Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Aiseee kule kwa Dav usitusahau
duh!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
duh!
Kuna mahali niliipata hii stori, inasemekana wanagharamiwa passport, wanakatiwa tiketi na kugharamiwa kila kitu, ila wakifika huko wananyang’anywa passport, wanaanza kutumika mpaka warejeshe gharama za mwenyeji wao.Ndio, hakuna kingine wanachoenda kufanya zaidi ya umalaya na kuna madalali wa hizo mambo, mchawi connection tu
Hao ni wale wadangaji wa kawaida tuuu, hawa wanaokula mavi ni tofauti na wala hulazimishwi kufanya hivyo na hakuna wakukunyang'anya passport wadada wenyewe ukiwaona huwezi dhania ni wale high class wanaishi expensive life huko instagram na biashara ya maana ya kuwapa hayo maisha hawanaKuna mahali niliipata hii stori, inasemekana wanagharamiwa passport, wanakatiwa tiketi na kugharamiwa kila kitu, ila wakifika huko wananyang’anywa passport, wanaanza kutumika mpaka warejeshe gharama za mwenyeji wao.
Baada ya hapo sasa wa kuendelea wanaendelea wa kushindwa anarudi nyumbani.
Hii ni kweli?
Yaah ndo ivo mkuu, bibie anapenda hicho, na ubaya ni kua alikua anaomba na kuzikubali zawadi anaogopa kuachana nao.Ni hatari sana . Wengi wameharibiwa maisha kwa namna inayofanana na hii.
There is no such thing as a free lunch, ni suala la muda.
Ndo huwa naki sema, we can't be homies halafu si feel proud kuwa na wewe mbele za watu.jamani Leejay49 nakushauri kama huna amani nao kaa mbali wasikuharibu, huwezi kua na watu unasema ni rafiki zako halafu unahisi aibu kuongozana nao au kuwatambulisha kwa watu, kaa nao mbali.
Kweli tatepa kudadek au wewe ndio huyo dadawa mjiniNgoja kwanza ninywe chai nakuja🙌
Andaeni tu mandazi
Kaangalie tale of nokdu🤣😂,sasa haya maandazi ningeyaandaaje wakati chai ulienda peke yako jamani
Kaangalie tale of nokdu🤣😂
Jang hyuk ali ua mno, kaangalie tear's of Lee bang ji.Aaah zamaani nshapita nayo. Nipo narudia shine or go crazy
Sema nini mlongo, ili mtu akuingize kingi, anaanza na kuwa very supportive kwako. Hii ni kwa nyanja zote..!! Ukishajaa sasa, kwamba mashaka yote juu yao ushayaondoa, unaingizwa bonge la kingi ya ku-force. Wanapiga bonge kwa sababu baada ya hapo utashituka..!!Sema ni wako supportive sanaa na wanaupendo lakini tabia zao tu ndio kikwazo😄😄
Mlongo, kumbe tiwuka lepa mpaka timala ugimbi..!! Haya, utanikuta la-charles siku moja, kama siyo mtini.YEah ni kweli,.
Sema huwa napataga wakati mgumi hata kuwatambulisha kwa ndugu jamaa na marafiki maana kuanzia mavazi yao unaona kabisa hapa usalama mdogo
Asante kwa elimu dunia.Hao ni wale wadangaji wa kawaida tuuu, hawa wanaokula mavi ni tofauti na wala hulazimishwi kufanya hivyo na hakuna wakukunyang'anya passport wadada wenyewe ukiwaona huwezi dhania ni wale high class wanaishi expensive life huko instagram na biashara ya maana ya kuwapa hayo maisha hawana
Ila numbisa 🤣🤣Chai njema twakusubiria
Yani hapo kuwaepuka labda uhame Mkoa au upate likizo ndefu uende Mkoa mwingine. Mungu akusimamie.Tuendeleee
BAsi buana mdogo wenu nikaanza napendwa pekeyangu,. Mie ni mtu ambaye sio mtokaji kabisa yaani sijawahi kuhudhuria hata mtu wangu wa karibu awe anafanya birthday Party sijui nini mie sijawahi kuhudhuria huwa naagizaga tu zawadi,. Au labda niwe naenda na mama labda kuwe na harudi kitchen party na shughuli kama hizo mama akiniomba nimpeleke ndio huwa tunaenda wote,.
Lakini hawa wadada walinifanya nianze kwenda kwenye party za watu usiku, Yaani utakuta nimekaa tu sina hili wala lile napigiwa simu "Lee kuna namba nimekutumia hapo ya fundi uende akupime gauni Utalivaa Jumamosi kuna party mie nitakuletea kadi na viatu".. Kwa Approach kama hiyo jamani ningeweza kuchomoa kweli? Baasi nikawa naenda na nikifika kule kila mtu atatamani akae na mimi yaani nakeiwa kwelikweli hadi chooni nikitaka kwenda napelekwa😄😄,.
Hawakuishia hapo,. Kuna siku alinipigia simu mmoja akasema nimepita ofisini kwenu nimeambiwa haupo uko wapi nikamwambia sijafika leo niko kwenye graduation ya mdogo wangu,. Akaniuliza tu wa kike au wa kiume nikamwambia wakike akasema nimwelekeze aje na zawadi basi akaja yeye na wenzie tunasherekea pale mda wa kutoka mie nikaondoka na kina mama na wao wakaondoka zao,.
Kuna siku nlikuwaga niko na stress zangu tu wateja walinivuruga sijui akili yangu iliwaza nini nikasema nimpigie huyu mdada tumwite "Tina " nikawa nimeongea nae tu akanotice kama siko sawa akaniambia nakuja kukuchukua,. Hii ndio siku ambayo nilikunywa pombe mwenzenu na nilikuja kustuka asubuhi,. Mama yangu alipiga simu missed calls sijui zaidi ya ngapi hata sikumbuki, dada na baba ndio kabisa maneno ambayo sikuwahi waza kama nitaambiwa na baba yangu basi siku hiyo niliambiwa kwenye meseji... Lakini cha ajabu huyu Tina wala hata hakustuka aliniambia tu Jiandae twende peramiho Hospitali,. Nikafika kule nikakata kadi nikapimwa malaria, na vihoma vingine vingine nikapewa na dawa halafu ndio akaniambia niwapigie simu nyumbani waje Hospitali halafu sisi tuanze kutoka tukutane njiani, Kwa jinsi nlivyokua nimechoka na ile midawa nliyokuwa nayo moto wote ulizimika waliamini tu labda nilizidiwa njiani nikasaidiwa😥😓😂
Story zisiwe nyingi jamani maana scenarios ni zilezile .......
Ila tu Kiukweli ni watu ambao wamekuwa wamenizoea sana naweza kusema wamenizoea kupitiliza na ndio cycle yangu ya sasa,. Na ninaweza kusema wameniharibu mnoo yaani mimi najiona kabisa sio yule Lee ambaye kila mtu anamjua japo najitahidi sana kuficha nyumbani wasigundue chochote,.
Nashindwa namna ya kuwaepuka jamani maana saizi ndio kabisa wananichukulia kama mwenzao tu,. Yaani wananiona mdogo wao kwenye kazi zao Japo sijawahi kufanya nao chochote kibaya zaidi ya Pombe.. Vishawishi vyao vyote niliweza, nimeweza na ninaweza kuvipangua ( Japo hii huwa naamini ni nguvu ya maombi ya mama yangu) .. Maana mda mwingine mmmh
Kwa namna ambavyo naishi nao saizi ni ngumu sana gafla kusema nipotezane nao,. Nimejaribu mbinu zote hadi kubadili namba za simu lakini ilisaidia nini unadhani?,. Watu wanakujua nyumbani hadi nakofanyia kazi zangu.. Natamani kuwatema moja kwa moja lakini kwa upande mwingine jinsi walivyo Supportive naona kama nitapoteza watu wazuri,. Lakini hapohapo nawaza isije wakaniingiza kwenye matatizo ukizingatia ni watu ambao najioneaga aibu hata kusimama nao njiani isije watu wanaoniheshimu wakaniona nao wakanidharau,.
Sijui nifanye nini kwakweli ila ndio hivyo buana
Mwishooo,.
😄😄😄Title ya uzi: Why should i confess?
Me kilichoandikwa ndani ya uzi against title: Confused