dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
- Thread starter
-
- #201
Wewe Kama wewe unaweza kumpa Kia's gani Cha mtaji ili akukubaliWe unadhani nikimwambia mkeo nimpe mtaji aache kuuza uji afunguwe biashara nyingine ya maana atakataa kunipa ?
Mimi sina tabia ya kutembea na wake za watu mkuu.Wewe Kama wewe unaweza kumpa Kia's gani Cha mtaji ili akukubali
Itategemea na malengo yako kama unampango wa kumpoteza mwache aendelee ndo njia rahis ya kumpotezaMimi Kazi yangu Ni mwalimu ila hapa katikati nimeamishwa shule nyingine mtaani x.
Sasa namuona wife nae amenza kuuza juice kwa kutembeza mtaani nimuache au nimkataze!
Mke anavutia sana napatwa na wasi wasi sana nisije pigwa na kimbunga hidaya.
Si dhindwi kununua mboga Bo's Nina mshara wa 1 m
Kupitia juisi atakuja kuwa kama Azam, usiidharau juisi.Si dhindwi kununua mboga Bo's Nina mshara wa 1 m
Tuache kuwaona wanawake kuwa ni wadhaifu wapenda ngono, kwani anayekuja nyumbani kwako kumuuzia mchicha hawezi kujenga mahusiano naye! Akitaka atalala nae kitandani kwako.Itategemea na malengo yako kama unampango wa kumpoteza mwache aendelee ndo njia rahis ya kumpoteza