Wife aliniamsha usiku wa manane ni mfuatie embe bichi kisa ana mimba

Kwakweli hongera zao asee
 
Wangu Kwa habari za kazi Hana mdada wa kazi Huwa anapika na kufanya kazi had akibakiza mwezi ndo anaweza kuja mama
Wanaocheza Sana na intelejensia za akili zetu
Kabisa yn
 
Wallah sio mchezo yaani ukiinama tu anapitia mle mle. Kesho yake nilimwambia aache ujingaka kabisa.
 
Hiyo chamtoto,kwangu nilikuta defender nje.
nikalala post kwa mara ya kwanza
Tena kesi ya kutishia kuua?
Ubishi ulikua wa kawaida tu,nikajikuta mahabusu.
Nimesamehe ila kila nikikumbuka napotea kabisa Duniani.
Hii bala tupu asee pole sana
 
Mimi wangu akiwa mimba ni maembe mabichi
Nyanya mbichi kabisa zile za kijani.

Nyama Hali Yai Hali
Na baadhi ya matunda halagi.

Hayo maembe Hadi Huwa nafanya kuficha mengine nahofia yanaweza mletea madhara. Huwa anakula mengi mno hata hashikwi na ukakasi akiwa Hana mimba Hana habari nayo Hadi niliuliza Kwa nurse akaniambia hayana shida.

Sasa wewe unayepinga ndo uliyemuoa?
Hapa sio masijid Kila kitu unapinga tu
 
Wako alikuamsha saa nane ya usiku? Au anatayarisha mwenyewe mengi mengi mpaka unayaficha?

Huyo babu jinga aaliytolewa kijanja nyumbani aje mtu japo huyo mwanamke asikie harufu yake tu. Kazugwa na kilio na embe.

akarudi na kiembe chake kidogo, kaona kampatia kweli mwanamke, kumbe kapatikana yeye.

Hamvijuwi vitimbi vya wanawake nyinyi.
 
Nilichosema ndo kilichonitokea. Unataka debate?
 
Ndio uanaume huo.
 
Wanasema Mjamzito atakufanyia vitimbi kama hakupendi, kama unapendwa hawezi kuleta aina hiyo ya visirani.

UKitaka jua kama unapendwa ni kipindi cha ujauzito wa mke wako.

Kama unapendwa kweli,mimba itakuletea kero 1 tu ya Kutaka uwe nae karibu muda wote.
 
Ni kwamba ni ngumu sana kuchukulia kipimo hicho kuwa ni sahihi mkuu. Mengine fanya tu utimize wajibu wako. Nitakupa mifano.


Hiyo ndo ilikuwa mimba yake ya kwanza kabisa na asubhi nilimkalisha chini na kumwambia sitaki upuuzi huu akiniagiza Tena nitaenda kulala huko Nje sitarudi. Hakuwahi kufanya Tena Hilo ila ameembe aliendelea kuagiza vitoto anavipa Hela nilikuwa nayaona tu mengi. Hii Hali ni Kila mimba yeye na maembe mabichi.

Mimba ya pili alikuwa anavaa sana masharti yangu ukivaa shati ukaenda nalo kazini basi ukitaka urudie kulivaa Tena mtagombana nae anakwambia badirisha shati hata kama ni safi. Ukitoka kazini lazima umkute kalivaa na pia nilkuwa nafwata Hadi chooni iwe usiku au mchana Hadi nakasirka namtukuna.

Mimba ya tatu ni story mnaweza lala vizuri mara kaazisha story usiku ama akuambie usikilize wimbo then ujumbe😆😆

Kwa kifupi Mimi binafisi siwezi chukulia kuwa hivyo vitimbwi hanipendi ama lah na siku zote naishi nae vzr tu hapana.

Kuna jirani yangu yeye mke wake akipata mimba ni heka heka mno mara afatwe kazini huko ni changamoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…