Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kivipi??
Aisee baba paroko nakuja mwanza kutembea.
Nataka tuonane japo tupate damu ya yesu kidogo na bata!
Sasa hebu nirushie namba yako fasta!
😀:thumbup:
intermarriage inaweza kuwa sababu ya kupunguza intelligence
sabab
genes za intelligence zinakaa kwenye chromosome X
kama ilivosema
"and that 40% of them
are descended from only four Jewish
mothers."
let assume kuwa hao wa mama walikuwa na super IQ
genetics inasema watawapassia genes za intelligence kwa watoto wao wa kiume
then since there is no intermarriage hao watoto wa kiume probably wameoan na dada zao wata pass intelligence kwa watoto wao wa kike as per genetics
hao watoto wa kike ambao nao wana IQ kubwa kutoka kwa baba zao ambao baba zao walitoa kwa mama zao
since hakuna kuona na wengine hizo genes zitakuwa zinazunguka humo humo
intermarriage inaweza kuwa sababu ya kupunguza intelligence
sabab
genes za intelligence zinakaa kwenye chromosome X
kama ilivosema
"and that 40% of them
are descended from only four Jewish
mothers."
let assume kuwa hao wa mama walikuwa na super IQ
genetics inasema watawapassia genes za intelligence kwa watoto wao wa kiume
then since there is no intermarriage hao watoto wa kiume probably wameoan na dada zao wata pass intelligence kwa watoto wao wa kike as per genetics
hao watoto wa kike ambao nao wana IQ kubwa kutoka kwa baba zao ambao baba zao walitoa kwa mama zao
since hakuna kuona na wengine hizo genes zitakuwa zinazunguka humo humo
Hahahahaha Of Koooz.....bibi mwarabu..babu mrangi.... mama mrangi.. baba muhindi.......hahahahaha unategemea mtoto awe na IQ ngapi kama si below 30/ one other point....mtoto atakua na tabia za ajabu ajabu hamna mfano....ndo maana tanzania kuna vituko hamna mfano duniani/ makabila 120 !!! imagine.
Palestina
Hahahahaaaa
We maamuma una khatari sana
Usijali ukija utanikuta na bi mmoja hivi mmoja hivi nakula bata
Kwani si utafurahi?
Tena huyu hapa .....
![]()
Haaha kweli lakini.. we angalia Watanzania wa enzi za mkoloni uwezo wao na wasomi wazamani na viongozi mashuhuri wa zamani walivyokuwa, enzi zile walikuwa hawachanganikani angalia div 5 za sikuiz sasa mambo haya haya Mhaya kutoka Karagwe ana zaa na Mmakonde wa Nanyumbu.
Hahaaaaa nimecheka sana, huyu jamaa anayejiita kahtaan ni shida. Amenifurahisha sana kwa hizi sarakasi
mkuu hivi hujabaini tu kuwa kizazi cha wtz waliolifikisha taifa hapa lilipo ktk hali hii mbaya ya umasikini ni kile kilicho zaliwa kabla ya uhuru?.wakati huo haya mambo ya mtu toka mtwara kwenda kuoa/kuanzisha familia na mwanamke toka mwanza haya kuwepo.kwa ujumla viongozi wote walioliongoza taifa hili,ni uzao wa baba na mama toka ktk kabila moja.nashangaa inakuwaje wanakuwa na IQ ya ki div 5.
mathalan angalia vizee visomi vya zamani na vipiga debe vya ccm vinavyotetea upuuzi wa ccm na katiba yenye muungano wa serikali 2.
MUHAMMAD WAS A TORTURERhapana mkuu,wala sina shari naye.
nime m-tag porposely mkuu kahtaan ktk bandiko hili baada ya kugundua,kuna wakati (hasa pale anapoweka pembeni itikadi kali ya dini yake) huchangia post zenye "ilim nzuri tu.
jaribu kumsoma ktk mabandiko yanayohusu wanaomini uwepo wa mungu vs wasioamini,hakika utajua huyu jamaa ana "ilm" ya kutosha ila tu itakadi kali ya kidini ndiyo inayo muharibu.tuendelee kusubiri kwa hamu mtizamo wake kuhusu hao ashkenazi jews.labda kama ataghairi kuchepuka huku kwa kumuhofia mtani wake wa jadi mkuu Schiendler .lol
mkuu,
pia kuna watu waliojikita ktk theory za mambo ya kidini na kiroho, wanadai kizazi cha watu kama akina albert einstein kilitokana na majini (wanafeli) kuzaana na binadamu na hatimaye kutoa species ya wanaadamu wenye IQ ya juu na akili kubwa iliyo wawezesha kuvumbua mambo mengi hapa duniani.je unasemaje ktk hilo?.
pia unasemaje kuhusu hili la intermarriage kati ya kabila tofauti au ethinic moja na nyingine.inachangia/imechangia kudumaza uwezo wa akili wa jimii hizo.?
Men Horribly Tortured by Prophet MuhammadGays are not good!
Except for Jesus (who hung out with 12 guys and never said anything bad about homosexuality), who said that you can increase your chances of being raptured by being gay. (So pray to be gay!)
In the last days ... men shall be ... without natural affection ... lead captive silly women laden with sins, led away with divers lusts, ... ever learning.-2 Timothy 3:1-7
Teh teh teh!
Gays are us! Haleluyah