Why Rayvanny anajisifu kuuza sana online wakati mapato hayo mengi yanaenda kwa Platnumz?

Why Rayvanny anajisifu kuuza sana online wakati mapato hayo mengi yanaenda kwa Platnumz?

We all know Diamond Platnum ni Baba lao kwenye muziki, ila kinachomuumiza akili Diamond ni vile Harmonize anavyozid kukua siku hadi siku of which hataki itokee, Diamond is on top ila harmonize anampa hofu sana ki ukweli coz anaona moto anaokuja nao si mchezo, Ndio maana wasafi Nzima wanahaha wanaogopa kiti chao cha ufalme kuchukuliwa na harmonize

But soon or later harmonize anaenda kuwa mtu mkubwa sana , huu ni ukweli mchungu ambao wasafi hawataki kuamini

Harmonize ni tishio kubwa sana Ndio maana wanafanya juu chini kumzima, angekua sio threat wasingekua wanam attack kila kukicha


Why hawana time na mavoko? Kwa sababu walitaka kumshusha na wakafanikiwa hivyo hawana time nae washammaliza, Tatizo liko kwa harmonize, mmakonde anampa headache Boss wake wa zaman

Hakuna kitu kinauma kama mfanyakazi wako mwenyewe anakua mkubwa kukupita, well it’s very normal ni human nature hakuna anayependa kuwa mdogo kumzid mwenzie, ila harmonize anawapa stress sana wasafi
Acha kufanya assumptions ambazo hazipo kick za insta sio reality mtaani mwamba anaonekana kwenye namba. Subiri uone Next Level watachokuja nacho kwenye industry ndio utaelewa chui sio mtu mzuri
Screenshot_20210415-180253_Twitter.jpg

Screenshot_20210415-180223_Twitter.jpg
 
Nimesikia haya Mambo kuwa Rayvanny anaongoza mauzo katika digital platform, ni kweli lakini mi sioni kama ni hoja.

Sawa anauza sana hata Zuchu anauza sana lakini kuna hasara yake kwa upande mmoja au mwingine, asilimia kubwa ya mauzo ya Rayvanny na Zuchu yanakwenda kwa Diamond , so hata kama Vanny boy anauza sana hafaidiki moja kwa moja na mapato yote, hayo mapato ndio Diamond anatumia kulipa mishahara ya wafanyakazi coz mfano Wasafi fm haiingizi pesa za kutosha.

Pia Vanny boy na Zuchu wanatembelea kick ya master Platnumz, wakitaka wajipime waseme tunatoka kwa muajiri wetu WCB I mean Platnumz.

Harmonize na Mavoko kilichowatoa ni mgao wanaopata kwenye mauzo ya nyimbo zao ulikuwa mdogo mwingi ukienda kwenye kampuni.

Inawezekana Harmonize anauza kidogo kuliko Rayvanny lakini akawa ana kipato kikubwa kuliko Rayvanny kwa sababu Rayvanny ni muajiriwa wa Diamond na anapangiwa anachostahili kupata.
Wewe mbona unataka kutudanganya mchana kweupe,
Kwanza kwa hilo la kipato cha mauzo ya rayvanny yakalipe wafanyakazi wa wasafi fm siyo kweli hata kidogo. Una ushahidi gani wasafi fm haitengenezi faida au inaendeshwa kwa hasara. Katika hili jibu lako liwe na data siyo maneno matupu. Tofauti na hilo hakuna Ukwel wowote hapo. Kama ni wazamini wasafi fm na tv wapo huko.

Pili umeongelea kuhusu mauzo Kati ya Hawa watu wawili na jinsi mapato yanavyogawanywa. Labda nikueleweshe rayvanny aliongelea mauzo akiwa na maana Kama mauzo ni makubwa basi mziki wake unawafikia watu wengi kuliko mwenzie, na si swala la kipato. Hivyo siku nyingine jitahidi kutafsiri vitu kwa umakini wake ili usipate maana tofauti na iliyokusudiwa.
 
Diamond ananyonya wenzake
Huwezi ukawa na akili timamu ukaongea hivi, ikiwa hata mikataba yao hujui ikoje, halafu unataka bosi leo hii alingane na mwajiriwa uliona wapi. Watu Kama sampuli yako mnatakiwa kusaidiwa tu nakupita kushoto lakini partnership mtaleta uswahili kwa ukosefu wa maarifa.
 
Yeye amezungumzia mauzo (akimaanisha ukubwa wake), hajazungumzia nini anaingiza
Kwahy ww upo ni chinga kaliakoo unaingia kwa mchina unachukua mzigo wa 1m unamwaga nje pale unauza kwa siku 1m unapeleka kwa mchina yote naww unatamba mtaan kwamba unapata faida
 
Huwezi kuboost kama hujui kwenye acc yako iwe Youtube,Insta,Fb,Twitter kila unachofanya,wana kimonitor,kupitia maroboti na AI.

KUBOOST huwezi,najua mbishi ila tafuta tutorial za AI au kama mpenzi wa documentary angalia documentary ya Social Dilemma unaweza ukapata darasa kijuujuu kuhusu AI.

Na si kuendekeza ukilaza wako na bado kuna watu huko wa information system auditing.
How does YouTube make money then ?

Maana unachobisha hata sielewi ?
 
Mimi nasema ukweli. Sijawahi kuwa msukule wa mtu yeyote.

Kwasababu kelele za kipuuzi zimekuwa nyingi.

Sasa mtu analinganisha watu wanaokuza YouTube channel zao organically na wanaotumia pesa. Kama siyo uzwazwa ni nini ??

sasa kulipia ads na wewe mkuu umeona ni gharama sana, mbona ni bei ya kawaida sana. Mbona hata huyo ibra, konde Nandy wanaofanya hivyo mkuu au siyo mfatiliaji wa kazi zao hawa wasanii. Zuchu mpaka sasa kashatengeneza zaidi ya milioni 200. Unataka kusema bado hawajaanza kutengeneza faida?
 
Baada ya kufatilia hili sakata linaloendelea kati ya Harmonize (KondeGang) na Rayvany (Wasafi) maoni yangu ni kwamba Wasafi wameshinda hii battle ingawa kwa jicho la kawaida unaweza usigundue.

Nachoona hapa Wasafi lengo lao Kubwa ni kuihamisha hii bifu ya Harmonize dhidi ya Diamond, na kuipeleka kwa Harmonize dhidi ya Rayvany kwakuwa waliona Diamond hanufaiki na bifu hilo, ila kwa Rayvanny itamsaidia kukua zaidi huku Harmonize akibaki palepale au kushuka. Kitendo cha Harmonize kushindanishwa na wasanii wakubwa kama Diamond au hata Kiba kilikuwa kinamuweka pazuri zaidi kuliko hivi ambavyo anashindana na Rayvanny mtu ambaye hata yeye anaamini anamzidi 'ukubwa'.

Nimeona kwenye interview Rayvanny anazungumzia kuhusu kumzidi Harmonize subscription, views na online sales; hakika hivyo hajavisema kwa bahati mbaya, hii ishu iko planned kabisa na management, na Diamond kajikausha kama hausiki ila usikute ndio masterplan wa mchezo mzima. Inshort walijua kile kitendo cha Ray kurelease video yake na Paula ni lazima konde atajichanganya tu, na kweli ikawa hivyo.

Sasa usishangae kutoona mashabiki wakimlinganisha Harmonize na Diamond, utaona wanamlinganisha na Rayvanny huku Diamond yuko bts anakula popcorn tu[emoji16]
Sawa kabisa, kwa kiliona hilo nae harmo anampelekea ibra apambane na vanny.
Ibra kanunua ugomvi wa harmo.
 
Mimi sielewi hao madogo wa wasafi na konde gang hata wanabifu ya nini ila msanii bora na mfalme wa muziki hivi sasa ni Ali Kiba
 
sasa kulipia ads na wewe mkuu umeona ni gharama sana, mbona ni bei ya kawaida sana. Mbona hata huyo ibra, konde Nandy wanaofanya hivyo mkuu au siyo mfatiliaji wa kazi zao hawa wasanii. Zuchu mpaka sasa kashatengeneza zaidi ya milioni 200. Unataka kusema bado hawajaanza kutengeneza faida?
Sijasema kama kulipia ni gharama au ni haramu. Ninachosema hapa lazima watu wajue kutofautisha kati ya organic growth na paid growth.
 
Mngekuwa na akili kubwa kidogo kama mdomo wa boss wenu ingewasaidia sana.

Huyo Zuchu gharama zilizotumika kumpa hiyo mileage ni kubwa mnoo, na kwa vyovyote hajaingiza faida.

Hata YouTube channel yake imekuwa boosted mnooo. Kwahiyo hapo kuna mchanganyiko wa organic na paid views. Ukijumlisha ile branding affair aliyofanyiwa Mlimani City ni zaidi ya 10M.

Lakini hao Kondegang, ukicheck kazi zao zinaenda organically.

Probably huyo kibiashara Ibraah ameanza kuingiza faida lakini Zuchu bado.

Kwahiy baada ya wasafi kununua views au subscribers YouTube wanakuja tena kulipwa na YouTube au inakuaj
 
Sijasema kama kulipia ni gharama au ni haramu. Ninachosema hapa lazima watu wajue kutofautisha kati ya organic growth na paid growth.
Na mm nimekuambia huwez sema ibra ni organic growth ikiwa Kuna kazi kadhaa amelipia ads. Na usitake kutuaminisha kazi zote za Zuchu zimelipiwa ads na pia usituaminishe kuwa hilo ndiyo gap pekee linalomfanya Zuchu kuwa bora katika kazi zake na mauzo mtandaoni. Huwezi jisifia au kuona sawa biashara yako inatengeneza faida ndogo kwasababu hufanyi matangazo, ukiulizwa kulikoni basi kwakutunisha kifua kabisa unajibu aah yule anafanya matangazo lakini mimi sina muda huo. Lengo ni faida tu kwenye maisha Kama kitu kinaleta faida hakuna tatizo kabisa.
 
Kwahiy baada ya wasafi kununua views au subscribers YouTube wanakuja tena kulipwa na YouTube au inakuaj
Huwezi kuanza kutaka kulipwa kuanzia day one. Watu wanajenga platform na branding kwanza.

Hata YouTube kumlipa mtu ni mpa channel yako iwe na subscribers kuanzia 1,000 na watch time 4,000. Kwahiyo huwezi kuwekavideo ya kwanza directly unataka kulipwa na YouTube.

Ndio maaana hata Show ya I am Zuchu Mlimani City ilikuwa BURE.

Paid advertising ya YouTube channel ya Zuchu hiyo hapo:
1618506305170.png
 
Baada ya kufatilia hili sakata linaloendelea kati ya Harmonize (KondeGang) na Rayvany (Wasafi) maoni yangu ni kwamba Wasafi wameshinda hii battle ingawa kwa jicho la kawaida unaweza usigundue.

Nachoona hapa Wasafi lengo lao Kubwa ni kuihamisha hii bifu ya Harmonize dhidi ya Diamond, na kuipeleka kwa Harmonize dhidi ya Rayvany kwakuwa waliona Diamond hanufaiki na bifu hilo, ila kwa Rayvanny itamsaidia kukua zaidi huku Harmonize akibaki palepale au kushuka. Kitendo cha Harmonize kushindanishwa na wasanii wakubwa kama Diamond au hata Kiba kilikuwa kinamuweka pazuri zaidi kuliko hivi ambavyo anashindana na Rayvanny mtu ambaye hata yeye anaamini anamzidi 'ukubwa'.

Nimeona kwenye interview Rayvanny anazungumzia kuhusu kumzidi Harmonize subscription, views na online sales; hakika hivyo hajavisema kwa bahati mbaya, hii ishu iko planned kabisa na management, na Diamond kajikausha kama hausiki ila usikute ndio masterplan wa mchezo mzima. Inshort walijua kile kitendo cha Ray kurelease video yake na Paula ni lazima konde atajichanganya tu, na kweli ikawa hivyo.

Sasa usishangae kutoona mashabiki wakimlinganisha Harmonize na Diamond, utaona wanamlinganisha na Rayvanny huku Diamond yuko bts anakula popcorn tu[emoji16]
Upo sahihi kabisaa

Ndo maana kondegang walikuja kushtukia hii ishu too late

Wakataka kubadili upepo kwa kuihamisha bifu wakamtuma dogo Ibraaah ili aingie kati kama substitute ya Konde boy... Ila WCB wakaliona ilo, dogo Ibraah akakaushiwa kama vile hajatoa wimbo wowote wa madongo..

Wasafi they are very clever... Trust me hawafanyagi ishu yoyote ile bila kuwepo na maslahi na wao kama wao kufaidika
 
Na mm nimekuambia huwez sema ibra ni organic growth ikiwa Kuna kazi kadhaa amelipia ads. Na usitake kutuaminisha kazi zote za Zuchu zimelipiwa ads na pia usituaminishe kuwa hilo ndiyo gap pekee linalomfanya Zuchu kuwa bora katika kazi zake na mauzo mtandaoni. Huwezi jisifia au kuona sawa biashara yako inatengeneza faida ndogo kwasababu hufanyi matangazo, ukiulizwa kulikoni basi kwakutunisha kifua kabisa unajibu aah yule anafanya matangazo lakini mimi sina muda huo. Lengo ni faida tu kwenye maisha Kama kitu kinaleta faida hakuna tatizo kabisa.
Anyway weka ushahidi huo tuone kama huyo Ibraah kafanya, maana mimi sijaona kamaalifanya. Pia kufanaya siyo kosa.
 
Anyway weka ushahidi huo tuone kama huyo Ibraah kafanya, maana mimi sijaona kamaalifanya. Pia kufanaya siyo kosa.
muda sina ila sitaki kukuaminisha chochote .ila ukiwa unapitia huko uwe makini unaweza kushuhudia maneno yangu mkuu.
 
Huwezi kuanza kutaka kulipwa kuanzia day one. Watu wanajenga platform na branding kwanza.

Hata YouTube kumlipa mtu ni mpa channel yako iwe na subscribers kuanzia 1,000 na watch time 4,000. Kwahiyo huwezi kuwekavideo ya kwanza directly unataka kulipwa na YouTube.

Ndio maaana hata Show ya I am Zuchu Mlimani City ilikuwa BURE.

Paid advertising ya YouTube channel ya Zuchu hiyo hapo:View attachment 1753015

Kaka labda ukufuatilia hile show mbona watu walilipia Meza kwa Million kiingilio cha chini ilikua 100K
 
Daah bola umeleta ushahidi maan jamaa anasema watu waliingia bure
Hao wapo kwenye panic mode wanatunga uongo alafu wanalazimisha watu waamini chuki zao.

Nimeona kuna mjinga mmoja hapo anaongelea contract za wasafi nikataka nitie neno nikaona tutawapa watu faida tu.
 
Back
Top Bottom