Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Mtaani tupo wengiMtani ndo kusema utanunua kila siku? 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtaani tupo wengiMtani ndo kusema utanunua kila siku? 😀
Wacha nikuambie ukweli mtaani kwenu unaonekana una Roho mbayaa.Yaan Ndio pichainayoonekana huko.Hiyo nyumba ninyetu zote
atauza sana juice zote zitaisha na wata-download za chiniMm Kaz yangu Ni mwalimu ila hapa katka nimeamishwa shul nyingine mtaani x
Sasa namuona wife nae amenza kuuza juice kwa kutembeza mtaani nimuache au nimkataze
Mke anavutia sna napatwa na wasi wasi sana nisije pigwa na kimbunga hidaya
Kwamba mafisi mtapokezana kununua Mtani. 🏃♀️➡️🏃♀️➡️Mtaani tupo wengi
Nimefanya uchunguzi nimegundua kote huko anapota na huku kuna maujenzi sanaKama anauzia maeneo haya
Site (kwenye ujenzi)
Garage
Site za kutengeneza tofali, welding
Ndugu yangu umeishaa
Point kubwaUmeingia waswasi wa bure tu
Lakini pia kuna mambo ukikaa na kutawaza basi yatakupa shida tu
Muhimu achana nayo kisha jenga maisha
Ikiwa wakupigwa atapigwa tu.
SahihMuache auze juisi achangamshe akili
Decent mlokoleKuna wanawake wengi wafanyabiashara ndogo ndogo wanajiheshimu sana kama hapend uhuni hata uwe na ushawishi kiasi Gani huwez kumla na Kuna wanawake hawajiheshimu hata umfungie ndani watamla tu akiwa humo humo ndani.
Sijui mke wako Yuko kundi Gani kati ya hayo
Acha tu mkuuu inaniuma snaayaaniWacha nikuambie ukweli mtaani kwenu unaonekana una Roho mbayaa.Yaan Ndio pichainayoonekana huko.
Walau akoeshe hata vitenge juice ?Acha hizo mzee.
Mpende mkeo,mlipie kikoba, mnunulie nguo stop mkeo kuzurula na juice streets.Watu wanasema mke wa mwalimu flan.