Why Magufuli administration misses the point on Government splurge

Why Magufuli administration misses the point on Government splurge

Status
Not open for further replies.
Rafiki yangu,

Tufunge mwana 2020 na kufungua na kuishi katika mwaka 2021 tukitafakari maneno ya Kristo kupitia Nabii na Mfalme Solomoni (Suleimani):

Katika Mithali 6 anasema:

1. “‘Ewe mvivu, mwendee chungu (au sisimizi) zitafakari njia zake ukapate hekima. Kwa maana yeye hana kiongozi, wala msimamizi, wala mkuu, lakini hujiwekea akiba ya chakula wakati wa jua;
Hukusanya chakula chake wakati wa mavuno. Ewe mvivu, utalala hadi lini?
Utaondoka lini katika usingizi wako? Bado kulala kidogo, kusinzia kidogo,
Bado kukunja mikono upate usingizi! Hivyo umaskini wako huja kama mnyang'anyi, Na uhitaji wako kama mtu mwenye silah” (Mithali 6:6-11)

2. “Kuna vitu sita anavyovichukia BWANA;
Naam, viko saba vilivyo chukizo kwake:?
i) Macho ya kiburi,
ii) Ulimi wa uongo,
iii) Mikono imwagayo damu isiyo na hatia,
iv) Moyo uwazao mawazo mabaya,
v) Miguu iliyo myepesi kukimbilia maovu,
vi) Shahidi wa uongo asemaye uongo;
vii) Apandaye mbegu za fitina kati ya ndugu” (Mithali 6:16-19)

3. “Mwanangu, shika maagizo ya baba yako,
Wala usiiache sheria ya mama yako. Yafunge hayo katika moyo wako daima;
Jivike hayo shingoni mwako.
Uendapo yatakuongoza, ulalapo yatakulinda, Na uamkapo yatazungumza nawe. Maana maagizo hayo ni taa, na sheria hiyo ni nuru,
Na maonyo ya kumwadilisha mtu ni njia ya uzima” (Mithali 6:20-23).

Tunda la Roho: Upendo, Amani, Hekima, Uvumilivu, Maarifa, Uelewa, Uaminifu, Kuwa na Kiasi, nk liwe nawe katika mwaka 2021 na kwenda mbele.

Wasalaam
Charles Ndyetabula
31 Disemba 2020
 
Mambo muhimu ya kuzingatia unapo anza mwaka 2021

1.Hakikisha unazaliwa upya 2021

2.Acha kuishi kwa mazoea.

3.Usiishi na kumbukumbu za waliokukosea 2020.

4.Usiishi kwa kutegemea miujiza fanya kazi.

5.Usiogope kuchekwa unapojenga misingi ya kesho yako.

6.Liishi neno la Mungu na ongeza mahusiano na Mungu.

7.Tambua hakuna anayeweza kuyabadilisha maisha yako zaidi ya Mungu na wewe mwenyewe.

8.Jifunze kutoa Sadaka kamili inayofanana na ulivyobarikiwa,hii ndiyo njia pekee ya kuongeza baraka zako.

9.Ongeza muda wa Ibada kati yako na Mungu .

10.Using'ang'anie kuishi na watu ambao Mungu anajitahidi kukutenganisha nao.

11.Jitahidi uyaguse maisha ya wengine kwa wema. [emoji123]

12.Linda sana moyo wako kuliko vyote ulindavyo.
 
Loves you in My God Christ Jesus the only living God [emoji120]
IMG-20210101-WA0011.jpg
 
The determination of this regime to aggresively squeeze tax upon her subjects will soon lead to restoration of a poll tax. We say so because many people are downing their tools in protest of a repressive regime
IMG_20210101_141558_964.jpg
 
We now have a major projection to make...a poll tax no longer a taboo subject but will in the near future be restored to force people back to work like in those colonial days. Most people now deem CCM as an occupation force therefore non violent civil disobedience is slowly gaining momentum culminating in go slow at every sector dwindling the Exchequer monthly collection..so poll tax despite its immense unpopularity will soon be introduced to force people back to work and narrow the collection gaps in the process

But you can take a donkey to a brook but can you force it to drink waters when it knows they are stolen waters?

This is akin of asking the Israelites to sing the Lord's song while in Babylonian captivity: Psalms 137
 
The word when falls among the weeds it shrivels no wonder weak opposition members no sooner blighted by CCM persecutions recant their opposition creed and opt to enjoy stolen waters for a moment
IMG_20210101_142231_832.jpg
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom