Why Rayvanny anajisifu kuuza sana online wakati mapato hayo mengi yanaenda kwa Platnumz?

Why Rayvanny anajisifu kuuza sana online wakati mapato hayo mengi yanaenda kwa Platnumz?

Thinking ya hovyo sana hii

Umejaribu kuchambua Kampuni inayofanya Stratretic Plan nzuri then instead kuisifia umeiponda.

Umeonesha kampuni inayofanya Branding yake Primitive kama wako zama za mawe then ukaisifu.

Kichwa kinachowaza kwa namna hii kinapaswa kibinywe na winji hadi kupasuke.
When a dumb person from somewhere tries so hard to look smart online.
 
Nimesikia haya Mambo kuwa Rayvanny anaongoza mauzo katika digital platform, ni kweli lakini mi sioni kama ni hoja.

Sawa anauza sana hata Zuchu anauza sana lakini kuna hasara yake kwa upande mmoja au mwingine, asilimia kubwa ya mauzo ya Rayvanny na Zuchu yanakwenda kwa Diamond , so hata kama Vanny boy anauza sana hafaidiki moja kwa moja na mapato yote, hayo mapato ndio Diamond anatumia kulipa mishahara ya wafanyakazi coz mfano Wasafi fm haiingizi pesa za kutosha.

Pia Vanny boy na Zuchu wanatembelea kick ya master Platnumz, wakitaka wajipime waseme tunatoka kwa muajiri wetu WCB I mean Platnumz.

Harmonize na Mavoko kilichowatoa ni mgao wanaopata kwenye mauzo ya nyimbo zao ulikuwa mdogo mwingi ukienda kwenye kampuni.

Inawezekana Harmonize anauza kidogo kuliko Rayvanny lakini akawa ana kipato kikubwa kuliko Rayvanny kwa sababu Rayvanny ni muajiriwa wa Diamond na anapangiwa anachostahili kupata.
Haya mambo ya NG'OMBE na KUPE.

1. Ng'ombe hapati faida yoyote kwa kupe zaidi ya hasara na maumivu.

2. Kupe anapata faida kubwa sana kwa ng'ombe na hatumii nguvu yoyote kupata faida hiyo.

# Nafikiri huu ni mfano mwepesi bila hata 4-figure unaeleweka.
 
Mitandaoni na uhalisia ni vitu viwili tofauti. Rayvany nilikuwa naumona gym moja pale Jangwani sea breez appartments ana prado diamond nyeupe mpaka leo haijabadilishwa namba za zanzibar( hii ina maana ushuru kupatikana ni shida) kuleta namba za bongo. Hana kitu yule jamaa. Ni msanii ana kipaji lakini hela bado yote inaenda kwa diamond wanaishi kwa hisani ya diamond wote wakina baba levo hao wanapanda mpaka bodaboda.

Msanii kama mboso angetulia akajisimamia angepata fedha nyingi lakini mwisho wa siku wote inabidi wakajitegemee ili WCB ichukue vipaji vipya.
 
Mitandaoni na uhalisia ni vitu viwili tofauti. Rayvany nilikuwa naumona gym moja pale Jangwani sea breez appartments ana prado diamond nyeupe mpaka leo haijabadilishwa namba za zanzibar( hii ina maana ushuru kupatikana ni shida) kuleta namba za bongo. Hana kitu yule jamaa. Ni msanii ana kipaji lakini hela bado yote inaenda kwa diamond wanaishi kwa hisani ya diamond wote wakina baba levo hao wanapanda mpaka bodaboda.

Msanii kama mboso angetulia akajisimamia angepata fedha nyingi lakini mwisho wa siku wote inabidi wakajitegemee ili WCB ichukue vipaji vipya.

Sasa ulivyo muona tu ukajua hana hela,hujui kwenye acc zake ana kiasi gani,hujui hata gawio lake kiasi gani kwenye mziki.

Ila cha ajabu hushangai huyo aliye toka WCB nae kaanzisha label,vip wasanii wake nae anawanyonya?

Halafu why WCB? kings ina miaka zaidi ya mitatu,wasanii wake vip nao wana hela kuliko wa WCB,Ibra ana mwaka vipi nae ana hela kuliko Zuchu.

Manake Harmonize katoka WCB kwa madai yake alilipa mil 500 ya kuvunja mkataba,sasa hiyo mia tano aliipata wapi kama sio kwenye label.Kama hela anawapangia Diamond huyo Konde hela ya kuwalipa WCB aliitoa wapi au alilipwa na Diamond?

Hapo bado hela ya kuendesha projects zake,hela ya kuanzisha label (wasanii watano) alizipata wapi?
 
Lebo ya Kondegang ilianza Rasmi mwaka 2019 ikiwa na msanii mmoja ambae ni Harmonize baadae akamsajili Ibraah.
Leo nawapa mauzo ya nyimbo za Zuchu na Kondegang wote kwa Ujumla.
REPORT ZA YOUTUBE NA KONDEGANG:
VIEWERS WA IBRAAH
1. One Night Ibraah Ft Harmonize YouTube ina Viewers M 12
2. Nani_Ibraah Views Milioni 2.4
3. Nitachelewa _Views Milioni 2.2
4. Nimekubali _ Views Milioni 1.7
5.Wandoto _ Views Milioni 1.6
6.Nimpende _ Views Milioni 1.2
7. Sawa _ Views Milioni 1

JUMLA NI SAWA NA VIEWERS MILLIONI 22.1
.
VIEWERS WA HARMONIZE 2019/2021
1. UNO _ VIEWERS M 12
2.JESHI _VIEWERS M 6.6
3. USHAMBA _VIEWERS M 6
4.MPAKA KESHO VIEWERS M 4.8
5.FALLING IN LOVE VIEWERS M 4.8
6. BEDROOM _VIEWERS M 4
7. WIFE _MILLION 3.7
8.MAMA _VIEWERS M 2.8
9.HAINISHTUI _VIEWERS M2.9
10. ANAJIKOSHA VIEWERS MILLION 2.4
JUMLA NI VIEWERS MILIONI 47.6 +22.1=MILLION 69.7
.
.
VIEWERS WA ZUCHU
:
1. SUKARI YA VIEWERS M 26
2. CHECHE _VIEWERS M 19
3.LITAWACHOMA _VIEWERS M.15
4. WANA _VIEWS M. 11
5.NISAMEHE _VIEWERS M. 10
6.MAUZAUZA _VIEWERS M 8
7.RAHA _VIEWS M 7.8
8.NO BODY_ VIEWERS M. 6.2
9.KWARU _VIEWERS M 5.7
.
.
JUMLA NI 108.7
.
.
NAMALAZIA NA BOOMPLAY
HARMONIZE ANA STREAMS NA DOWNLOADS MILIONI 12.8 HUKU KIJANA IBRAAH AKIWA NA MILIONI 2 JUMLA NI MILIONI 14.8
MSANII ZUCHU ANA JUMLA YA STREAMS NA DOWNLOADING MILIONI 23.2

VIPI KUNA SABABU YA VITA YA HARMONIZE NA RAYVANNY?
Ulitakiwa ufanye mlinganyo huu ikiwa Zuchu na Rayvanny wanajitegemea kivyao yaani wapo nje ya Wasafi, vinginevyo hujamtendea haki Konde boy
 
wewe unaishi kwa stor za kusikia tu, mimi nimeangalia kazi zake kwenye majukwaa ya mziki na ndiyo nikaja na hiyo figure. Sasa habar za kulala sebuleni, kuomba Kodi nk mm havinihusu Wala siyo sehemu ya huu mjadala. Nenda huko kwenye music platforms halafu uje unibishie kuwa hiyo figure si sahihi.
Mpatuka umemjibu kisomi asipoelewa atakuwa na upungufu wa akili wa mwilini
 
Ulitakiwa ufanye mlinganyo huu ikiwa Zuchu na Rayvanny wanajitegemea kivyao yaani wapo nje ya Wasafi, vinginevyo hujamtendea haki Konde boy
Hizi ni akili za kipumbavu mbona huyo harmonize alivyotoka nae kaanzisha team yake ya akina jembe ni jembe n.k hakuna msanii ambaye ni jeshi la mtu mmoja
 
Katika unyonyaji Diamond ni zaidi ya Ruge, kakae na Harmonize na Mavoko watakuambia. Hata huyo rayvanny Kuna kipindi alikuwa analalamika chinichini kuwa kamgao ni kadogo.

Na diamond hataki waondoke wakajitegemee
 
Sasa ulivyo muona tu ukajua hana hela,hujui kwenye acc zake ana kiasi gani,hujui hata gawio lake kiasi gani kwenye mziki.

Ila cha ajabu hushangai huyo aliye toka WCB nae kaanzisha label,vip wasanii wake nae anawanyonya?

Halafu why WCB? kings ina miaka zaidi ya mitatu,wasanii wake vip nao wana hela kuliko wa WCB,Ibra ana mwaka vipi nae ana hela kuliko Zuchu.

Manake Harmonize katoka WCB kwa madai yake alilipa mil 500 ya kuvunja mkataba,sasa hiyo mia tano aliipata wapi kama sio kwenye label.Kama hela anawapangia Diamond huyo Konde hela ya kuwalipa WCB aliitoa wapi au alilipwa na Diamond?

Hapo bado hela ya kuendesha projects zake,hela ya kuanzisha label (wasanii watano) alizipata wapi?
Ukikua utaacha. Fedha haijifichi hata siku moja. Ukimuona binti wa Mzee noni doreen au wa Mzee wa vijisenti madina directly unaona hela ipo. Wananukia tuu ma joe malone yaani wananukia pesa.

Ukikutana na Ndama mtoto wa ngombe japo ni mweusi lakini ngozi yake na nguo alizovaa unajua pesa ipo bado gari analoendesha.

Sasa vanny, baba levo,lavalava, darleeen,uncle shamte hao wote ukisogeleana nao tu unajua bado arosto apeche isipokuwa diamond ndio ukimuona unajua hela ipo.

Nikusaidie Harmonize pale wcb katoka kwa nguvu ya upande wa pili ule wa clouds particular Jembe hakuwa na hela ya kusimama mwenyewe bila godfther na competitor. Ile ni biashara usifikiri katoka tuu ana target lazima aachieve mwisho wa siku.
 
Ukikua utaacha. Fedha haijifichi hata siku moja. Ukimuona binti wa Mzee noni doreen au wa Mzee wa vijisenti madina directly unaona hela ipo. Wananukia tuu ma joe malone yaani wananukia pesa.

Ukikutana na Ndama mtoto wa ngombe japo ni mweusi lakini ngozi yake na nguo alizovaa unajua pesa ipo bado gari analoendesha.

Sasa vanny, baba levo,lavalava, darleeen,uncle shamte hao wote ukisogeleana nao tu unajua bado arosto apeche isipokuwa diamond ndio ukimuona unajua hela ipo.

Nikusaidie Harmonize pale wcb katoka kwa nguvu ya upande wa pili ule wa clouds particular Jembe hakuwa na hela ya kusimama mwenyewe bila godfther na competitor. Ile ni biashara usifikiri katoka tuu ana target lazima aachieve mwisho wa siku.

Nikikua nitaacha au WEWE UACHE UONGO?.

Yeye mwenyewe wakati anatoka WCB alisema aliuza nyumba mbili na kutoa milion mbili kwenye account yake na Jembe ni jembe alimsaidia million 100 ,aliya ongea haya Harmonize kwenye uzinduzi wa Epp ya Country Boy.Kwa hiyo maana yake 400 alilipa yeye,ambazo zilitokana na kazi yake ya mziki chini ya WCB.Hicho nyingine chai na story za vijiweni.


Unaonekana unajua mikataba? Haya basi Jembe ni Jembe ktk Kondegang anakula % ngapi? Au labda unajua % za WCB tu.

Yaani Clouds wamuokoe Konde huku msanii ambaye mwenye talents kubwa kuliko Konde Baranaba Boy hana mbele wala nyuma,naona tunauziana chai.

Duu yaani ukiwasogelea unajua hawana hela 🤣🤣🤣🤣🤣 unaleta story za chuma na sumaku,manake sumaku ikiisogelea chuma unajua hii chuma.

AU wewe vinyweleo vyako vinasense hela hela duuuu au pua yako ina sense hela kujua huyu ana hela au hana hongera mwanangu kwa kipaji chak hiki lakini ubaya una kiapply kwa WCB,ila kwa kings na Kondegang hukiapply kwakuwa unaamini wasanii waliokuwa chini ya Kondegang na Kings hawanyonywi.

Alafu nimekuuliza vipi Ibrah na Zuchu wale wana mwaka mmoja,ina maana Ibrah ana hela kuliko Zuchu manake kwako wewe Wasafi wanyonyaji.

Wewe unamjua Ndama,mimi kuna mzee namjua,ana maduka gesti na nyumba 7 Tabata ila anapendelea kutembea na miguu,watoto zake wawili wapo nje na huyu sikumjua hivi mara ya kwanza nilimchukila poa ila mfanyakazi wake ndie akaniambia mali zake,acha kukalili maisha,eti ukimsogelea unajua ana shillingi ngapi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣,kama vip mwanangu kaombe kazi TAKUKURU.
 
Mngekuwa na akili kubwa kidogo kama mdomo wa boss wenu ingewasaidia sana.

Huyo Zuchu gharama zilizotumika kumpa hiyo mileage ni kubwa mnoo, na kwa vyovyote hajaingiza faida.

Hata YouTube channel yake imekuwa boosted mnooo. Kwahiyo hapo kuna mchanganyiko wa organic na paid views. Ukijumlisha ile branding affair aliyofanyiwa Mlimani City ni zaidi ya 10M.

Lakini hao Kondegang, ukicheck kazi zao zinaenda organically.

Probably huyo kibiashara Ibraah ameanza kuingiza faida lakini Zuchu bado.
Ibra amefanya show gani tangu ametambulishwa? ukiacha za ccm tena hazizidi 3 na Zuchu kafanya almost zote na hit ya mwenda zake.
 
Ibra amefanya show gani tangu ametambulishwa? ukiacha za ccm tena hazizidi 3 na Zuchu kafanya almost zote na hit ya mwenda zake.
Mwaka jana show ni kama hazikuwepo ukichanganya na uchaguzi na Corona.

Hata Wasafi festival na Fiesta hazikufanyika. Hata Zuchu show alizofanya ni za kutambulisha Wasafi fm na za uchaguzi.

Ni kama tu huyo Ibraah alivyokuwa akishiriki shows za Sayona na uchaguzi.

Nambie ni show gani watu walilipa kwenda kumwona Zuchu ?

Yote hayo yalikuwa matamasha ya BURE.
 
Lebo ya Kondegang ilianza Rasmi mwaka 2019 ikiwa na msanii mmoja ambae ni Harmonize baadae akamsajili Ibraah.
Leo nawapa mauzo ya nyimbo za Zuchu na Kondegang wote kwa Ujumla.
REPORT ZA YOUTUBE NA KONDEGANG:
VIEWERS WA IBRAAH
1. One Night Ibraah Ft Harmonize YouTube ina Viewers M 12
2. Nani_Ibraah Views Milioni 2.4
3. Nitachelewa _Views Milioni 2.2
4. Nimekubali _ Views Milioni 1.7
5.Wandoto _ Views Milioni 1.6
6.Nimpende _ Views Milioni 1.2
7. Sawa _ Views Milioni 1

JUMLA NI SAWA NA VIEWERS MILLIONI 22.1
.
VIEWERS WA HARMONIZE 2019/2021
1. UNO _ VIEWERS M 12
2.JESHI _VIEWERS M 6.6
3. USHAMBA _VIEWERS M 6
4.MPAKA KESHO VIEWERS M 4.8
5.FALLING IN LOVE VIEWERS M 4.8
6. BEDROOM _VIEWERS M 4
7. WIFE _MILLION 3.7
8.MAMA _VIEWERS M 2.8
9.HAINISHTUI _VIEWERS M2.9
10. ANAJIKOSHA VIEWERS MILLION 2.4
JUMLA NI VIEWERS MILIONI 47.6 +22.1=MILLION 69.7
.
.
VIEWERS WA ZUCHU
:
1. SUKARI YA VIEWERS M 26
2. CHECHE _VIEWERS M 19
3.LITAWACHOMA _VIEWERS M.15
4. WANA _VIEWS M. 11
5.NISAMEHE _VIEWERS M. 10
6.MAUZAUZA _VIEWERS M 8
7.RAHA _VIEWS M 7.8
8.NO BODY_ VIEWERS M. 6.2
9.KWARU _VIEWERS M 5.7
.
.
JUMLA NI 108.7
.
.
NAMALAZIA NA BOOMPLAY
HARMONIZE ANA STREAMS NA DOWNLOADS MILIONI 12.8 HUKU KIJANA IBRAAH AKIWA NA MILIONI 2 JUMLA NI MILIONI 14.8
MSANII ZUCHU ANA JUMLA YA STREAMS NA DOWNLOADING MILIONI 23.2

VIPI KUNA SABABU YA VITA YA HARMONIZE NA RAYVANNY?
Sasa Rayvany kaingiaje hapa
 
Back
Top Bottom