Why Tanzania might be treading on dangerous waters

Why Tanzania might be treading on dangerous waters

Naomba tuache huu upumbavu jamani. Utaandikaje post kama hii. Vita mbaya ndugu, mimi ni mtanzania ila nilishuhudia vita ya Kenya 2007, nilikuwa somea uko, sasa nipo chuo. Ndugu zangu vita ni mbaya. Tusiombeane vita. Damu itamwagika, tupoteze ndugu n marafiki wapenzi ndio tutajua vita sio kitu cha mchezo. Tusiombee laana itufiie. Asante
Tupe story kidogo kuhusu hiyo 2007 ilikuwaje huko kenya?
 
Tanzania, might be facing threats of extreme terrorism in coming days .
This is are the 3 reasons why;
1.The leadership of ISIS in Mozambique is Tanzanian youth who were inspired into Islamic Fundamentalism by Kenya radical preacher Aboud Rogo. In DRC, dozens of Tanzanians are leading the Islamic States group ISCAP further complicating scope of counter extremism operations in the region. It is highly possible grassroots jihadists with foreign training will conduct attacks in the country. However what is not clear is which Islamist group will be responsible. Both Al-Qaeda and ISIS have presence in the country.

2.The country has produced a significant number of fighters operating in Somalia, Mozambique, and DRC.

3.Presence radical clerics and cells reqruiting jobless youths without government knowledge.
Slowly things are unfolding...niliwaambia
 
Tanzanians should remember that many members and leaders of ISIS in Mozambique are Tanzanians and that many have likely had their eyes on their home country for quite a while.
TISS wanafaa wasambaratishe sleeper cells before it's too late.
 
The frequency of the attacks is slowly increasing.

IMG_20201031_160710.jpg
 
Sehemu yoyote ambayo haina matumaini ni rahisi sana kuingiliwa na wimbi la ugaidi.

Tusijidanganye kwamba tunaweza kuyafumbia macho matatizo ya watu wengi sana ya kiuchumi, halafu tubakie salama tu kwenye mambo kama ugaidi.

Vijana ambao hawana ajira, hawana elimu na hawana matumaini ni rahisi sana kurubuniwa au hata kujirubuni wenyewe kwamba ugaidi ni kitu sahihi cha kufuata.

Nakumbuka mwaka 1990 wakati nakatiza Upanga hapa Kanisa la Immaculata, mkabala na ubalozi wa Iraq, barabara ya Umoja wa Mataifa, karibu na daraja la Salender, nilikuwa naona watu wengi sana wamejipanga nje ya ubalozi, walikuwa wanafuatilia namna ya kwenda vitani (siku hizo vita ilikuwa imeanza kati ya Marekani na Iraq).

Wale masela wengi walikuwa wanasema wanatafuta njia ya kutoka nje ya Tanzania tu waende kutafuta maisha nje. Yani katika akili zao, waliona ni bora kwenda vitani ili kutoka Tanzania, kuliko kukaa Tanzania.

Na mpaka leo, ingawa kuna wengi wamehubiriwa mahubiri ya ugaidi, kimsingi inakuwa rahisi kuwapata kwa sababu nchi yao wenyewe haijawapa matumaini, elimu wala kazi.

Kibaya zaidi, wanaona wenzao ambao wana connections mambo yao yanaenda poa, hata kama hawana qualifications.

Watu wanaona bora wajilipue tu.

Na ikifikia sehemu serikali yenyewe haikubaliki na wananchi, mara imeharibu ununuzi wa korosho, mara imenyanyasa wapinzani, hata baadhi ya wananchi wanaweza kuona hao magaidi wana point, ni kama freedom fighters.

Siwatetei, naeleza hali inayosababisha mtu kujiingiza katika vikundi hivi, na tatizo hili kukua zaidi.
The jihadists may try to exploit the current political situation... watch this space
 
ISCAP Mozambique (ISIS Terrorists) attacked 3 villages in Mtwara Tanzania, burnt down 3 Churches and killed local admin and civilians: Ref: 28/10/2020. The group intends to escalate militancy in Southern and Coastal Tanzania.
 
Sehemu yoyote ambayo haina matumaini ni rahisi sana kuingiliwa na wimbi la ugaidi.

Tusijidanganye kwamba tunaweza kuyafumbia macho matatizo ya watu wengi sana ya kiuchumi, halafu tubakie salama tu kwenye mambo kama ugaidi.

Vijana ambao hawana ajira, hawana elimu na hawana matumaini ni rahisi sana kurubuniwa au hata kujirubuni wenyewe kwamba ugaidi ni kitu sahihi cha kufuata.

Nakumbuka mwaka 1990 wakati nakatiza Upanga hapa Kanisa la Immaculata, mkabala na ubalozi wa Iraq, barabara ya Umoja wa Mataifa, karibu na daraja la Salender, nilikuwa naona watu wengi sana wamejipanga nje ya ubalozi, walikuwa wanafuatilia namna ya kwenda vitani (siku hizo vita ilikuwa imeanza kati ya Marekani na Iraq).

Wale masela wengi walikuwa wanasema wanatafuta njia ya kutoka nje ya Tanzania tu waende kutafuta maisha nje. Yani katika akili zao, waliona ni bora kwenda vitani ili kutoka Tanzania, kuliko kukaa Tanzania.

Na mpaka leo, ingawa kuna wengi wamehubiriwa mahubiri ya ugaidi, kimsingi inakuwa rahisi kuwapata kwa sababu nchi yao wenyewe haijawapa matumaini, elimu wala kazi.

Kibaya zaidi, wanaona wenzao ambao wana connections mambo yao yanaenda poa, hata kama hawana qualifications.

Watu wanaona bora wajilipue tu.

Na ikifikia sehemu serikali yenyewe haikubaliki na wananchi, mara imeharibu ununuzi wa korosho, mara imenyanyasa wapinzani, hata baadhi ya wananchi wanaweza kuona hao magaidi wana point, ni kama freedom fighters.

Siwatetei, naeleza hali inayosababisha mtu kujiingiza katika vikundi hivi, na tatizo hili kukua zaidi.

unafkir serikali itaajiri watu wote?
 
unafkir serikali itaajiri watu wote?
Kwani wapi nimesema serikali itaajiri watu wote?

Umefikaje kwenye swali hili kutoka kwenye maandishi yangu?

Mimi na support open market, sio central planning economy, unaelewa tofauti za mifumo hiyo miwili?
 
Ahsante sana Mkuu huyo anayejiita MWENDAWAZIMU kashupaza tu shingo yake ili kupora madaraka bila kuangalia athari kubwa sana kwa Taifa.

Sehemu yoyote ambayo haina matumaini ni rahisi sana kuingiliwa na wimbi la ugaidi.

Tusijidanganye kwamba tunaweza kuyafumbia macho matatizo ya watu wengi sana ya kiuchumi, halafu tubakie salama tu kwenye mambo kama ugaidi.

Vijana ambao hawana ajira, hawana elimu na hawana matumaini ni rahisi sana kurubuniwa au hata kujirubuni wenyewe kwamba ugaidi ni kitu sahihi cha kufuata.

Nakumbuka mwaka 1990 wakati nakatiza Upanga hapa Kanisa la Immaculata, mkabala na ubalozi wa Iraq, barabara ya Umoja wa Mataifa, karibu na daraja la Salender, nilikuwa naona watu wengi sana wamejipanga nje ya ubalozi, walikuwa wanafuatilia namna ya kwenda vitani (siku hizo vita ilikuwa imeanza kati ya Marekani na Iraq).

Wale masela wengi walikuwa wanasema wanatafuta njia ya kutoka nje ya Tanzania tu waende kutafuta maisha nje. Yani katika akili zao, waliona ni bora kwenda vitani ili kutoka Tanzania, kuliko kukaa Tanzania.

Na mpaka leo, ingawa kuna wengi wamehubiriwa mahubiri ya ugaidi, kimsingi inakuwa rahisi kuwapata kwa sababu nchi yao wenyewe haijawapa matumaini, elimu wala kazi.

Kibaya zaidi, wanaona wenzao ambao wana connections mambo yao yanaenda poa, hata kama hawana qualifications.

Watu wanaona bora wajilipue tu.

Na ikifikia sehemu serikali yenyewe haikubaliki na wananchi, mara imeharibu ununuzi wa korosho, mara imenyanyasa wapinzani, hata baadhi ya wananchi wanaweza kuona hao magaidi wana point, ni kama freedom fighters.

Siwatetei, naeleza hali inayosababisha mtu kujiingiza katika vikundi hivi, na tatizo hili kukua zaidi.
 
Back
Top Bottom