Why Kenya may have got short end of the stick in SGR locomotives deal

Why Kenya may have got short end of the stick in SGR locomotives deal

distance from dar es salaam to kapiri rail distance is 1860km and not 1400 further there is borderpost at Tunduma which increses further delay that is why it takes 48hrs but without any border stoppage it normally takes 25hr that is Tazara SGR built from 1970 to 1975 and is far better than kenyas.
You my friend are an idiot ....please do your research .
Usilete upumbafu hapa .Tazara is not an SGR ..kama ni SGR mbona mnajenga ingine .You think we are stupid !!!
 
Ati Tazara ....Tanzanians ....cant you wait hadi SGR yenyu ijengwe then muanze ku compare na kenyan SGR ...hapa tazara msitaje
 
Nliwaambia kupingana na hawa ma retard wa South juu ya Factual issue utajipata uko depressed juu wamejaza ujinga tu toka comment ya kwanza mpaka ya mwisho....that is why nimelenga kuingia hzo ma comparison zao zote wanazo ziskuma hapa Hata ku view sitaki....simple ...ingia Youtube utafute Kanda ya Africa ambayo Ina viewers wengi kutoka Europa na America soma Comments Za hyo Kanda alafu ingia JF .....Cake walk!!
This Tanzania Hateful comments will feel like Compliments my friend
 
Nliwaambia kupingana na hawa ma retard wa South juu ya Factual issue utajipata uko depressed juu wamejaza ujinga tu toka comment ya kwanza mpaka ya mwisho....that is why nimelenga kuingia hzo ma comparison zao zote wanazo ziskuma hapa Hata ku view sitaki....simple ...ingia Youtube utafute Kanda ya Africa ambayo Ina viewers wengi kutoka Europa na America soma Comments Za hyo Kanda alafu ingia JF .....Cake walk!!
This Tanzania Hateful comments will feel like Compliments my friend

Hawa watu wasikuumize kichwa, hata utafiti umebaini ni wanafiki kupitiliza. Hebu soma hii hapa

According to a paper published in Nature, British people were the most honest just ahead of Swedes, Germans, Lithuanians and Italians. The least honest people – according to this test -- were from Tanzania, Morocco, China, Vietnam and Colombia.
Study reveals the most - and least - honest people in the world
 
Hata kama ni ku compare bana cant they bring something true .Huu ni utoto sasa.This are the guys destroying JF ...with stupid comparisons. hata akili ya kutumia google kutafuta info hawana !!!
 
Hawa watu wasikuumize kichwa, hata utafiti umebaini ni wanafiki kupitiliza. Hebu soma hii hapa

According to a paper published in Nature, British people were the most honest just ahead of Swedes, Germans, Lithuanians and Italians. The least honest people – according to this test -- were from Tanzania, Morocco, China, Vietnam and Colombia.
Study reveals the most - and least - honest people in the world

Colonial master watasemaje wakenya ni wanafiki wakati mnawapa kila kitu wanachotaka, land, military base, lugha yao ndio lugha yenu ya taifa, watawasemaje vibaya?
 
Im glad wakenya ndio mmeanza kupata hii mitumba ya treni kabla yetu sisi, ingekuwa ni sisi ndio tumepata kwanza, mgepuliza vuvuzela mpaka jua lisitoke asubuhi.
 
Im glad wakenya ndio mmeanza kupata hii mitumba ya treni kabla yetu sisi, ingekuwa ni sisi ndio tumepata kwanza, mgepuliza vuvuzela mpaka jua lisitoke asubuhi.
Not really no one in this section give a flying https://jamii.app/JFUserGuide about Tanzanian news .....we keep it Kenyan ...so no one will care...Hatukujali juu ya BRT zenu mkaamua kuanzisha Ma Thread za BRT kenya news juu mliona Hatujali ....kaeni huko
 
How can you compare a 40 years old railway line with the one of 2016, juzi minister wa chini was intown, ameshaweka sign to take over tazara and rebuild it au hujaona hiyo.
But it was Annael who started the whole comparison thing, by claiming that the TAZARA trains move at a speed of upto 120km/h!
I was calling her out on her mistake.
 
distance from dar es salaam to kapiri rail distance is 1860km and not 1400 further there is borderpost at Tunduma which increses further delay that is why it takes 48hrs but without any border stoppage it normally takes 25hr that is
Fine, it is around 1700-1850km, the distance between Kapiri and Dsm. But that does not in anyway counter my assertion that at that max speed of 120km/h, Tazara trains should therefore be able to complete that journey wthin just a day, within around 15hrs. Putting into account those factors that slow down the pace of the travel into account however- and indeed they are inevitable- we can then add some 5 or 10 hours to the journey, let's say 25hrs.
But the journey takes two days. Read here.
This cannot entirely be blamed solely on the already mentioned factors, there has to be more contributing to the slow pace of the journey, and that has to be the speed of the trains!

I believe there are some occassions when it'd take even more than three days, say engine breakdown. I can only imagine getting stuck in the middle of nowhere; enduring the heat, the cold, the wetness, the dust, the darkness, the animals infested forest........what can be more agonizing than that? Not a journey for the faint hearted.
Tazara SGR built from 1970 to 1975 and is far better than kenyas.
1. Tazara is not a Standard Guage Railway, it is a Cape Gauge Railway, whilst the old Mombasa-Uganda railway in Kenya is a Narrow Guage Railway.
2. If the TAZARA is "far better", as u say than the Kenyan railroads, why then is it operating below its targeted annual cargo capacity of 20million tonnes? The highest it has ever notched up I gather, is only about 12miillion tonnes; and that was long time ago, at the dawn of the 80s.
Then it begun to dwindle drastically, losing nearly all its clientele in the Southern Africa to the ports in the now newly independent countries in that region, such as Luanda, Beira, Durban......etc. As of 2014 for example, it managed to handle less than 370,000 tons..........the amount of cargo and passengers that is.
Therefore, this tendency by u Tanzanians to brag to us Kenyans about that crippling TAZARA railway is pretty ludicrous!
 
Colonial master watasemaje wakenya ni wanafiki wakati mnawapa kila kitu wanachotaka, land, military base, lugha yao ndio lugha yenu ya taifa, watawasemaje vibaya?

Hayo ya unafiki hata Watanzania wenyewe wanajijua, hamna haja ya kuhangaika....

Ona huyu hapa chini mwenzenu kaamua kuwaanika mlivyo

=============================================
Watanzania ni walalamishi, wavivu, wanafiki na wapenda dezo. Mh Rais endelea kutunyoosha
Watanzania ni walalamishi, wavivu, wanafiki na wapenda dezo

Wito
Mh Rais Magufuli hapo uliposhika usilegeze endelea kukaza na kutunyoosha Watanzania ili tushike adabu ili kuondoa hulika ya ulalamishi, uvivu, uzembe upenda dezodezo na ufisadi.

Tukirejea Historia Watanzania hawana jema wala zuri ni watu wakulalamika tu na wavivu ndio maana nchii hii na Maskini si watu majasiri na wachapa kazi.

Hawahawa Watanzania wamemsema vibaya Baba wa Taifa na mpaka Tundu lissu ambaye leo ndio kiongozi wa kukupinga wewe alimkashifu Baba wa Taifa katika Bunge la Katiba na clip zipo lakini leo amegeuka na kumpamba Nyerere

Hawawa Watanzania walimtukana sana Rais Mstaafu Mzee Mwinyi na kumkejeli vya kutosha eti hakuwa na elimu ya uchumi bali alikuwa mzee wa Ruksa tu lakini leo wamegeuka na kumuona ni shujaa

Hawawa Watanzani walimlalamikia na kumfitini Mzee Mkapa eti ni Fisadi lakini alipoingia Kikwete tu Madarakani wakamkumbuka eti ni Mkombozi wa Uchumi wa TZ

Hawahawa Watanzania walimzomea, walimlalamikia na kumfitini sana Mzee Kikwete eti ni Fisadi, Dhaifu, hajui uongozi wakampachika majina ya Vasco dagama etc Kipindi cha Kikwete Watanzania hawahawa walidiriki kuomba Siku moja Tanzania ipate Rais Dikteta wakuinyoosha lakini eti leo Watanzania pamoja na kumsema sana JK wanamuona shujaa wao na wamemkumbuka.

Ukiangalia historia hii unagundua ni kiasi gani Watanzania wanakiwango kikubwa cha unafiki ulalamishi, uvivu, uzembe etc na dawa yake sasa ni kuondoa hizi tabia.

Mh Rais Magufuli nakuomba utuondolee hizi Tabia za unafiki, ulalamishi na uvivu Tunyooshe kwelikweli, tufundishe kusema kweli, nyoosha wavivu kwelikweli iliwarudi shamba, wapayukaji wabane kwelikweli mwisho wa siku Watanzania watajitambua na kubadili tabia na hapo Nchi yetu itapiga hatua mbele na kuingia uchumi wa kati wa viwanda.

Hatuwezi kufikia uchumi wa Kati wa Viwanda tukiwa na Watanzania legelege, wanafiki na wazembe wapenda dezo

Mwisho pamoja na kelele nyingi kupingwa huku na huku Watukikusema na kukulalamikia Mh Rais Ziba Masikio kabisa endelea Kubana, endelea kukaba endelea kunyoosha kwelikweli Watu Majasiri kama sisi tuka pamoja na wewe kwani tumetoka kwenye kampeni pamoja na tupo pamoja mpaka leo hii

Team Kunyoosha#Team Kubana#Team kukaba# Team Kutumbua na tutayafanya haya kweli kweli bila woga hata mseme vipi lazima mnyooshwe tu

Mh Magufuli wewe ni KAKA wa TAIFA Tunakutegemea sana kuturudisha kwenye mstari ili kutengeneza TANZANIA MPYA
Watanzania ni walalamishi, wavivu, wanafiki na wapenda dezo. Mh Rais endelea kutunyoosha
 
Im glad wakenya ndio mmeanza kupata hii mitumba ya treni kabla yetu sisi, ingekuwa ni sisi ndio tumepata kwanza, mgepuliza vuvuzela mpaka jua lisitoke asubuhi.

Mbona hatukuongea mliponunua mapangaboy yenu, wenyewe mlikuja kutututambia kwamba yataipiga chini KQ. Hakuna Mkenya huwaza mambo ya Tanzania, labda wachache ambao tunakuja huko kufanya biashara zetu. Nyie ndio kila uchao Kenya hiki Kenya kile..... Kila siku mnaongea jinsi mtaipita Kenya, tangu enzi za mababu zenu hadi vizazi vyz kesho, wimbo ni ule ule.
 
Colonial master watasemaje wakenya ni wanafiki wakati mnawapa kila kitu wanachotaka, land, military base, lugha yao ndio lugha yenu ya taifa, watawasemaje vibaya?
Stupid ...stupid....and an extreemely stupid comment.wewe hufikiria kweli ama kazi ni kuropokwa tu
 
Not really no one in this section give a flying **** about Tanzanian news .....we keep it Kenyan ...so no one will care...Hatukujali juu ya BRT zenu mkaamua kuanzisha Ma Thread za BRT kenya news juu mliona Hatujali ....kaeni huko
Some of us we're blessed with x-ray vision which enable us to see right through your heart. And your heart contradict with what your saying. Pole sana, usife na tai yako shingoni.
 
Stupid ...stupid....and an extreemely stupid comment.wewe hufikiria kweli ama kazi ni kuropokwa tu
Kuna uwongo hapo? Tell me kama Britain are not holding big chunk of land in Kenya, tell me if English is not one of your nation language, is there any British military base in Kenya. Britain has always has a soft spot when it comes to Kenya everone knows that.
 
Hayo ya unafiki hata Watanzania wenyewe wanajijua, hamna haja ya kuhangaika....

Ona huyu hapa chini mwenzenu kaamua kuwaanika mlivyo

=============================================
Watanzania ni walalamishi, wavivu, wanafiki na wapenda dezo. Mh Rais endelea kutunyoosha
Watanzania ni walalamishi, wavivu, wanafiki na wapenda dezo

Wito
Mh Rais Magufuli hapo uliposhika usilegeze endelea kukaza na kutunyoosha Watanzania ili tushike adabu ili kuondoa hulika ya ulalamishi, uvivu, uzembe upenda dezodezo na ufisadi.

Tukirejea Historia Watanzania hawana jema wala zuri ni watu wakulalamika tu na wavivu ndio maana nchii hii na Maskini si watu majasiri na wachapa kazi.

Hawahawa Watanzania wamemsema vibaya Baba wa Taifa na mpaka Tundu lissu ambaye leo ndio kiongozi wa kukupinga wewe alimkashifu Baba wa Taifa katika Bunge la Katiba na clip zipo lakini leo amegeuka na kumpamba Nyerere

Hawawa Watanzania walimtukana sana Rais Mstaafu Mzee Mwinyi na kumkejeli vya kutosha eti hakuwa na elimu ya uchumi bali alikuwa mzee wa Ruksa tu lakini leo wamegeuka na kumuona ni shujaa

Hawawa Watanzani walimlalamikia na kumfitini Mzee Mkapa eti ni Fisadi lakini alipoingia Kikwete tu Madarakani wakamkumbuka eti ni Mkombozi wa Uchumi wa TZ

Hawahawa Watanzania walimzomea, walimlalamikia na kumfitini sana Mzee Kikwete eti ni Fisadi, Dhaifu, hajui uongozi wakampachika majina ya Vasco dagama etc Kipindi cha Kikwete Watanzania hawahawa walidiriki kuomba Siku moja Tanzania ipate Rais Dikteta wakuinyoosha lakini eti leo Watanzania pamoja na kumsema sana JK wanamuona shujaa wao na wamemkumbuka.

Ukiangalia historia hii unagundua ni kiasi gani Watanzania wanakiwango kikubwa cha unafiki ulalamishi, uvivu, uzembe etc na dawa yake sasa ni kuondoa hizi tabia.

Mh Rais Magufuli nakuomba utuondolee hizi Tabia za unafiki, ulalamishi na uvivu Tunyooshe kwelikweli, tufundishe kusema kweli, nyoosha wavivu kwelikweli iliwarudi shamba, wapayukaji wabane kwelikweli mwisho wa siku Watanzania watajitambua na kubadili tabia na hapo Nchi yetu itapiga hatua mbele na kuingia uchumi wa kati wa viwanda.

Hatuwezi kufikia uchumi wa Kati wa Viwanda tukiwa na Watanzania legelege, wanafiki na wazembe wapenda dezo

Mwisho pamoja na kelele nyingi kupingwa huku na huku Watukikusema na kukulalamikia Mh Rais Ziba Masikio kabisa endelea Kubana, endelea kukaba endelea kunyoosha kwelikweli Watu Majasiri kama sisi tuka pamoja na wewe kwani tumetoka kwenye kampeni pamoja na tupo pamoja mpaka leo hii

Team Kunyoosha#Team Kubana#Team kukaba# Team Kutumbua na tutayafanya haya kweli kweli bila woga hata mseme vipi lazima mnyooshwe tu

Mh Magufuli wewe ni KAKA wa TAIFA Tunakutegemea sana kuturudisha kwenye mstari ili kutengeneza TANZANIA MPYA
Watanzania ni walalamishi, wavivu, wanafiki na wapenda dezo. Mh Rais endelea kutunyoosha
Yani this is so poor of you, unachukuwa maneno ya ushabiki wa kisiasa, ndio unasema watanzania wote wako hivyo. You of all people should know better hata huko Kenya leo hii nikichukuwa mtu wa ODM, unafikiri ataongeza mazuri kuhusu uhuru au waKenya wanao toa support kwa Jubilee? Or vice versa
 
Mbona hatukuongea mliponunua mapangaboy yenu, wenyewe mlikuja kutututambia kwamba yataipiga chini KQ. Hakuna Mkenya huwaza mambo ya Tanzania, labda wachache ambao tunakuja huko kufanya biashara zetu. Nyie ndio kila uchao Kenya hiki Kenya kile..... Kila siku mnaongea jinsi mtaipita Kenya, tangu enzi za mababu zenu hadi vizazi vyz kesho, wimbo ni ule ule.

Vickeko vingi vilianzishwa na waKenya kuhusu panga boy. Wala msikatae hilo, sio panga boy tuu, kili asubuhi waKenya mnakuja humu mnatusema kwamba nyinyi ndio mnajuwa kila kitu na mna vizuri kuliko sisi. Watu mpaka wanaweka uzi za Rwandan is doing better than Tanzania. Na wanaoweka ni kina nani kama sio waKenya?. Tunachotaka sisi ni biashara tuu, wala hatutaki kuona wanawake wa Kenya. Ni biashara mwanzo mpaka mwisho.
 
Back
Top Bottom