Why Kenya may have got short end of the stick in SGR locomotives deal

Why Kenya may have got short end of the stick in SGR locomotives deal

Vickeko vingi vilianzishwa na waKenya kuhusu panga boy. Wala msikatae hilo, sio panga boy tuu, kili asubuhi waKenya mnakuja humu mnatusema kwamba nyinyi ndio mnajuwa kila kitu na mna vizuri kuliko sisi. Watu mpaka wanaweka uzi za Rwandan is doing better than Tanzania. Na wanaoweka ni kina nani kama sio waKenya?. Tunachotaka sisi ni biashara tuu, wala hatutaki kuona wanawake wa Kenya. Ni biashara mwanzo mpaka mwisho.

Wakenya wachache wanakuja huku maana kuna sehemu imeandikwa 'Kenyan news', nyie ndio huwa mnatiririka kutwa mkiponda kila bandiko nzuri la Kenya. Sidhani na sijaona Mkenya anaponda mabandiko ya Tanzania kule kwa hoja mchanganyiko.
Halafu hilo la Rwanda, mkulu wenu ndiye kasema mwenyewe kwamba amefundishwa na Kagame jinsi ya kununua ndege na pia kaagiza wataalam wa Rwanda waje wawape darasa jinsi ya kukusanya mapato.
Soma hapa utajifunza kitu http://ippmedia.com/sw/habari/kagame-ampa-magufuli-ujanja-kununua-ndege-reli-mpya
 
Yani this is so poor of you, inachukuwa maneno ya ushabiki wa kisiasa, ndio unasema watanzania wote wako hivyo. You of all people should know better hata huko Kenya leo hii nikichukuwa mtu wa ODM, unafikiri ataongeza mazuri kuhusu uhuru au waKenya wanao toa support kwa Jubilee? Or vice versa
Utafiti wa kisayansii upo pia Ripoti: Asilimia 71 ya Watanzania hupoteza muda kufanya yasiyo na tija kwao wala Taifa - wavuti

Watanzania twaongoza kwa unafiki duniani...kwa mujibu wa utafiti wa kimataifa ~ Kulikoni Ughaibuni
 
Wakenya wachache wanakuja huku maana kuna sehemu imeandikwa 'Kenyan news', nyie ndio huwa mnatiririka kutwa mkiponda kila bandiko nzuri la Kenya. Sidhani na sijaona Mkenya anaponda mabandiko ya Tanzania kule kwa hoja mchanganyiko.
Halafu hilo la Rwanda, mkulu wenu ndiye kasema mwenyewe kwamba amefundishwa na Kagame jinsi ya kununua ndege na pia kaagiza wataalam wa Rwanda waje wawape darasa jinsi ya kukusanya mapato.
Soma hapa utajifunza kitu http://ippmedia.com/sw/habari/kagame-ampa-magufuli-ujanja-kununua-ndege-reli-mpya
Sasa si bora sisi tunakwenda kwa nchi jirani ya kiafrika, which i still believe it was one of his chumming jokes from our Mkulu. Lakini who knew Kenya of all the country in Africa will go up India and Cuba kuomba madaktari. 50 plus years of independence bado mnashindwa kuweka hii kitu sawa ? SMH halafu mnategemea Indian itawapa their brainy people, wakati wapoteza hela nyingi kuwasomesha na wao wanawahitaji. How silly mtu anapanda ndege mpaka Indian thinking ....yes, this is a good Idea.

India rejects Kenya call for doctors as more die over strike
 
Nadhani na wewe utaona jinsi pesa inavyo toa utu wa wakenya, masikini Kenya atabaki kuwa masikini tuu. One of elite society na wala sio uwongo. from politics to business to job market.

Doctors’ demands offer rare glimpse into Kenya’s labour market setbacks
 
Sasa si bora sisi tunakwenda kwa nchi jirani ya kiafrika, which i still believe it was one of his chumming jokes from our Mkulu. Lakini who knew Kenya of all the country in Africa will go up India and Cuba kuomba madaktari. 50 plus years of independence bado mnashindwa kuweka hii kitu sawa ? SMH halafu mnategemea Indian itawapa their brainy people, wakati wapoteza hela nyingi kuwasomesha na wao wanawahitaji. How silly mtu anapanda ndege mpaka Indian thinking ....yes, this is a good Idea.

India rejects Kenya call for doctors as more die over strike

Hivyo usiwadharau Rwanda tena.
 
Hivyo usiwadharau Rwanda tena.
Nani anadharau Rwandan, kuna taifa lilo jitolea kwa ustawi wa Rwandan kama Tanzania, Kagame amesomea wapi, amani yao ilitatuli wapi, wakimbizi wao wengi walienda wapi? As far as we concern, Rwanda are more loyal than Kenyans haha [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mgomo wa madaktari Bongo, mlimfanyia kituko Ulimboka hadi akabaki kimya siku zote. Wataalam hawana pakutolea sauti kwenu.
Anyway back to the topic, wacha kukwepa kautafiti kale kenu.
Haha, kama kawaida wakenya if you're not winning utapindisha topic, issue ya madokta unaikimbia. Anyway mimi naiona tafiti moja tuu ya 71% lakini hiyo nyingine ni ya kutunga tuu na washabiki wa kisiasa.

71% Kwetu tunewaweka kwenye kundi informal sector. Let see majirani mnafanyaje kwenye hiyo sector

Kenya has highest informal jobs in Africa
 
Haha, kama kawaida wakenya if you're not winning utapindisha topic, issue ya madokta unaikimbia. Anyway mimi naiona tafiti moja tuu ya 71% lakini hiyo nyingine ni ya kutunga tuu na washabiki wa kisiasa.

71% Kwetu tunewaweka kwenye kundi informal sector. Let see majirani mnafanyaje kwenye hiyo sector

Kenya has highest informal jobs in Africa

Hamna sehemu nimepindisha, wewe umeleta mambo ya mgomo wa madaktari Kenya, huku ukichekea chekea. Nikakujibu kwenu wataalam walishapigwa kimya, hawana pakutolea sauti. Daktari Ulimboka alithubutu yakamkuta.
 
Nani anadharau Rwandan, kuna taifa lilo jitolea kwa ustawi wa Rwandan kama Tanzania, Kagame amesomea wapi, amani yao ilitatuli wapi, wakimbizi wao wengi walienda wapi? As far as we concern, Rwanda are more loyal than Kenyans haha [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Wapi... mumeishi kumchokonoa huyo Kagame kila siku. Bora Magu juzi ndio amekubali yaishe na kumtembelea na kuomba ushauri jinsi ya kuwanyoosha Watanzania ili waisome namba.
 
Nazifahamu taarifa za huyo Mhindi jinsi aliwatafuna, ila nimesoma hotuba ya Zitto Kabwe, yaani bado kumbe mnalipia hela nyingi sana kwa ajili ya TANESCO. Sasa sielewi ni majipu yapi mnayoyatumbua kama hayo makubwa mumeyafumbia macho.

Halafu hizi tumbua tumbua sijui mnatumia formula gani maana, mumempiga chini mkuu wa TANESCO kisa kaongeza tariff ya umeme ilhali hayo hayakua maamuzi yake binafsi. Kuna jamaa mwengine mlimpiga chini nikabaki kushangaa, anaitwa Tito, alikua mkurungezi wa RAHCO, huyo jamaa kaanzisha shughuli nzima ya SGR kwenye awamu ya muheshimiwa Kikwete.

Aliandika proposal yote na kufukuzia Wachina kila siku hadi ikawa deal. Leo hii naskia yupo jela, sijui ilikua vipi. Halafu pia naskia mradi huo mnataka kuwapa Waturuki, yaani Mchina atoe hela Mturuki anufaike na mradi. Sipati picha.

Awamu ya kwanza ya ujenzi wa SGR kutoka Dar mpaka Morogoro (km 200) inajengwa kwa 100% na serikali ya Tanzania. Serikali imetenga dola milioni 460 kwa ajili ya shughuli hiyo. Mkopo wa China utajenga kuanzia Morogoro hadi Mwanza na baadae kuendelea hadi Kigoma. Zabuni za kujenga SGR kuanzia Morogoro bado zipo wazi na zitafungwa tarehe 15.02.2017.
Mshindi wa zabuni ya Dar-Moro kashapatikana na mkataba wa ujenzi utasainiwa siku yoyote kuanzia sasa. Ujenzi utaanza robo ya kwanza ya mwaka huu.
 
Wapi... mumeishi kumchokonoa huyo Kagame kila siku. Bora Magu juzi ndio amekubali yaishe na kumtembelea na kuomba ushauri jinsi ya kuwanyoosha Watanzania ili waisome namba.
Hauwajuwi the three musketeers wa lake zone, sasa mimi nikuelimisha hapa hautaelewa?. Over
 
Hamna sehemu nimepindisha, wewe umeleta mambo ya mgomo wa madaktari Kenya, huku ukichekea chekea. Nikakujibu kwenu wataalam walishapigwa kimya, hawana pakutolea sauti. Daktari Ulimboka alithubutu yakamkuta.
Cha msingi watu wetu wanakwenda hospitali wanatibiwa, unlike majirani hata number ya watu walio athirika na mgomo huu au kupoteza maisha haijulikani. Na uchaguzi unakuja serikali inafanya kazi ya ziada kufukia hizo hesabu zisiwe gumzo la uchaguzi.
 
Mbona hatukuongea mliponunua mapangaboy yenu, wenyewe mlikuja kutututambia kwamba yataipiga chini KQ. Hakuna Mkenya huwaza mambo ya Tanzania, labda wachache ambao tunakuja huko kufanya biashara zetu. Nyie ndio kila uchao Kenya hiki Kenya kile..... Kila siku mnaongea jinsi mtaipita Kenya, tangu enzi za mababu zenu hadi vizazi vyz kesho, wimbo ni ule ule.
Am telling you ....this people hehe

No one CARES what ever Happens South ...wanatuingilia tukiwaambia ukweli wanaanza kuwa petty!!
 
Kuna uwongo hapo? Tell me kama Britain are not holding big chunk of land in Kenya, tell me if English is not one of your nation language, is there any British military base in Kenya. Britain has always has a soft spot when it comes to Kenya everone knows that.
English is spoken in 167 countries out of 215 kingdoms and Coutries

Most of South America speak spanish Mpaka u may forget Spanish isnt the Latinos Language but spains

Belgians
Swiss
Dutch
Norwegians speak French and German ....SMH mna leta arguments nikama mko class 7 bado!!
 
Kuna uwongo hapo? Tell me kama Britain are not holding big chunk of land in Kenya, tell me if English is not one of your nation language, is there any British military base in Kenya. Britain has always has a soft spot when it comes to Kenya everone knows that.
Soft spot???

Under the British Empire Kenya Na South Africa were the only African Countries That Suffered the most and in South Africa it was the Boer people IE Afrikaan ....peleka hyo soft mbali.....The Royal British Airforce Dropped more than 6 million Bombs In Kenya After world war 2 To prevent independence Yenyu Hata mlipigania kweli??

Nkt ...Hyo "softspot" unayo itaja taja Hatukuipata Bure ....

1484762031064.png
1484762038673.png
1484762044663.png
1484762052680.png
1484762058665.png
1484762067325.png
1484762071332.png
1484762075620.png
 
Soft spot???

Under the British Empire Kenya Na South Africa were the only African Countries That Suffered the most and in South Africa it was the Boer people IE Afrikaan ....peleka hyo soft mbali.....The Royal British Airforce Dropped more than 6 million Bombs In Kenya After world war 2 To prevent independence Yenyu Hata mlipigania kweli??

Nkt ...Hyo "softspot" unayo itaja taja Hatukuipata Bure ....

View attachment 461337View attachment 461338View attachment 461339View attachment 461340View attachment 461341View attachment 461342View attachment 461343View attachment 461344
Did i mention the people on my earlier post? (Black Kenyans) I mentioned Kenya as country as land, they wanted land they took it, they wanted military base they took japo mnasema to protect you from Somalis. In the process they succeeded to make you lot speak their language so that they will be able to continue fooling you and take whatever they want. Kwa wazungi they don't care if one day all black Kenyans will disappear and leave them with land . Zimbabwe was meant to be another Australia or New Zealand. Kinacho nishangaza mimi, with all that bad blood between black Kenyans and British, why you guys are still embracing wazungu? Everyone was expecting after independence Kenyans will actually reinvent themselves to be a true African nation, lakini wapi, Kenya went back and copied all the bad habits of oppressor and make there's. Watu wana mchekaga Mugabe lakini ukisoma kilicho tokea Zimbabwe wakati wa mzungu you'll understand why Mugabe is behaving the way he is.

PS.
Sisi tulikuwa hatuna haja ya kupigana na wazungu we're never a colony, we're just a territory, hawakujenga kitu lakini the moment tumepata uhuru, we used our country well kuwasaidia wengine kupata Uhuru wao. And made sure wazungu sio wenye sauti ya mwisho ndani ya nchi yetu.
 
Naskia kuna watu wametumia cash $500 million kununua pangaboy alafu wanaenda kuomba omba $200Million kutoka kwa world bank ili kulipa madeni ya campuni ya umeme....Hahahahahahah ...... backward nation
 
Naskia kuna watu wametumia cash $500 million kununua pangaboy alafu wanaenda kuomba omba $200Million kutoka kwa world bank ili kulipa madeni ya campuni ya umeme....Hahahahahahah ...... backward nation

Kenya Power procures Sh50 billion loan to refinance its debt

By BRIAN NGUGI, bnjoroge@ke.nationmedia.com
Posted Wednesday, June 29 2016 at 14:32

Kenya Power has procured a Sh50 billion ($500 million) long-term syndicated loan to refinance its existing loans.
The facility, signed between the NSE-listed electricity distributor and Standard Chartered Bank, is in two tranches including a Sh35 billion loan comprising a ten-year tenor guaranteed by the World Bank (through the International Development Association) and Sh15.1 billion having a seven-year tenor.
“The proceeds of the facilities will be applied towards refinancing Kenya Power’s existing commercial loan facilities,” said the power utility in a statement, adding that the loans will have a two year grace period followed by equal semi-annual repayments.

The State utility said the loans would enable it reduce its total financing costs, extend maturities beyond existing terms and improve its liquidity position.

“They will harmonise documentation (including financial undertakings) and further improve KPLC’s ability to fund future capital expenditure through internal sources,” it added.

Standard Chartered Bank was the lead arranger for the hybrid financing.

Kenya Power procures Sh50 billion loan to refinance its debt
 
Back
Top Bottom