Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo ni pale akikutana na jamaa ambae atakuwa ananunua dumu zima peke yake.....yaani hata Lita ishirini yeye atakuwa ananunua yote!Mm Kaz yangu Ni mwalimu ila hapa katka nimeamishwa shul nyingine mtaani x
Sasa namuona wife nae amenza kuuza juice kwa kutembeza mtaani nimuache au nimkataze
Mke anavutia sna napatwa na wasi wasi sana nisije pigwa na kimbunga hidaya
Dahaha noma snaTatizo ni pale akikutana na jamaa ambae atakuwa ananunua dumu zima peke yake.....yaani hata Lita ushirini yeye atakuwa ananunua yote!
Kuna rafiki yangu mmoja mkewe alikuwa anatembeza juisi,,mwishowe ndoa ilikufa baada ya mkewe kupata mteja wa uhakika!!!!
Na Hilo ndio nawaza kwa SasaKuna asilia nyingi za kubambikiziwa mtoto tukiacha asilimia nyingi zaidi za kupigiwa
Unajua fundi mkuu anakula mpunga kila kazi mkuu? Wewe ticha na tgs yako humkutiMbna jamaa wa garage hawna pesa ,lzma uwe na pesa ndio umalale mke wangu SAS kafundi garage Ana nn Cha ziada
Pambana mwamba ukuze kipato wife akae nyumbani afanye shughali hata za kufuga ng'ombe wa maziwaNa Hilo ndio nawaza kwa Sasa
Hatari ndugu!!!Dahaha noma sna
Niko mjini boss huweZi fuga ngombe hukuPambana mwamba ukuze kipato wife akae nyumbani afanye shughali hata za kufuga ng'ombe wa maziwa
Ameanza tayari sasa umruhusu vipi?Mm Kaz yangu Ni mwalimu ila hapa katka nimeamishwa shul nyingine mtaani x
Sasa namuona wife nae amenza kuuza juice kwa kutembeza mtaani nimuache au nimkataze
Mke anavutia sna napatwa na wasi wasi sana nisije pigwa na kimbunga hidaya
Juisi kavu sio nzuri Mkuu mshauri wife awe mbunifu kidogoJuice kavu
Mimi Kazi yangu Ni mwalimu ila hapa katikati nimeamishwa shule nyingine mtaani x.
Sasa namuona wife nae amenza kuuza juice kwa kutembeza mtaani nimuache au nimkataze!
Mke anavutia sana napatwa na wasi wasi sana nisije pigwa na kimbunga hidaya.