Why should I confess?

Why should I confess?

wanakulia timing
mara nyingi shughuli za giza zinakuaga nyuma ya watu wazuri na wasafi
kwa muonekano ambao wameona wewe unao
hao WAKUBWA unaokataa kuonana nao siku ukikubali tu hautakua apo ulipo kwa sasa

rudi kwenye maombi kama walianzisha mazoea taratibu unacheka cheka 😀😀
unaweza kaza sura taratibu wakasepa
 
kula mavi trip moja tuu sio chini ya milioni mia moja za kitanzania ndugu yangu, yani ni kuanzia dola efu 30 kwenda juu ila hataree yake hutokula mavi tuu unaweza kula na unga pia maana lazima ujitoe akili kwanza maana masharti hutakiwi kutapika 😂,
Nili Soma story ya mdada mkenya kwenye group, ana sema ali enda kwa ajili ya conference.

akawa approached na mtu, kuwa Kuna zawadi yake ya 50000usd. Ila awe entertainer wa mtu 1.

aka kubali kwenda, ali kuta 4 people, na Alisha kuwa ame saini confidential document.
Kibaya kwenye conference Alisha aga kaondoka.

walicho mfanya masikini ni triple entendre, yaani ana ongea ana Lia hadi huruma.
akawa ana sema, umri wa kuolewa uli kuwa tayari.

Mchumba wake kamkataa, ana omba anyone amstiri. Coz she can handle everything kuanzia dowry mpaka ndoa yenyewe 🤣😂
 
Baba yangu aliwahi kunikataza kuwa na rafiki wa hivyo wakati nipo sekondari, huyu sio kwamba alikuwa ni rafiki tu bali alikuwa ni ndugu kabisa. Cha ajabu sasa mimi ni mtu wa swala 5 na huyo ndio akawa rafiki yangu yani alinipendaga mwenyewe kama hivyo, mazawadi n.k

Siku moja baba yangu alinipa kichapo cha mbwa mwitu sikwenda shule wiki nzima uso, miguu yote imevimba. Na alinipiga mbele ya huyo rafiki yangu dada wa watu akaona isiwe tabu akahama kabisa na urafiki wetu ukaishia hapo.

Baba yangu mwenyewe alikuwa anakunywa pombe sana tu ila hakutaka kabisa niwe rafiki na mtu wa aina ile

Wakati nipo chuo nikaambiwa yule dada alifariki na Ukimwi. Nilimuona baba yangu amenisaidia sana japo ile siku aliyonichapa nilimchukia kweli kweli
 
Tatizo watu wa humu watatumia kama fimbo siku isiyo na jina..
Biashara zao ni hizihizi tu za kawaida maduka ya nguo viatu. Vipodozi mwingine home decorations na vitu kama hivyo

Sijui nisemeje lakini huwa wananishawishi kufanya vitu vya kijinga japo kwa akili sana,.
Lakini hawajafanikiwa
Vitu vya kijinga kama vipi
 
Pole sana. Fanya haraka kuachana nao hao watakupotezea future yako.
Inaonekana pia pesa zao siyo za uhalali na wewe unazipokea tu na watakuingiza kwenye masingaobwe yao very soon.
 
Mpaka sasa hawajanifanya kibaya labda kama wawe na mpango wananiandalia kwa siri,.

Huwa wananipa connections na watu ambao wao wanawaita wakubwa kwa maana kwamba nikitoka nao nitapiga hatua lakini mimi huwa nakataa .
Na wengine msome pia Manyanza DR SANTOS mshamba_hachekwi
Hiyo siku uliyolewa hadi ukazima, una hakika hawakukufanya chochote?
 
Back
Top Bottom