Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
mahari ukiambiwa utoe ng'ombe 70 unatoa mmoja hao 69 wanabaki deni utalipa anytime ukijiskia maishani we leta hata nusu.ugegedaji usio rasmi mimi huwa sifagilii kabisa shemelaTatizo mnataka ng'ome sabini.. Sasa usawa wa bashite ng'ombe sabini labda niwaumbewenyewe.!!
Subirini najichanga, lazima nifanye halal.. Huyu mtoto wenu siwezi kumpoteza aisee!!
Hii mbinu mubashara.. Natanguliza ngombe mmoja [emoji23] [emoji23]mahari ukiambiwa utoe ng'ombe 70 unatoa mmoja hao 69 wanabaki deni utalipa anytime ukijiskia maishani we leta hata nusu.ugegedaji usio rasmi mimi huwa sifagilii kabisa shemela
ahahaaa ngoja na mimi nitafute wa kumvalia boxer .sitaki kingineNinachopenda kuvaa cha The bold ni t-shirts zake.
Uwiiiiiii nikivaa na skin zinanitoaje? [emoji4] [emoji39]
hahahahKuna mtu kaitype hii.
Alafu why juzi I didn't take a picture, aaarrrggh!! ile tisheti uliyoniibia with that skin jeans.. Dammmnn you are beautiful [emoji7]Ninachopenda kuvaa cha The bold ni t-shirts zake.
Uwiiiiiii nikivaa na skin zinanitoaje? [emoji4] [emoji39]
ameenThank you sis darling wangu mrembo [emoji8]
Anapinduaje sasa dada? Apewavyo pembeni siri yakeeeee [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ameeeeeeen [emoji120]
mwenyewe nimecheka sana mis natafuta magumash nikisoma post zake huwa naishia kucheka sanaHahahahaaaaaa nilitaka niseme kitu lakini basi tu [emoji85]
acheni kututega bana mmmh !Alafu why juzi I didn't take a picture, aaarrrggh!! ile tisheti uliyoniibia with that skin jeans.. Dammmnn you are beautiful [emoji7]
hivi wewe utapenda ndugu yako agegedwe bure bure tu mkuu kisa anapewa tishert na jeans avae! hata kama kuna mapenzi mi nataka mahari na ndoa ifungwe.mwenyewe nimecheka sana mis natafuta magumash nikisoma post zake huwa naishia kucheka sana
that man! no way! hivi anavaa boxer ya nchi gani au special delivery?Labda uvae za Le Mutuz,mwingine itabidi akupe zotezote [emoji23] [emoji23] [emoji23]
You are welcome ManThank you man.. "Bonie and Clyde"
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji23]
be blessed loveAmeeeeeeen,thank you sweetheart.
sipati picha ila itakuwa ni special delivery sio ya nchi hiii shogaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Uwiiiiiii nimecheka sana.
Hata sijui mwenzangu.
nimekumiss shoga yangu ushajifungua?be blessed love
Hahahaha!! Ndugu yako ananishauri nitangulize ng'ombe mmoja..Jamani jamaniiiiiiii [emoji87]
Ng'ombe moja?
Ni vyema kuhalalisha ila sio kihivyo jamani! [emoji17]
miss u too shouger mbona mm nilikua sina mimba jamaannimekumiss shoga yangu ushajifungua?
Thank you Sista..shukrani the Bold Nifah kwa maneno haya ya the bold lazima ujihisi upo peke yako ulimwenguni Mungu awasaidie mtimize lengo lenu [emoji8]
ahaa zitto alifanyeje tena? le mutuz hanaga demu wa maana yuleLabda ana fundi wake anayemshonea [emoji23].
Sijui kwanini wadada waliowahi kutoka nae hawatupi ubuyu kama tuliopewa wa Zitto [emoji6]