dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
- Thread starter
- #101
K
Kwann mkuu mm msukuma bosWe kabila gani mkuu🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwann mkuu mm msukuma bosWe kabila gani mkuu🤣
Sawaa nitazungumza naeMboreshee mazingira yake ya uuzaji juisi, mpangishie kifrem ubavu hata cha 70 utanshukuru baadae maadam kaamua mwenyewe maana yake huyo ni fighter mpe motivation kuna siku utakuja kumwagia sifa.
Sasa nimfanyaje shauri Basi mkuuAtauza juisi ya matunda halafu atauza na juisi ya tunda, stuka usingizini.
Nimekopa he'll ziko kwenye ujenzimkuuKopa mpe mkeo mtaji wa maana a fanye biashara.Au Fungua biashara aisimamie.Unafeli wapi mwalimu wewe.
Sas nifanyaje mkuuA woman is like a kid. One day utakuja ku-realize. No matter how she is!
Wouiii😂😂😂😂Ukimkataza watakulalua ma malkia wa nguvu!
Cha kufanya ni kutenga bajet ya dumu lake kila akitoka unamtuma mtu ananunua lote, anarud zizini bila hiyana!
Na Ni mrembo kwer mashaalahKama mke wako ni namba E yaani siyo mzee nitafute nikamuunge kununua juice.mimi napenda sana juisi iliyotengenezwa na mrembo
Sa na wewe uliendaje kuoa mwanamke mrembo mwenye wowowo wakati hela huna? Huoni haya ni matatizo ya kujitakia..?Na Ni mrembo kwer mashaalah
Noted mkuKama wa kupigwa atapigwa tu hata akiwa na ofisi, mda wa kufata matunda anapitia huko anapigwa na kuongezewa mtaji.
Kama anajitambua na kujiheshimu wala usiwe na presha.
Note: wanawake ni viumbe dhaifu sana, halafu wajanja wajanja sana,hasa akiwa anakujua mume nje ndani😅🙆♂️
Mtani ndo kusema utanunua kila siku? 😀Lita 10 bei gani tununue yote muda wa kuzurura akapunge upepo
Hapn mkuu wowo limeanza kuota akiwa kwangu mm tuna mtoto mmoja had sasaSa na wewe uliendaje kuoa mwanamke mrembo mwenye wowowo wakati hela huna? Huoni haya ni matatizo ya kujitakia..?
Huendi mbinguniUmesema ana mke mto/mbanaji?
Maisha kusaidizana,mpe mkeo msaada.We una jenga yeye anazurula na juice street.Jifunze kumthamini mkeo.Yeye ni kioo chak😵nekenavyo Ndio ulivyoNimekopa he'll ziko kwenye ujenzimkuu
Kuna kipindi nilikua Tanga na nimefikia lodge flani maeneo ya chuda nilikutana na Binti mmoja mzuri sana anauza bagia.Mm Kaz yangu Ni mwalimu ila hapa katka nimeamishwa shul nyingine mtaani x
Sasa namuona wife nae amenza kuuza juice kwa kutembeza mtaani nimuache au nimkataze
Mke anavutia sna napatwa na wasi wasi sana nisije pigwa na kimbunga hidaya
Kuna mmoja Tanga Sha mnunuaga yeye na juice yakeMm Kaz yangu Ni mwalimu ila hapa katka nimeamishwa shul nyingine mtaani x
Sasa namuona wife nae amenza kuuza juice kwa kutembeza mtaani nimuache au nimkataze
Mke anavutia sna napatwa na wasi wasi sana nisije pigwa na kimbunga hidaya
Namba yake basi atufanyie delivery tutalipiaParachichi na matunda mengine
Ukaishia kupiga nae story tu na bagia haukununuanilikutana na Binti mmoja mzuri sana anauza bagia.
Hiyo nyumba ninyetu zoteMaisha kusaidizana,mpe mkeo msaada.We una jenga yeye anazurula na juice street.Jifunze kumthamini mkeo.Yeye ni kioo chak😵nekenavyo Ndio ulivyo
Usicheke nipo serious🤣🤣🤣🤣 Mkuu nimecheka sna