Why is the IQ of Ashkenazi Jews so High?

Why is the IQ of Ashkenazi Jews so High?

Status
Not open for further replies.
Akili hizi jamani umeziacha wapi......Wewe ni taifa la shetani..??? Ipo siku myaudi atakuja kukuharishia kisha wewe utachekelea kuwa umepata baraka....

Wacha kujitoa ufahamu.[/QUOTE



acha kuropoka mkuu. unajua maana ya kitu/mtu/taifa kuwa teule? katafute maana yake ndio uje hapa kubwabwaja.

Taifa la Israel Mungu kalitumia kama pilot State ilikufikisha wokovu kwa Wanadamu....Hata wewe unapotaka kufanya research ya kitu fualani lazima uchukue reperesentative watakao/kitakacho wakilisha the majority of the population..

Hivyo kusidio la Mungu ni wokovu kwa watu wote...kila Taifa ni teule...

Sasa sijui wewe unataka kunipa maana gani.....

Taifa langu Tanganyika hakika ni Teule na mimipia ni mteule jaokuwa nipo safari, nakaza wmendo kuufikia uteule kamil a.k.a wokovu..
 
mkuu,
pia kuna watu waliojikita ktk theory za mambo ya kidini na kiroho, wanadai kizazi cha watu kama akina albert einstein kilitokana na majini (wanafeli) kuzaana na binadamu na hatimaye kutoa species ya wanaadamu wenye IQ ya juu na akili kubwa iliyo wawezesha kuvumbua mambo mengi hapa duniani.je unasemaje ktk hilo?.
pia unasemaje kuhusu hili la intermarriage kati ya kabila tofauti au ethinic moja na nyingine.inachangia/imechangia kudumaza uwezo wa akili wa jimii hizo.?

Mkuu,

MUNGU ameumba watu wenye IQ tofauti katika kila jamii, hata hivyo kuna jamii ambazo ziko juu zaidi. Hakuna habari ya majini wala mashetani, watu wa Mungu ndio wenye IQ kubwa.
Kuna uwezekano wa kuinua kiwango cha IQ kwenye jamii kwa upgrading by cross breeding!
Kama wewe unajijua ukoo wenu una IQ ndogo unatakiwa au mnatakiwa kutafuta wake au waume katika koo zenye IQ kubwa.
Ni muhimu kufundisha watoto wetu mambo haya, vinginevyo mkienda hovyo hovyo mnaweza kujikuta jamii yote imekuwa downgraded mpaka wawaze kama panzi!
 
mkuu nimekuelewa vizuri sana ktk post yako hii.
ila,kama sifa ya high IQ and smartness among ashkenazi jews is nothing but too much of exaggerations,tushawishi tuamini kuwa nadharia mbalimbali za mwanafizikia mashuhuri duniani albert einstein, zilikuwa fake.
kwamba nobel prize in physic aliyozawadiwa mwaka 1921,alizawadiwa tu kiubwete,hakustahili.

kwamba nobel prize in chemistry aliyozawadiwa prof. arieh warshel mwaka 2013,alizawadiwa tu kwa kuwa yeye ni myahudi.

kwamba quantum computing system iliyokuwa pioneered na david deutsch ni bla bla bla.
orodha ni ndefu.......nitarudi.

mkuu unasema umenielewa lakini naona hujanielewa kitu, nilichomaanisha askenazi jews wao ni magwiji wa kutunga uwongo wowote au kuzusha lolote kwa ajili ya faida zao. mfano;- hivi unafahamu holocust haikuwahi kutokea? Lakini ni faida nyingi zimewapa kwa kutunga uwongo huo uliodumu na kuaminishwa sana(usiniulize ni faida gani).

Hivyo basi hata hiyo kusema kwamba ashkenazi jews wana akili sana ni uwongo unaopikwa na wao kwa manufaa ya kukuteka akili wewe, angalia sana na wamefanikiwa umekuwa zuzu then ukimeet with any jews you will bow toward them. Hizo article na hizo googling kwamba wao wana akili sana ni wao ndio wameandika!

Niliposema leo shinda noble prize ya sayansi watakuchimba na kukusingizia wewe ni jew hukunielewa. Nilichomaanisha Albert Eistein wala hakuwa jew, Barack Obama wala sio jew . Eistein alishinda kwa uwezo wake wa akili na hakupewa Noble prize sio sababu ni jew, ila ni kwamba alipofanikiwa kwenye sayansi wakamchimba na kusema naye ni jew ila tu hajafuatilia vizazi vyake. Je, obama walisema ana asili ya jews kabla hajaupata urais au baada ya kuupata?
 
First off, genes za intelligence ni zipi?

In addition, actually in breeding causes all sorts of medical conditions, including mental, due to lack of diversity in the gene pool.

get the fact in english that shud be IQ genes

so ni hizo hizo unazojua wewe

lack of diversity in the gene pool

rudi kwa mtoa mada
'Approximately 80% of the Jews
in the world today are Ashkenazim, with
the remainder primarily Sephardic.'

hyo inaonesha outbreeding occured
hivo there were some kind of variation
 
get the fact in english that shud be IQ genes

so ni hizo hizo unazojua wewe

lack of diversity in the gene pool

rudi kwa mtoa mada
'Approximately 80% of the Jews
in the world today are Ashkenazim, with
the remainder primarily Sephardic.'

hyo inaonesha outbreeding occured
hivo there were some kind of variation

Hujaniambia bado genes za intelligence ni zipi, unasema hizo hizo ninazozijua mimi wakati mimi sizijui nakuuliza wewe. Nitajie genes x, y, z ndiyo za intelligence.

Halafu umezunguka suala la inbreeding.

Mtu yeyote mwenye uelewa mdogo tu wa biology ataelewa inbreeding inasababisha matatizo kibao ya afya, ukiwamo utaahira na matatizo kibao katika mental health.

Inbreeding ina converge towards a lower immunity strength and mental retardation.

Sasa iweje leo inbreeding ilete intelligence kuliko undondocha?

Soma hapa

"Amish inbreeding causes genetic mutation and mental retardation"

http://m.ibtimes.co.uk/amish-gene-mutation-mental-retardation-developmental-delay-445578
 
Your take yako ni mbovu sijui kama unajua GENETICS na VARIATION ipasavyo
 
ok,kwa hiyo kwa akina sie ambao baba mchaga mama muhaya,mama msukuma baba mmakonde,baba mpemba mama mnyakyusa and Vice- versa ,tuna IQ ndogo?!.

haijalishi babako kabila gani

swala ni flow of IQ genes

kama baba mhaya super IQ aka pick mama mkurya naye super IQ
mtoto ni likely kuwa super IQ unless kuwe error in DNA replication(so rare)
 
mkuu acha chuki kwa wachaga.

Siyo chuki. Nimeishi na wachaga marafiki kabisa mpaka umri huu lakini nikikuhesabia majaribio ya kuniua mimi binafsi utashangaa. Sikuwa na ugomvi na Dr. lakini nilipewa prescription ya hospitali ya UDSM wakati nakwenda likizo hivyo ikabidi nikazimalizia dozi nyumbani. Mchaga niliyemkuta alinipiga sindano yenye hewa ndani, Mungu bariki yeye na mimi tukasikia hewa inatoka nje psssss badala ya kuingia kwenye mshipa wa damu, nilihama na sikurudi. Kisa cha kutaka kuniua, nilikuwa nasoma Chuo Kikuu. Unataka nikupe ajali zingine anazopenda Mchaga?
 
mkuu acha chuki kwa wachaga.

Siyo chuki Mkuu, sasa hivi nimetoka kuuziwa bia yenye pilipili ndani yake na msichana barmaid kutoka huko huko. Kisa sikunywea bia yangu hapo hapo bar nikaichukua nyumbani. Yeye anaita ujanja wa kuuza biashara lakini ndiyo hatari yeyenyewe ya ugumu wa Ashkenazi. Lakini bia hiyo imechanganywa makusudi na vitu visivyojulikana kwa mlaji. Nimetamani kuipeleka polisi lakini huko pia kuna mchaga, kwa hiyo nimebaki katika mzunguko wa poverty wa DS: " I am poor because I am poor".

Kwa hiyo tabia ya mchaga na Ashkenazi ni hiyo ya kukosa honesty through and through hata kama maisha yako yako katika hatari ya kutoweka. Ukichunguza kesi ya Kanumba utakuta ilikuwa ya kuondoa an upstart aliyekuwa anadhani ana future.
 
Taifa la Israel Mungu kalitumia kama pilot State ilikufikisha wokovu kwa Wanadamu....Hata wewe unapotaka kufanya research ya kitu fualani lazima uchukue reperesentative watakao/kitakacho wakilisha the majority of the population..

Hivyo kusidio la Mungu ni wokovu kwa watu wote...kila Taifa ni teule...

Sasa sijui wewe unataka kunipa maana gani.....

Taifa langu Tanganyika hakika ni Teule na mimipia ni mteule jaokuwa nipo safari, nakaza wmendo kuufikia uteule kamil a.k.a wokovu..


naona umejipa jibu mwenyewe.
 
Mkuu,

MUNGU ameumba watu wenye IQ tofauti katika kila jamii, hata hivyo kuna jamii ambazo ziko juu zaidi. Hakuna habari ya majini wala mashetani, watu wa Mungu ndio wenye IQ kubwa.
Kuna uwezekano wa kuinua kiwango cha IQ kwenye jamii kwa upgrading by cross breeding!
Kama wewe unajijua ukoo wenu una IQ ndogo unatakiwa au mnatakiwa kutafuta wake au waume katika koo zenye IQ kubwa.
Ni muhimu kufundisha watoto wetu mambo haya, vinginevyo mkienda hovyo hovyo mnaweza kujikuta jamii yote imekuwa downgraded mpaka wawaze kama panzi!

safi sana mkuu.hii imekaa njema.
 
Your take yako ni mbovu sijui kama unajua GENETICS na VARIATION ipasavyo

mkuu nisamehe bure kwa hiyo "take".ndio upeo wangu wa kidarasa la saba ulipoishia.

haya dondosha darsa malidhawa kuhusu hiyo GENETICS na VARIATION.
 
Siyo chuki. Nimeishi na wachaga marafiki kabisa mpaka umri huu lakini nikikuhesabia majaribio ya kuniua mimi binafsi utashangaa. Sikuwa na ugomvi na Dr. lakini nilipewa prescription ya hospitali ya UDSM wakati nakwenda likizo hivyo ikabidi nikazimalizia dozi nyumbani. Mchaga niliyemkuta alinipiga sindano yenye hewa ndani, Mungu bariki yeye na mimi tukasikia hewa inatoka nje psssss badala ya kuingia kwenye mshipa wa damu, nilihama na sikurudi. Kisa cha kutaka kuniua, nilikuwa nasoma Chuo Kikuu. Unataka nikupe ajali zingine anazopenda Mchaga?

duh!,your case is very sensitive.pole kwa yote yaliyo kukumba.
 
Your take yako ni mbovu sijui kama unajua GENETICS na VARIATION ipasavyo

Asante mkuu.

Yaani maneno hayo mawili uliyoya capitalize kwa mtu anayeelewa biology yanamaliza mjadala.

Hata kama uondoe maneno mengine yote kwenye post yako.

Uandike tu "GENETICS, VARIATION". Ushavunjavunja hoja ya upande wa pili.

Yaani hii principle ya diversity iko so deep kiasi kwamba hata ukiondoka katika biology, ukienda kwenye Chemistry huko, utakuta kwamba watu wameweza kupata stronger and more efficient materials kwa kutumia alloys, which is basically mixing metals with foreign elements in order to strengthen the product.

Halafu unakuta mtu anatetea genetic interbreeding kwamba ndiyo source ya intelligence.

Interbreeding, if anything, is the cause of autism and mental health problems.

Of course the other way to look at this is that interbreeding is the source of autism and mental health problems, the Jews interbred, they ended up with mental health problems (kuna accounts kibao, mojawapo ikiwa ya mama mfagizi wa Einstein aliyekuwa anasema kwamba Einstein alikuwa na kichaa) and the mental health problems were advantageous in certain intellectual pursuits.

If you watch the American comedy show "The Big Bang Theory" and know a thing or two about autism you would agree that Sheldon, the protagonist, is exhibiting almost every sign of being in the autism spectrum (lack of social skills, fixation with perfection, superiority complex etc). But he is also a brilliant physicist not only despite of being in the autism spectrum, but maybe because of it.

Ukisoma historia ya mtu kama Einstein, on top of huo utamaduni wa kusoma uliofanya mjomba wake ampe kitabu kilichomfanya afikirie what is it like to travel at the speed of light, yeye mwenyewe alikuwa na a vivid imagination and a horrible sense of coordination/

Kwa hiyo there is a case to be made that inawezekana hawa watu wame interbreed, wakapata undondocha wa ku focus kwenye kitu kimoja tu, wakauchanganya na utamaduni wao wa kusoma, wakatokea kama wana advantage dspite the interbreeding.

Which would validate those who say interbreeding can promote "intelligence".

But at this point, this is a conjecture that needs more studies and some solid hair splitting.

Someone said the true mark of intelligence is the ability to entertain two opposing positions at the same time.

I think I have done just that.
 
duh!,your case is very sensitive.pole kwa yote yaliyo kukumba.

Asante lakini usinipe pole mimi kwa sababu hitilafu niliyosurvive ni ya kiufundi, wengi sana hawakusurvive majaribio kama haya. Watu wengi sana hawajawajua hivyo wanadhani wanapata madhara ya Natural Causes, na hii Mchaga anapenda sana. AMEFIKIA HATUA YA KUJIGAMA KWA KUITA WATU GUEANEA PIGS kwa jinsi anavyoweka sumu zake na kuzijaribia katika maisha ya unwary people.

Wachaga wamejipanga vilivyo katika uhuni huo wa kiAshkenaz! Kwa kuanzia tu mashine za unga wa mahindi wote Manzese robo tatu zinamilikiwa na Wachaga, wengi sana walikuwa na connection na UDSM. Ukitaka kuthibitisha nenda kanunue unga wa mifuko portable kama kilo 5, utakuta kuna sumu ya kuwekwa makusudi kila mfuko. Hata mifuko ya kilo 10 mpaka 50 pia ina sumu ya kuwekwa makusudi, ila hii mikubwa imewekwa sumu kidogo kwa sababu inanunuliwa na wauzaji wa rejareja.

Ni kesi ya genocide ambayo waTz wakiijua katika upeo wake nadhani tutapata maafa.
 
Asante lakini usinipe pole mimi kwa sababu hitilafu niliyosurvive ni ya kiufundi, wengi sana hawakusurvive majaribio kama haya. Watu wengi sana hawajawajua hivyo wanadhani wanapata madhara ya Natural Causes, na hii Mchaga anapenda sana. AMEFIKIA HATUA YA KUJIGAMA KWA KUITA WATU GUEANEA PIGS kwa jinsi anavyoweka sumu zake na kuzijaribia katika maisha ya unwary people.

Wachaga wamejipanga vilivyo katika uhuni huo wa kiAshkenaz! Kwa kuanzia tu mashine za unga wa mahindi wote Manzese robo tatu zinamilikiwa na Wachaga, wengi sana walikuwa na connection na UDSM. Ukitaka kuthibitisha nenda kanunue unga wa mifuko portable kama kilo 5, utakuta kuna sumu ya kuwekwa makusudi kila mfuko. Hata mifuko ya kilo 10 mpaka 50 pia ina sumu ya kuwekwa makusudi, ila hii mikubwa imewekwa sumu kidogo kwa sababu inanunuliwa na wauzaji wa rejareja.

Ni kesi ya genocide ambayo waTz wakiijua katika upeo wake nadhani tutapata maafa.

mmh! napata mashaka na uraia wako.hivi wewe ni mtz kweli.?.au umetumwa toka ile nchi jirani uje kutugawa.?.
hayo unayo andika hapo kuhusu wachaga,kwangu/kwetu sisi yote mageni.
 
Asante mkuu.

Yaani maneno hayo mawili uliyoya capitalize kwa mtu anayeelewa biology yanamaliza mjadala.

Hata kama uondoe maneno mengine yote kwenye post yako.

Uandike tu "GENETICS, VARIATION". Ushavunjavunja hoja ya upande wa pili.

Yaani hii principle ya diversity iko so deep kiasi kwamba hata ukiondoka katika biology, ukienda kwenye Chemistry huko, utakuta kwamba watu wameweza kupata stronger and more efficient materials kwa kutumia alloys, which is basically mixing metals with foreign elements in order to strengthen the product.

Halafu unakuta mtu anatetea genetic interbreeding kwamba ndiyo source ya intelligence.

Interbreeding, if anything, is the cause of autism and mental health problems.

Of course the other way to look at this is that interbreeding is the source of autism and mental health problems, the Jews interbred, they ended up with mental health problems (kuna accounts kibao, mojawapo ikiwa ya mama mfagizi wa Einstein aliyekuwa anasema kwamba Einstein alikuwa na kichaa) and the mental health problems were advantageous in certain intellectual pursuits.

If you watch the American comedy show "The Big Bang Theory" and know a thing or two about autism you would agree that Sheldon, the protagonist, is exhibiting almost every sign of being in the autism spectrum (lack of social skills, fixation with perfection, superiority complex etc). But he is also a brilliant physicist not only despite of being in the autism spectrum, but maybe because of it.

Ukisoma historia ya mtu kama Einstein, on top of huo utamaduni wa kusoma uliofanya mjomba wake ampe kitabu kilichomfanya afikirie what is it like to travel at the speed of light, yeye mwenyewe alikuwa na a vivid imagination and a horrible sense of coordination/

Kwa hiyo there is a case to be made that inawezekana hawa watu wame interbreed, wakapata undondocha wa ku focus kwenye kitu kimoja tu, wakauchanganya na utamaduni wao wa kusoma, wakatokea kama wana advantage dspite the interbreeding.

Which would validate those who say interbreeding can promote "intelligence".

But at this point, this is a conjecture that needs more studies and some solid hair splitting.

Someone said the true mark of intelligence is the ability to entertain two opposing positions at the same time.

I think I have done just that.

swadakta mkuu nimekuelewa tena deep,IQ za watu isnt an issue ya few judgement details so far kuna factors as eraborated above
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom