ya kutosha ila tu itakadi kali ya kidini ndiyo inayo muharibu.tuendelee kusubiri kwa hamu mtizamo wake kuhusu hao ashkenazi jews.labda kama ataghairi kuchepuka huku kwa kumuhofia mtani wake wa jadi mkuu Schiendler .lol
 
Last edited by a moderator:


kuumbe :A S 13:
 

mkuu nimekuelewa vizuri sana ktk post yako hii.
ila,kama sifa ya high IQ and smartness among ashkenazi jews is nothing but too much of exaggerations,tushawishi tuamini kuwa nadharia mbalimbali za mwanafizikia mashuhuri duniani albert einstein, zilikuwa fake.
kwamba nobel prize in physic aliyozawadiwa mwaka 1921,alizawadiwa tu kiubwete,hakustahili.

kwamba nobel prize in chemistry aliyozawadiwa prof. arieh warshel mwaka 2013,alizawadiwa tu kwa kuwa yeye ni myahudi.

kwamba quantum computing system iliyokuwa pioneered na david deutsch ni bla bla bla.
orodha ni ndefu.......nitarudi.
 

Umenena ukweli kabisa YouTube. Ni kama walivyo Wachaga Tanzania. Wanamanipulate kila kitu kujifavor kila mahala. Wakikuta mtu wa kabila fulani anashirikiana na mtu wa kabila lake wanapanda juu ya kichuguu na kuanza kupigia mayowe ukabila huku maofisini wakiajiriana wao kwa wao kwa mbinu chafu ile mbaya. Mimi niliwahi kuwauliza vipi mbona wamekuwa wengi kukithiri kila mahali? Jibu walilotoa wao lilikuwa hilo hilo : "Wamesoma sana na wana akili". nyingi sana.

Takwimu juzi wametoka na kile ambacho ni mojawapo ya mbinu hatari sana ambazo wenzetu wamakuwa wakizitumia kuhujumu makabila mengine. Takwimu za sensa ya hivi karibuni zimeonyesha kuwa mikoa ya kilimanjaro ndiyo yenye wazee wengi sana. Ukichungulia ndani utakuta hao wazee waliwahi kufanya kazi na Wanyakyusa akina Tuntufye na akina Mwafisi. Lakini sasa hivi ukienda kwenye ofisi zile zile hakuna mnyakyusa wala msukuma, ni Arusha, Kilimanjaro, Singida na Tanga. Kuna mchezo mchafu wa kulishana hata sumu na takataka zinazoharibu afya uliokuwa ukiendelea kwa muda mrefu sana.

Mfano mzuri ni mvinyo ya Burudani na Gin ya Kiroba. Zote zinatengenezwa Arusha lakini Wachaga hawanywi, wanajua ni tikiti ya kuingia kaburini kwa muda mfupi sana. Kwa hiyo wenzetu wana hata Industria products wanazozizalisha kwa lengo lile la kupunguza waleeeeeee.

Ukienda ulaya maprofesa wafrika wengi ni Wachaga kwa sababu hiyo hiyo. Wanaintercept research za watu na kuwafukuza wahusika halafu wao wanakwenda kutafuta midigrii kutumia research hizo hizo.

Ashkenaz Jews ndiyo mbinu zao pia, ni aina ya ukabila hatari sana wenye siri zisizovujishwa kwa watu wa makabila mengine.
 

mkuu acha chuki kwa wachaga.
 

All of that above is a park of lies!
The researchers above and the colleges and universities you have mentioned ARE ALL UNDER JEWS INFLUENCE!
They are NOTHING BUT A BUNCH OF inbread liars!

The so called "The chosen nation are nothing but full of gays and rats who plan and plot to kill the mass, at the same time tried to brainwash people.

Those are the rotten creature's ever lived on this planet!

The have NO honour nor manners!
But full of mass murderers! And it is the ONLY NATION WITHOUT A GENUINE FRIEND.

If the jews were that intelligence, then hitler must be their professor.
 
Last edited by a moderator:
Ndio maana Wachagga kuoa au kuolewa na Chasaka unadharaulika sana.....
 
Jews ni Taifa teule la Mungu, ndio mana wako on top of the world. So, no wonder wana IQ kubwa. Hayo maelezo mengine ni science tu..

Akili hizi jamani umeziacha wapi......Wewe ni taifa la shetani..??? Ipo siku myaudi atakuja kukuharishia kisha wewe utachekelea kuwa umepata baraka....

Wacha kujitoa ufahamu.
 
IQ can be heightened by nurturing, it is not something entirely natural.

The Jews in general, more so high caste Jews (Ashkenazi?) along with some high caste Indians (Brahmins) are "a people of the book" , deeply steeped in their liturgical traditions which puts a high premium in being studious and reciting scriptures.

I wouldn't be surprised if, as a group, they emerge with a higher ability to detect patterns in a closed system, which is really what IQ is all about.

I bet the pygmies in the Congo rainforest have a higher IQ when it comes to navigate thick tropical rainforests and surviving there.

It's all due to repeated conditioned practice. Malcolm Gladwell talks a lot about the 10,000 hour rule. If you are just an average person and you devote 10,000 hours to perfect something, most likely you will be able to perfect it.

During the life of an Askenazi Jew, way more than 10, 000 hours are devoted to Talmudic recitation and genealogy as well as splitting hairs about the history of Jewry, the Judeo-Christian cosmogony and pedagogical canons rooted in Leviticus.

They also have the history of being prosecuted as underdogs dating back centuries before Kristallnacht.

Kwa zaidi tafuta kitabu kinaitwa " From Chance to Choice: Genetics and Choice"
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…