Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,195
- 13,785
Mwaka jana show ni kama hazikuwepo ukichanganya na uchaguzi na Corona.
Hata Wasafi festival na Fiesta hazikufanyika. Hata Zuchu show alizofanya ni za kutambulisha Wasafi fm na za uchaguzi.
Ni kama tu huyo Ibraah alivyokuwa akishiriki shows za Sayona na uchaguzi.
Nambie ni show gani watu walilipa kwenda kumwona Zuchu ?
Yote hayo yalikuwa matamasha ya BURE.
Nilishawahi kumiona Jay z stejini ukimuona tuu utajua huyu mtu fedha anayo tofautu na camron. Hela huwa inaonekana na chawa huwa wanajulikana. No hard feelings mimi msimamo wangu ni kwamba rayvanny hana hela amezidiwa kidogo sana na harmonize.Nikikua nitaacha au WEWE UACHE UONGO?.
Yeye mwenyewe wakati anatoka WCB alisema aliuza nyumba mbili na kutoa milion mbili kwenye account yake na Jembe ni jembe alimsaidia million 100 ,aliya ongea haya Harmonize kwenye uzinduzi wa Epp ya Country Boy.Kwa hiyo maana yake 400 alilipa yeye,ambazo zilitokana na kazi yake ya mziki chini ya WCB.Hicho nyingine chai na story za vijiweni.
Unaonekana unajua mikataba? Haya basi Jembe ni Jembe ktk Kondegang anakula % ngapi? Au labda unajua % za WCB tu.
Yaani Clouds wamuokoe Konde huku msanii ambaye mwenye talents kubwa kuliko Konde Baranaba Boy hana mbele wala nyuma,naona tunauziana chai.
Duu yaani ukiwasogelea unajua hawana hela [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] unaleta story za chuma na sumaku,manake sumaku ikiisogelea chuma unajua hii chuma.
AU wewe vinyweleo vyako vinasense hela hela duuuu au pua yako ina sense hela kujua huyu ana hela au hana hongera mwanangu kwa kipaji chak hiki lakini ubaya una kiapply kwa WCB,ila kwa kings na Kondegang hukiapply kwakuwa unaamini wasanii waliokuwa chini ya Kondegang na Kings hawanyonywi.
Alafu nimekuuliza vipi Ibrah na Zuchu wale wana mwaka mmoja,ina maana Ibrah ana hela kuliko Zuchu manake kwako wewe Wasafi wanyonyaji.
Wewe unamjua Ndama,mimi kuna mzee namjua,ana maduka gesti na nyumba 7 Tabata ila anapendelea kutembea na miguu,watoto zake wawili wapo nje na huyu sikumjua hivi mara ya kwanza nilimchukila poa ila mfanyakazi wake ndie akaniambia mali zake,acha kukalili maisha,eti ukimsogelea unajua ana shillingi ngapi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787],kama vip mwanangu kaombe kazi TAKUKURU.
Nonsense kabisa unafananisha wasanii wa dunia ya kwamza na sisi huku wakina bonde wa dunia ya tatu.Nilishawahi kumiona Jay z stejini ukimuona tuu utajua huyu mtu fedha anayo tofautu na camron. Hela huwa inaonekana na chawa huwa wanajulikana. No hard feelings mimi msimamo wangu ni kwamba rayvanny hana hela amezidiwa kidogo sana na harmonize.
Diamond ana fedha sababu angalia watu aliowaajiri na hata ukipishana nae utajua tuu huyu mtu hela ipo kuanzia ngozi, perfume, ndinga etc. Hayo mengine ya utajiri wa kina kimario wa rombo mdomo hapigi mswaki halafu ana gesti house huo haunihusu na nishatoka huko toka primary school.
Kwa kifupi nikueleweshe pesa ilivyo haijifichi. Kule mtaa wa chakechake masaki tulikuwa tuna kijiwe likipita gari la mke wa mengi, au mzee shelukindo unasikia mtaa mzima unanukia tulikuwa tunajua matajiri hao wanapita ndani ya marnage rover enzi hizo nafikiri bado hujaja town au hujazaliwa bado 1988.
Rayvanny alikuwa no one kupitia huyo mnyonyaji amekuwa someone we endelea kuropoka tuDiamond ananyonya wenzake
Alifanya show kahama ya uwanjani.Zuchu alifanya show mlimani city
Alifanya show tanga nakumbuka alikua na mwana FA
Alifanya show mwanza
Alifanya show za harusi hizi private Kama 2 hivi
Yani mjanja akisoma haitaji kujua wewe ni bonge la mshamba yani.Nilishawahi kumiona Jay z stejini ukimuona tuu utajua huyu mtu fedha anayo tofautu na camron. Hela huwa inaonekana na chawa huwa wanajulikana. No hard feelings mimi msimamo wangu ni kwamba rayvanny hana hela amezidiwa kidogo sana na harmonize.
Diamond ana fedha sababu angalia watu aliowaajiri na hata ukipishana nae utajua tuu huyu mtu hela ipo kuanzia ngozi, perfume, ndinga etc. Hayo mengine ya utajiri wa kina kimario wa rombo mdomo hapigi mswaki halafu ana gesti house huo haunihusu na nishatoka huko toka primary school.
Kwa kifupi nikueleweshe pesa ilivyo haijifichi. Kule mtaa wa chakechake masaki tulikuwa tuna kijiwe likipita gari la mke wa mengi, au mzee shelukindo unasikia mtaa mzima unanukia tulikuwa tunajua matajiri hao wanapita ndani ya marnage rover enzi hizo nafikiri bado hujaja town au hujazaliwa bado 1988.
Nimekuelewa sana apa MkuuBaada ya kufatilia hili sakata linaloendelea kati ya Harmonize (KondeGang) na Rayvany (Wasafi) maoni yangu ni kwamba Wasafi wameshinda hii battle ingawa kwa jicho la kawaida unaweza usigundue.
Nachoona hapa Wasafi lengo lao Kubwa ni kuihamisha hii bifu ya Harmonize dhidi ya Diamond, na kuipeleka kwa Harmonize dhidi ya Rayvany kwakuwa waliona Diamond hanufaiki na bifu hilo, ila kwa Rayvanny itamsaidia kukua zaidi huku Harmonize akibaki palepale au kushuka. Kitendo cha Harmonize kushindanishwa na wasanii wakubwa kama Diamond au hata Kiba kilikuwa kinamuweka pazuri zaidi kuliko hivi ambavyo anashindana na Rayvanny mtu ambaye hata yeye anaamini anamzidi 'ukubwa'.
Nimeona kwenye interview Rayvanny anazungumzia kuhusu kumzidi Harmonize subscription, views na online sales; hakika hivyo hajavisema kwa bahati mbaya, hii ishu iko planned kabisa na management, na Diamond kajikausha kama hausiki ila usikute ndio masterplan wa mchezo mzima. Inshort walijua kile kitendo cha Ray kurelease video yake na Paula ni lazima konde atajichanganya tu, na kweli ikawa hivyo.
Sasa usishangae kutoona mashabiki wakimlinganisha Harmonize na Diamond, utaona wanamlinganisha na Rayvanny huku Diamond yuko bts anakula popcorn tu[emoji16]
Hili linajulikana kuna channel inaitwa sns youtube ameongelea sana haya mambo, na hizo figure ulizoweka ni sawa au si sawa kutegemeana na watazamaji wako ni wa sehemu gani zaidi.Wanaponichekesha wabongo ni pale wanapopiga hesabu ya Youtube viewers na kuzibadilisha kuwa hela kwa njia zao wazijuavyo.
Utaskia viewers 10m ni sawa na Tsh 10m.
Mi sijui hii confindence unaipata wapi ya kuprove kwamba zuchu hana hela....Mngekuwa na akili kubwa kidogo kama mdomo wa boss wenu ingewasaidia sana.
Huyo Zuchu gharama zilizotumika kumpa hiyo mileage ni kubwa mnoo, na kwa vyovyote hajaingiza faida.
Hata YouTube channel yake imekuwa boosted mnooo. Kwahiyo hapo kuna mchanganyiko wa organic na paid views. Ukijumlisha ile branding affair aliyofanyiwa Mlimani City ni zaidi ya 10M.
Lakini hao Kondegang, ukicheck kazi zao zinaenda organically.
Probably huyo kibiashara Ibraah ameanza kuingiza faida lakini Zuchu bado.
Ukikua utaacha. Fedha haijifichi hata siku moja. Ukimuona binti wa Mzee noni doreen au wa Mzee wa vijisenti madina directly unaona hela ipo. Wananukia tuu ma joe malone yaani wananukia pesa.
Ukikutana na Ndama mtoto wa ngombe japo ni mweusi lakini ngozi yake na nguo alizovaa unajua pesa ipo bado gari analoendesha.
Sasa vanny, baba levo,lavalava, darleeen,uncle shamte hao wote ukisogeleana nao tu unajua bado arosto apeche isipokuwa diamond ndio ukimuona unajua hela ipo.
Nikusaidie Harmonize pale wcb katoka kwa nguvu ya upande wa pili ule wa clouds particular Jembe hakuwa na hela ya kusimama mwenyewe bila godfther na competitor. Ile ni biashara usifikiri katoka tuu ana target lazima aachieve mwisho wa siku.
fact bro, halafu Kuna member mmoja anajifanya kuwajua sana wasanii na maisha yao, tumpuuze tu maana ukiona unachosikia akifanani na unachokiona basi amini macho yako.Mi sijui hii confindence unaipata wapi ya kuprove kwamba zuchu hana hela....
Umejitahidi mwenyewe kutupoteza kwa kujazia tu maneno twa kingereza eti organically ili usiulizwe maswali au???
Proof ya ibrah analipwa kuliko zuchu ni ipi????
Nguvu iliyotumika sana kumboost zuchu ambayo ina gharama ni ipi???
Una mifano ya sehemu hzo gharama zilipotumika???
Zuchu kaanza juzijuzi tu na kawa ambassador wa nywele...
Na ile hela ya u ambassador wanaichkua?
Haya basi tupime kwa show za mwaka
Zuchu na ibrah wamepiga show ngap mpaka sasa?
Huoni hata kwa utetezi wako usio na proof kwamba mwisho wa siku bado zuchu obviously anaingiza pesa nyingi???
Rayvanny ndo asiongelewe kabisa
Kuanzisha next level music ni ushahidi tosha....
Haya maswala sijui ya wcb wananyonya naona tokea muda ipo tu
Watu wanazidi kufanya mambo yao wcb lakini watu wamekazana kuna unyonyaji
Ushahidi hamna ....mimi kwa kweli naona hii mada kama hamna proof basi inyamaziwe tu sio kuwasema watu bila ushahidi tosha
Na kuna mtu kaandika huko eti ngoja nikakupeleke anapokaa zuchu upaone..😂😂
Watanzania bhana yani nifunge safari na mtu baki mwenzangu akanithibitishie zuchu hana hela😂😂😂
Hata mipango ya wasanii huijui hata mifuko yake inasomaje ndo mtu unampangia uchumi kutokana na muonekano
Eti ukimuona tu unajua hana pesa
Na mark zuckerberg nae tungemjudge kwa muonekano si angekua kila mtu anamuona kapuku?
Pesa haiangaliwi kwa macho wazee!!!
Mtu anakwambia tuangalie anapokaaa ndo tutajua ana hela hivi kwelifact bro, halafu Kuna member mmoja anajifanya kuwajua sana wasanii na maisha yao, tumpuuze tu maana ukiona unachosikia akifanani na unachokiona basi amini macho yako.
Binamu akisema nani wa kupinga? AmeeeeeeenAll in all harmonize anawanyima usingizi crew Nzima ya wasafi, and he is just one guy , wanataka kumuona akishuka too bad Mungu sio juma Harmo Kila Siku nyota yake inazid kuwaka juu , huyu mmakonde kamzid domo ujanja
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] waleleeeeeeeeeeeeeeh,Mbona mnafanya kwenda dubai is big deal , visa wananunua $90 , return ticket kuanzia $250, ray vanny hawez kukosa hyo pesa aiseh , kuna nchi mtu ukienda lazima ushtuke ila sio Dubai , c bora hata Ommy dimpoz kidogo alitushtua kwenda IBiza, Dubai wanaenda had ma Housegurl
Yaan wanashangaza kwa kweli lol.Badala ya kuweka viewers wa Rayvan wewe unaleta viewer wa zuchu,kwani wanatifuana Konde boy na Zuchu au ni mtifuano wa Konde na Rayvan?
Huyo jamaa anaeongelea contract za wasanii wa Wasafi ni mpuuzi sana na hajielewi!Hao wapo kwenye panic mode wanatunga uongo alafu wanalazimisha watu waamini chuki zao.
Nimeona kuna mjinga mmoja hapo anaongelea contract za wasafi nikataka nitie neno nikaona tutawapa watu faida tu.
Hapo kwenye Tetema Spotify Rayvanny kapiga zaidi ya Million 600Vipi na huko Boomplay,Sportfy na Itunes Zuchu,Rayvany na Diamond wanalipia promo?
Maana Zuchu Sukari Boomplay kwa wiki kumi inaongoza Africa hapa napo walilipia promo.
View attachment 1753021
Ravanny nae Sportfy Tetema ilipata stream zaidi ya milioni moja ndani ya miezi miwili Sportfy je walifanya hiyo promo sportfy?
View attachment 1753024
Hii ni chuki ya wazi. Tafadhali weka mikataba ya wanaonyonywa na sisi tuione. Hebu tufahamishe pia kila 100% za mapato ya Harmonize ile management yake inapata ngapi!Diamond ananyonya wenzake
Weka ushahidi hapa akikalamikaKatika unyonyaji Diamond ni zaidi ya Ruge, kakae na Harmonize na Mavoko watakuambia. Hata huyo rayvanny Kuna kipindi alikuwa analalamika chinichini kuwa kamgao ni kadogo.
Na diamond hataki waondoke wakajitegemee