Wife alikuwa na maana gani hapa wakuu?

Wife alikuwa na maana gani hapa wakuu?

Na wewe kwa nini ukaangalie mpira bar unafamilia, nunua kingamuzi kaa na mkeo uangalie mpira. Siku akipenda mpira ndio muende bar wote
 
Maana yake anataka uwe na mchepuko baa maid...
 
Ungemjibu tu kuwa , sawa nitawasalimia.

Umngojee alianze ndo ungeweza kumsoma
 
Kaona unaspend muda wako bar kuliko kuspend naye kifupi alikua anahitaji kuwa na wewe
 
Baada ya kusikia hayo maneno wewe ulimwambiaje? Ni vizuri ungemuuliza mhusika mwenyewe ndiyo ungepata jibu la uhakika.
 
Siku nyingine mchukue muende wote.
Mtu umemuoa umetoa mahali kwao lakn bado ana mashaka hajiamini kuwa yy ni bora kuliko hao bartenders.
 
Habari wakuu?

Last weekend nimemuaga wife kuwa nakwenda bar ya jirani hapo kucheck mechi ya Man. U, cha kushangaza wife akanijibu uwasalimie wahudumu (bar maids) wa hiyo bar.

Nimemtafakari sana kutaka kujua hilo jibu lake lilikuwa na ujumbe gani kwangu ila sijapata majibu.

Kwa wazoefu wa haya mambo, naomba mnisadie kufungua hii code.
Ungemwambia "Mke wangu unaonekana mbaguzi sana,kwa hiyo umeona bar kuna wahudumu tu?".

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Mtoto anapokuwa mume!??
Ok.. fine siku pia akiwa kwenye sikuzake utakuja tuuliza humu!??
Sikuzake ndio nini!?
Khantwe
 
Habari wakuu?

Last weekend nimemuaga wife kuwa nakwenda bar ya jirani hapo kucheck mechi ya Man. U, cha kushangaza wife akanijibu uwasalimie wahudumu (bar maids) wa hiyo bar.

Nimemtafakari sana kutaka kujua hilo jibu lake lilikuwa na ujumbe gani kwangu ila sijapata majibu.

Kwa wazoefu wa haya mambo, naomba mnisadie kufungua hii code.
Kwani hujui kuwa walevi na wahudumu ni mapacha?
 
Hii tabia ya kujaza Server za Jf kwa post za kitoto itaisha lini?
 
Hayo ni maneno ya kawaida sana kwa hawa viumbe, sisi wazoefu hua tunamalizia kw kujibu "nitawasalimia"...😂
 
Back
Top Bottom