Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe siunasemaga ushirikina haupowashirikina na wahalifu sio watu wazuri wanaweza kukutoa figo
ndio haupo, lakini watu wanaouamini wanafanya mambo ya ajabuWewe siunasemaga ushirikina haupo
Nili Soma story ya mdada mkenya kwenye group, ana sema ali enda kwa ajili ya conference.kula mavi trip moja tuu sio chini ya milioni mia moja za kitanzania ndugu yangu, yani ni kuanzia dola efu 30 kwenda juu ila hataree yake hutokula mavi tuu unaweza kula na unga pia maana lazima ujitoe akili kwanza maana masharti hutakiwi kutapika 😂,
Usi seme ushirikina haupo, bado sija sahau ndugu wa marehemu mzee walivyo nipiga juju kisa shilingindio haupo, lakini watu wanaouamini wanafanya mambo ya ajabu
umesahau hii taarifa ya juzi hapa watoto walitekwa wakapatikana kwa mganga?
sensema comrade, ata sema 😂Hana kifua atatuhadithia tu siku moja 😂😂😂
Hii nimeipenda
duh!Chai njema twakusubiria
Huyo tiyali kashapitiwa mambo yasiwe mengi umeona anavyojutia. Hafu haka ndo tulikuwa tunakaombea kapone macho kumbe ni bure kabisaWasagaji hao kuwa makini
🤣🤣🤣🤣
Wakimbiee hakunaga free lunch Kwa hii Dunia wanakupoteza izo Zawadi ndo mtego wa kukunasaWalijaribu lakini nilifanikiwa kuwachenga😄
Vitu vya kijinga kama vipiTatizo watu wa humu watatumia kama fimbo siku isiyo na jina..
Biashara zao ni hizihizi tu za kawaida maduka ya nguo viatu. Vipodozi mwingine home decorations na vitu kama hivyo
Sijui nisemeje lakini huwa wananishawishi kufanya vitu vya kijinga japo kwa akili sana,.
Lakini hawajafanikiwa
Eeeh watu hawana dogo kila siku atakuwa anakumbishiwa kama confession ya Hornet watu walimkumbishia kila mara 😂, Bora akuhadithie wewe huko PM afu uje kutuhadithia kwa codeLee anaogopa kusema yote, eti tutamjudge😂
Hiyo siku uliyolewa hadi ukazima, una hakika hawakukufanya chochote?Mpaka sasa hawajanifanya kibaya labda kama wawe na mpango wananiandalia kwa siri,.
Huwa wananipa connections na watu ambao wao wanawaita wakubwa kwa maana kwamba nikitoka nao nitapiga hatua lakini mimi huwa nakataa .
Na wengine msome pia Manyanza DR SANTOS mshamba_hachekwi
Tubu mrudie Mungu jitenge Na Hao marafikiNashindwa kufunguka kila kitu,.
Anyways... hata mimi sielewei ni nini kimeniconfuse😑