kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,275
- 3,316
Habari wakuu?
Last weekend nimemuaga wife kuwa naenda bar ya jirani hapo kucheck mechi ya Man u,cha kushangaza wife akanijibu tu ,uwasalimie wahudumu(bar maids)wa hiyo bar.
Nimemtafakari sana kutaka kujua hilo jibu lake lilikua na ujumbe gani kwangu ila sijapata majibu.kwa wazoefu wa haya mambo, naomba mnisadie kufungua hii code
Sasa nidanganye ili iweje?Mkuu ni kweli umeoa!?
Hili ni jukwaa huru mkurugenziKwel hili nalo unakuja kuuliza jf! Dah
Sijawahi wala sijachelewa mkuuukikua utajua Alicia ma maana gani, tatizo vijana mnawahi kuoa.
Sina mahusiano na yeyote kwenye hiyo bar mkuu.Yaelekea kapata tetesis kuwa huwa unawala hao wahudumu.
Acha hizo mambo za kula malaya mkuu.
Kilaji unapiga?Sina mahusiano na yeyote kwenye hiyo bar mkuu.
Hakupenda umwache peke yake home halafu wewe unakwenda kwenye Mambo ya kipuuzi ,mchana haupo nyumbani usiku pia bado unashughulika na Mambo ya kipumbavu na kumwacha mkeo peke yake.Achana na hizo Mambo ya kipuuzi!Habari wakuu?
Last weekend nimemuaga wife kuwa nakwenda bar ya jirani hapo kucheck mechi ya Man. U, cha kushangaza wife akanijibu uwasalimie wahudumu (bar maids) wa hiyo bar.
Nimemtafakari sana kutaka kujua hilo jibu lake lilikua na ujumbe gani kwangu ila sijapata majibu.
Kwa wazoefu wa haya mambo, naomba mnisadie kufungua hii code.
Ndio maana mnakufa mapema yaam alikuzingua we umeweka kichwanHabari wakuu?
Last weekend nimemuaga wife kuwa nakwenda bar ya jirani hapo kucheck mechi ya Man. U, cha kushangaza wife akanijibu uwasalimie wahudumu (bar maids) wa hiyo bar.
Nimemtafakari sana kutaka kujua hilo jibu lake lilikuwa na ujumbe gani kwangu ila sijapata majibu.
Kwa wazoefu wa haya mambo, naomba mnisadie kufungua hii code.
Kuna mdau mmoja humu jf analalamikia nyuzi za kipumbavuHabari wakuu?
Last weekend nimemuaga wife kuwa nakwenda bar ya jirani hapo kucheck mechi ya Man. U, cha kushangaza wife akanijibu uwasalimie wahudumu (bar maids) wa hiyo bar.
Nimemtafakari sana kutaka kujua hilo jibu lake lilikuwa na ujumbe gani kwangu ila sijapata majibu.
Kwa wazoefu wa haya mambo, naomba mnisadie kufungua hii code.
Habari wakuu?
Last weekend nimemuaga wife kuwa nakwenda bar ya jirani hapo kucheck mechi ya Man. U, cha kushangaza wife akanijibu uwasalimie wahudumu (bar maids) wa hiyo bar.
Nimemtafakari sana kutaka kujua hilo jibu lake lilikuwa na ujumbe gani kwangu ila sijapata majibu.
Kwa wazoefu wa haya mambo, naomba mnisadie kufungua hii code.
Kwanini asimwambie mume wangu twende wote naogopa kuibiwa😍Ni ana wivu tu na hofu juu yako hamna lolote
Uzi closed, shetani katoa majibu hakuna lolote.[emoji23]Ni ana wivu tu na hofu juu yako hamna lolote