Why Women Cry

Why Women Cry

heheeeee mtarimbo niliulaza doro kwanza kabla ya kuja huku!!!!! lakini chrispin wakati mwingine unaongea vitu ambavyo ni karibu na ukweli, hivi ulijuaje kama nimeumiss??? oh karibu namaliza niurudie mtarimbo wangu kabla haujageuzwa mchi wa kijiji kutwanga kila kila kinu!!!

hahaaaaaa nimekukoma leo kwa hilo neno la leo!!!
 
heheeeee mtarimbo niliulaza doro kwanza kabla ya kuja huku!!!!! lakini chrispin wakati mwingine unaongea vitu ambavyo ni karibu na ukweli, hivi ulijuaje kama nimeumiss??? oh karibu namaliza niurudie mtarimbo wangu kabla haujageuzwa mchi wa kijiji kutwanga kila kila kinu!!!

He! Ngoja nisepe!
Nakujua ukiamulia kufungulia mbwa hapa patakuwa hapatoshi.
ISHIA hapohapo tafadhali...LOLZ!
 
kwangu ipo supu ya kuku wa kienyeji achana na hiyo ya kithungu full ARVS
Wengine tumeumbwa vibaya eti! Miwivu tuuuuu LOL! Ngoja tuishie hapa manake mamushka akiiona hii ntanyimwa supu leo!
 
kwangu ipo supu ya kuku wa kienyeji achana na hiyo ya kithungu full ARVS

twinushka do not cross the borders without a passport tafadhali......
 
kwangu ipo supu ya kuku wa kienyeji achana na hiyo ya kithungu full ARVS

Kuna mtu alinambia Mamushka ni twin wako.... sijui ni kweli. Kama ni kweli labda anaweza kuvumilia kwa hili
 
tWINUSKA DNT WORRY MM NA WW DUGU MOJA,YAKO YANGU YANGU YANGU
twinushka do not cross the borders without a passport tafadhali......
 
nafatilia nyendo zako........na huyu mwenzio hapa chini


dah...!!!why do women cry though???
hapo pa kuumis mtarimbo ndo siku nikiukamata ndo lazima nilie wallah!!!! maana nakumbukia nilizokuwa mbali nao nilizokuwa nautamani hata nikuona kwenye suruali ya mpita njia... dah wallah !!! usiombe kuujua utamu wa mtarimbo..... eh
 
hapo pa kuumis mtarimbo ndo siku nikiukamata ndo lazima nilie wallah!!!! maana nakumbukia nilizokuwa mbali nao nilizokuwa nautamani hata nikuona kwenye suruali ya mpita njia... dah wallah !!! usiombe kuujua utamu wa mtarimbo..... eh
😱😱😱
 
Hii kitu naikumbuka pale Usalule lol.
attachment.php
 

Attachments

  • 14022010776.jpg
    14022010776.jpg
    316.2 KB · Views: 45
hapo pa kuumis mtarimbo ndo siku nikiukamata ndo lazima nilie wallah!!!! maana nakumbukia nilizokuwa mbali nao nilizokuwa nautamani hata nikuona kwenye suruali ya mpita njia... dah wallah !!! usiombe kuujua utamu wa mtarimbo..... eh

Muhanga nilikwambiaje?Nikupe wa kwangu ukae nao?
 
hapo pa kuumis mtarimbo ndo siku nikiukamata ndo lazima nilie wallah!!!! maana nakumbukia nilizokuwa mbali nao nilizokuwa nautamani hata nikuona kwenye suruali ya mpita njia... dah wallah !!! usiombe kuujua utamu wa mtarimbo..... eh

basi sitaki kuujua utamu wa mtarimbo mie kama ndo hivo..........
 
He! Ngoja nisepe!
Nakujua ukiamulia kufungulia mbwa hapa patakuwa hapatoshi.
ISHIA hapohapo tafadhali...LOLZ!
najua umeshakumbuka vizibo na supu ya kuku wa kienyeji... haya bwana wahi foleni!!!
 
Back
Top Bottom