Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,021
- 22,016
Ungemwambia "Mke wangu unaonekana mbaguzi sana,kwa hiyo umeona bar kuna wahudumu tu?".Habari wakuu?
Last weekend nimemuaga wife kuwa nakwenda bar ya jirani hapo kucheck mechi ya Man. U, cha kushangaza wife akanijibu uwasalimie wahudumu (bar maids) wa hiyo bar.
Nimemtafakari sana kutaka kujua hilo jibu lake lilikuwa na ujumbe gani kwangu ila sijapata majibu.
Kwa wazoefu wa haya mambo, naomba mnisadie kufungua hii code.
Kwa kweli hii point muhimu.Na wewe kwa nini ukaangalie mpira bar unafamilia, nunua kingamuzi kaa na mkeo uangalie mpira. Siku akipenda mpira ndio muende bar wote
Kwani hujui kuwa walevi na wahudumu ni mapacha?Habari wakuu?
Last weekend nimemuaga wife kuwa nakwenda bar ya jirani hapo kucheck mechi ya Man. U, cha kushangaza wife akanijibu uwasalimie wahudumu (bar maids) wa hiyo bar.
Nimemtafakari sana kutaka kujua hilo jibu lake lilikuwa na ujumbe gani kwangu ila sijapata majibu.
Kwa wazoefu wa haya mambo, naomba mnisadie kufungua hii code.
Sina mahusiano na yeyote kwenye hiyo bar mkuu.
Bar maids sio malayaYaelekea kapata tetesi kuwa huwa unawala hao wahudumu. Acha hizo mambo za kula malaya mkuu.
Hamna mkuuIla huwa unawashika shika tu nyonyo na makalio
πππ
Siri za kambi hizoMkeo ulitongoza mwenyewe au ulisaidiwa? Tuanzie hapo