WID: Dear Women...

wauuu this is so lovely an sweet
.
.
.
yan apa nawaza iz great historic events ambazo The Bold anaziandika umu akisema mpk j3 we unaipata either on spot au ukute keshamalza kukusimulia...bt anyway nimependa the way u guys apreciate one another esp public mana sio kaz ndogo
 
Nifah una maneno Matamu sana acha ndugu yangu adate....eti kama kuna vitu nilivyowahi kukosa katika maisha basi ni wewe mpenzi wngu!! Dah Hii line imenigusa sana...kumbe haya mambo hayahitaji rocket science ni ulimi wko2
 
Hahahah.!! uzuri pia huwa unahusika sana kwenye kuziandaa so dizaini huwa tunafanya discussion.. yeye ndio TBS wangu, kabla sijashea makala yoyote public lazima aihakiki kama iko kwenye ubora..
 
Nifah una maneno Matamu sana acha ndugu yangu adate....eti kama kuna vitu nilivyowahi kukosa katika maisha basi ni wewe mpenzi wngu!! Dah Hii line imenigusa sana...kumbe haya mambo hayahitaji rocket science ni ulimi wko2
Hahahahah... sitaki kujisifu ila daaaahh nafaidi sana mkuu.. [emoji4] [emoji4]
 
maneno matam sana haya!..kumbe hata ndoa badoo?…

Naomba kadi siku ikiwadia tafadhali bibie Nifah[emoji4]
 
Ninachopenda kuvaa cha The bold ni t-shirts zake.
Uwiiiiiii nikivaa na skin zinanitoaje? [emoji4] [emoji39]
Jaribu na boxer naimani utapendeza sana mbele ya macho ya Kichwa
 
sipati picha ila itakuwa ni special delivery sio ya nchi hiii shogaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] special delivery!..ha ha haahahaaaaa
kwa fundi cherehani tandale palee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…