Ukikua utaacha. Fedha haijifichi hata siku moja. Ukimuona binti wa Mzee noni doreen au wa Mzee wa vijisenti madina directly unaona hela ipo. Wananukia tuu ma joe malone yaani wananukia pesa.
Ukikutana na Ndama mtoto wa ngombe japo ni mweusi lakini ngozi yake na nguo alizovaa unajua pesa ipo bado gari analoendesha.
Sasa vanny, baba levo,lavalava, darleeen,uncle shamte hao wote ukisogeleana nao tu unajua bado arosto apeche isipokuwa diamond ndio ukimuona unajua hela ipo.
Nikusaidie Harmonize pale wcb katoka kwa nguvu ya upande wa pili ule wa clouds particular Jembe hakuwa na hela ya kusimama mwenyewe bila godfther na competitor. Ile ni biashara usifikiri katoka tuu ana target lazima aachieve mwisho wa siku.
Nikikua nitaacha au WEWE UACHE UONGO?.
Yeye mwenyewe wakati anatoka WCB alisema aliuza nyumba mbili na kutoa milion mbili kwenye account yake na Jembe ni jembe alimsaidia million 100 ,aliya ongea haya Harmonize kwenye uzinduzi wa Epp ya Country Boy.Kwa hiyo maana yake 400 alilipa yeye,ambazo zilitokana na kazi yake ya mziki chini ya WCB.Hicho nyingine chai na story za vijiweni.
Unaonekana unajua mikataba? Haya basi Jembe ni Jembe ktk Kondegang anakula % ngapi? Au labda unajua % za WCB tu.
Yaani Clouds wamuokoe Konde huku msanii ambaye mwenye talents kubwa kuliko Konde Baranaba Boy hana mbele wala nyuma,naona tunauziana chai.
Duu yaani ukiwasogelea unajua hawana hela 🤣🤣🤣🤣🤣 unaleta story za chuma na sumaku,manake sumaku ikiisogelea chuma unajua hii chuma.
AU wewe vinyweleo vyako vinasense hela hela duuuu au pua yako ina sense hela kujua huyu ana hela au hana hongera mwanangu kwa kipaji chak hiki lakini ubaya una kiapply kwa WCB,ila kwa kings na Kondegang hukiapply kwakuwa unaamini wasanii waliokuwa chini ya Kondegang na Kings hawanyonywi.
Alafu nimekuuliza vipi Ibrah na Zuchu wale wana mwaka mmoja,ina maana Ibrah ana hela kuliko Zuchu manake kwako wewe Wasafi wanyonyaji.
Wewe unamjua Ndama,mimi kuna mzee namjua,ana maduka gesti na nyumba 7 Tabata ila anapendelea kutembea na miguu,watoto zake wawili wapo nje na huyu sikumjua hivi mara ya kwanza nilimchukila poa ila mfanyakazi wake ndie akaniambia mali zake,acha kukalili maisha,eti ukimsogelea unajua ana shillingi ngapi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣,kama vip mwanangu kaombe kazi TAKUKURU.