bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,873
🙄🙄
tobaaaa nimeshikwa ugoni???????!!!!!!!!!!!
nafatilia nyendo zako........na huyu mwenzio hapa chini
dah...!!!why do women cry though???Si useme tu na kuumisi utamu wa mtarimbo wa muzee ya nyumba?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🙄🙄
tobaaaa nimeshikwa ugoni???????!!!!!!!!!!!
dah...!!!why do women cry though???Si useme tu na kuumisi utamu wa mtarimbo wa muzee ya nyumba?
nafatilia nyendo zako........na huyu mwenzio hapa chini
dah...!!!why do women cry though???
Mamushka give me a break please! Hutaki mjukuu nawe? LOL! Unakaba mpaka penalti?
kwa hilo huwa unanifahamu kisawasawa unauliza nini tena??
kuna wakati mwingine huwa sikabi hata chenga maana hazinihusu......lakini kwako nah nah!!! nin insurable interest and you knw that huh!!!
Hahaha! Ngoja nikutafutie mbinu ya kukukwepa manake LOL!
ewaaaaaaaaaaaaa!
nimefikiria sana juu ya swala la TAIGA WOODS NA ASHLEY COLE!...nadhani kwenye huu mjadala linahusika sana
(tatizo vidole vimechoka kugonga gonga keyboard😀
sasa mimi nifungue nini....manguli au???Kwa kweli hivi vidole mpaka vitaota sugu sasa! Ngoja nikafungue vizibo sasa!
Na wee ndio umeamua kutuliza wivu wenzio? Mtafutane wapi tena yailahi toba?duh?mbn hatukutafutana?ubusy eeeeeeh?
sasa mimi nifungue nini....manguli au???
we nitakupigia tu jumamosi hividuh?mbn hatukutafutana?ubusy eeeeeeh?
hehehehe!Na wee ndio umeamua kutuliza wivu wenzio? Mtafutane wapi tena yailahi toba?
ewaaaaaaaaaaaaa!
nimefikiria sana juu ya swala la TAIGA WOODS NA ASHLEY COLE!...nadhani kwenye huu mjadala linahusika sana
(tatizo vidole vimechoka kugonga gonga keyboard😀
eeeeeeh jamani msinisemeeeeeeeeeeeeeeh
Hehehe! Manguli yataongeza sugu! Fakamia vyepe mayai kwa wingi!
heheeeee mtarimbo niliulaza doro kwanza kabla ya kuja huku!!!!! lakini chrispin wakati mwingine unaongea vitu ambavyo ni karibu na ukweli, hivi ulijuaje kama nimeumiss??? oh karibu namaliza niurudie mtarimbo wangu kabla haujageuzwa mchi wa kijiji kutwanga kila kila kinu!!!Si useme tu na kuumisi utamu wa mtarimbo wa muzee ya nyumba?
hehehehe!
ENJOY YOUR EVENING
MIMI NACHAPA RABA
Wengine tumeumbwa vibaya eti! Miwivu tuuuuu LOL! Ngoja tuishie hapa manake mamushka akiiona hii ntanyimwa supu leo!